Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

Vijana na wazee mliopo kwenye ndoa msipende kujibu SMS za michepuko zinazotokea juu ya Screen

[emoji28][emoji28][emoji28] Ni kweli aisee. Mm nilishawah kukutwa na Text mbili zili pop-up kwenye screen juu, Moja ya Boss alikua anakumbusha majukumu Fulani na nyingine ilikua ni ya Ex. Nikataka nimjibu yule ex aache Shobo maana alikua ananisumbua Sana akitaka turudiane na akiniahidi kujizalia watoto wazuri Sana. So nikamjibu " Acha Shobo" kumbe ilienda kwa Boss. Kilichofatia n Simanzi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji19]
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Ni kweli aisee. Mm nilishawah kukutwa na Text mbili zili pop-up kwenye screen juu, Moja ya Boss alikua anakumbusha majukumu Fulani na nyingine ilikua ni ya Ex. Nikataka nimjibu yule ex aache Shobo maana alikua ananisumbua Sana akitaka turudiane na akiniahidi kujizalia watoto wazuri Sana. So nikamjibu " Acha Shobo" kumbe ilienda kwa Boss. Kilichofatia n Simanzi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji19]
Dah! [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nahisi mpaka sasa huna kazi
 
c1157ba2-b3eb-497c-9572-bc82aa48c35f.jpg
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Ni kweli aisee. Mm nilishawah kukutwa na Text mbili zili pop-up kwenye screen juu, Moja ya Boss alikua anakumbusha majukumu Fulani na nyingine ilikua ni ya Ex. Nikataka nimjibu yule ex aache Shobo maana alikua ananisumbua Sana akitaka turudiane na akiniahidi kujizalia watoto wazuri Sana. So nikamjibu " Acha Shobo" kumbe ilienda kwa Boss. Kilichofatia n Simanzi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji19]
Duh! Mkuu hapa uliyakanyaga
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen.

Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimewahi Kuandika Humu, Siku za nyuma kama sio 2017 basi ni 2018 ama 2019, Mchepuko alituma msg, na Mama alikua ameniandikia Naomba Nipigie, Nikasema wacha Nimjibu mchepuko kisha mama Nitampigia.

Kilichotokea Msg ya Mchepuko ikaenda kwa mama, halafu Nikampigia kama nilivyopanga, Tukazungumza Vizuri kabisa wala hakuuliza kitu nami sikua nimefahamu kama nimekosea.

Baada ya masaa kadhaa kupita mchepuko akanipigia akilalamikq Sijamjibu msg yake, Nikamwambia nimekujibu ngoja nicheki huenda ili fail. Kucheki Lahaula nakuta mzigo mzima umeenda kwa mama [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nikasema sasa hapa nakausha siombi hata msamaha, By the way yeye si mama yangu [emoji3][emoji3].

Ilipofika jioni mama akanijibu ile msg kwamba " Mwanangu mimi sio babe wako, Na kuwa makini usimuumize mkeo na jihadhari na magonjwa" Aiseh nikasema hapa simtafuti tena mama [emoji3][emoji3]

Kesho yake mchana akanipigia simu anauliza ujumbe wake niliuona???

Nikamwambia mama hizi simu Zitakuja kugombanisha watu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akacheka tu akasisitiza niwe makini na ujumbe wake niuzingatie.
 
Usinyooshe nyonge, we jirushe mi nizidi flow
Whaddup son, mbona umepoza namna gani?

Mfukoni hauna money, au kichwani mambo flani?
Ndani ya nyumba we zama bado shwari
Na hapa tupo ambao tumezama ile kidili
Ambwene Yesaya
 
Back
Top Bottom