Kama maada inavyo jieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen. Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya sreen [emoji24][emoji24][emoji24] sina ham mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nafanya mambo mema watu wafurahi......Usinyooshe nyonge, we jirushe mi nizidi flow
Whaddup son, mbona umepoza namna gani?
Mfukoni hauna money, au kichwani mambo flani?
Ndani ya nyumba we zama bado shwari
Na hapa tupo ambao tumezama ile kidili
Hahaha last week nilimtumia mchungaji txt tata kwani ziliingia dabo dabo hahaKama maada inavyo jieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen. Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya sreen [emoji24][emoji24][emoji24] sina ham mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli MWENYEZI MUNGU amfichi Msaliti aka Mnafki
Umefika home?Kama maada inavyo jieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen. Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya sreen [emoji24][emoji24][emoji24] sina ham mke katuma sms na mchepuko katuma sms papo hapo nikajibu kwa mchepuko nikikumbushia tulivyo enjoy guest kumbe inaenda kwa wife [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Umefika home?Hapo hamna njia zaid ya kuwa mpole tu