Vijana Ndani ya Nchi Wamemuangusha Rais Magufuli. Tupendekeze majina ya wana JF walio Diaspora!

Vijana Ndani ya Nchi Wamemuangusha Rais Magufuli. Tupendekeze majina ya wana JF walio Diaspora!

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Vijana ndani ya hili taifa tumemuangusha rais Magufuli katiba utekelezaji. Wengi waliopewa madaraka wamelewa na kuharibu. Mfano mzuri ni Makonda, January, Nape, Jerry Silaa, Kigwangalla na wengineo. Mimi mwenyewe nilitumbuliwa NSSF na niko bench hadi sasa ingawa nafanya biashara zangu.

Napenda kuwaasa wanakujwaa la JF kupendekeza majina ya wadau hasa vijana vichwa walio nje ya Nchi ambao wanaweza kuwa na manufaa makubwa kwa taifa la Tanzania. Naomba majina 10 tu ya vijana walio na nafasi kubwa nchi za nje na wenye uwezo mkubwa ambao wanaweza kuchangia katika maendeleo ya haraka. Elimu, Uchumi, Teknolojia, Tiba na Kilimo.

Mmi kwa Upande Wangu wakwanza kabisa, nampendekeza.

1. Hasan Saudin (US-Blogger) kwa wana mitandao, huyu Jamaa ni kichwa haswaa. Huyu kijana siyo wa kawaida. Huyu ndio mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kijana mmoja aliyetusumbua sana kwenye mitandao ambaye anafanya kazi kwenye taasisi za fedha huko Marekani (Bank of America) kama sikosei. Mwana Bloga Michuzi anaweza kutusaidia kupata jina lake au LEMUTUZZ.

2. Hildebrand Shayo: Huyu ni mwalimu wa uchumi moja ya vyuo vikuu nchini uingereza. Amekuwa mstari wa mbele kuhelemisha umma kupitia makala yaka patika makagazeti tofauti humu nchini. Ni mchapa kazi ingawa kwa sasa hajulikani halipo. Anaweza kusaidia katika mambo ya kiuchumi

3. Mange Kimambi: Ni wachache wasiomjua Mange Kimambi, na hii ni ishara tosha kwamba ana mchango mkubwa katiba taifa letu. Mange hana elimu kama za wakina Dr. Shayo etc, lakini anaweza kuleta mabadiliko makubwa kutokana na ushawishi wake. She is very influential hasa kwa wadada. Angefaa sana sector ya sanaa na habari. hata kuwa kitengo cha propaganda, ila kwa sababu ulimvua mfalme juha uchi, sidhani atabaki salama akikanyaga ardhi ya Tanzania. Kwa mujibu wa Loveness Mamuya, kumsitiri Mfalme Juha, walilazimika ku mcompromise , lakini kwa kifupi, Mange ana potential kubwa sana kwa taifa letu

Hassan kama sikosei ni mchumi na anafanya kazi na State ya Georgia nchini Marekani kama Mchumi. Huyu kijana yuko vizuri kichwani na michango yake yanaweza kuwa ya faida kubwa sana kwa taifa la Tanzania. Nampendekeza wakwanza Kabisa.

NASUBIRI MAJINA MENGINE
 
Jamiiforums kama kawaida inakwenda mbali kumjua huyu Hasaan K. Saudin kidogo kwa undani na umahiri aliopewa kama mwanzisha uzi asemavyo na ikiwa kweli ni kijana au la, kwa kupata historia ya mapito yake na shughuli mbalimbali alizofanya na uwezekano wa kuwa na mchango kwa Taifa ktk kipindi hiki :

SEPTEMBER 26, 2017

Meet Hassan Saudin of Peach Consult in Lawrenceville​

Today we’d like to introduce you to Hassan Saudin.

I am a proud native of Tanzania, the land of the magnificent Serengeti, the mighty Mount Kilimanjaro and the beautiful white sand beaches of Zanzibar. When I first entered the work force in Tanzania I spent a few years in the accounting and finance profession and worked my way up to becoming a Controller of a small privately held company. My passion in entrepreneurship inspired me to founding and managing a successful boutique advertising company in Tanzania.

On Valentine’s day of 2001, I landed in Boston as an immigrant to look for exciting and rewarding opportunities in this great country. That was my second migration after having lived in Dubai, U.A.E back in 1980s.

My first employer in the US was Accountemps, a division of Robert Half International and the world’s largest staffing agency for accounting and finance professionals, I worked as a Financial Analyst and my engagements were mainly with insurance and banking clients. During tax seasons, I worked as a Tax Preparer for Jackson Hewitt in Boston.

In 2003, I made another bold decision to move south east, Atlanta was my destination. The city attracted me for several reasons like great weather, affordable cost of living, diversity, great quality of life and world class infrastructure. My job search landed me a position as a Financial Analyst with Gwinnett County Government, a AAA rated government by all the 3 major credit rating agencies, so it gave me an opportunity to work with and learn from some of the most experienced and competent professionals in public finance.

Read More : Meet Hassan Saudin of Peach Consult in Lawrenceville - Voyage ATL
 
Kipimo cha ujana Tz ni nini? Kigwa, January and Nape wote hao ni above 45yrs, unaweza kuwaweka kundi la vijana hao? And mtu kama January ni kitu gani alikosea katika majukumu yake ya uwaziri?

Kilichomponza ni kumzidi Mkulu kwa kila kitu na kujaribu kumtetea baba yake aliposhambuliwa na taahira Cyprian.
 
Kipimo cha ujana Tz ni nini? Kigwa, January and Nape wote hao ni above 45yrs, unaweza kuwaweka kundi la vijana hao? And mtu kama January ni kitu gani alikosea katika majukumu yake ya uwaziri? Kilichomponza ni kumzidi Mkulu kwa kila kitu na kujaribu kumtetea baba yake aliposhambuliwa na taahira Cyprian.
Ngoja tuingie chinboni tutaibuka na majina
 
Jiwe haamini watu kutoka nje anaona kama watatumiwa na mabeberu kumhujumu, kama timu ya Taifa tu alishauri akina Samatta wapigwe chini unategemea nini.
 
Jiwe haamini watu kutoka nje anaona kama watatumiwa na mabeberu kumhujumu, kama timu ya Taifa tu alishauri akina Samatta wapigwe chini unategemea nini.

Duuu! Ni kweli mkuu alishauri mchezaji kama Samatta apigwe chini?
 
Duuu! Ni kweli mkuu alishauri mchezaji kama Samatta apigwe chini?
Ndio Mara ya kwanza alishauri timu ya Taifa sio lazima kutumia wachezaji wanaocheza nje ili kupata matokea....juzi kashauri timu ya Taifa ikiwezekana iachene na wachezaji wa Yanga na Simba itafute kwenye timu ndogondogo huko.

Sema jiwe anajua kila kitu.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio Mara ya kwanza alishauri timu ya Taifa sio lazima kutumia wachezaji wanaocheza nje ili kupata matokea....juzi kashauri timu ya Taifa ikiwezekana iachene na wachezaji wa Yanga na Simba itafute kwenye timu ndogondogo huko.

Sema jiwe anajua kila kitu.[emoji23][emoji23][emoji23]

Ahaaa ahaaa, nimecheka kwa nguvu. Basi kama ni hivyo, tatizo ni kubwa kuliko nilivyokuwa nadhani.
 
Sema Mzee Mwanakijiji amepoa Sana Sijui anasubiri uteuzi...enzi za JK alikuwa Moto Sana

Sio amepoa, hana raha ya kuingia humu jukwaani kwani anashambuliwa sana baada ya kuwa timu JPM, na kuanza kufumbia macho uvunjifu wa demokrasia. Kibaya zaidi hata mapungufu anayokemea dhidi ya kukariri utawala Bora ili apate ahueni ya kumtetea mkulu hayafanyiwi kazi. Hali hiyo imefanya hili jukwaa kwake kuwa shubiri.
 
Vijana ndani ya hili taifa tumemuangusha rais Magufuli katiba utekelezaji. Wengi waliopewa madaraka wamelewa na kuharibu. Mfano mzuri ni Makonda, January, Nape, Jerry Silaa, Kigwangalla na wengineo. Mimi mwenyewe nilitumbuliwa NSSF na niko bench hadi sasa ingawa nafanya biashara zangu

Napenda kuwaasa wanakujwaa la JF kupendekeza majina ya wadau hasa vijana vichwa walio nje ya Nchi ambao wanaweza kuwa na manufaa makubwa kwa taifa la Tanzania. Naomba majina 10 tu ya vijana walio na nafasi kubwa nchi za nje na wenye uwezo mkubwa ambao wanaweza kuchangia katika maendeleo ya haraka. Elimu, Uchumi, Teknolojia, Tiba na Kilimo

Mmi kwa Upande Wangu wakwanza kabisa, nampendekeza

1. Hasan Saudin (US-Blogger) kwa wana mitandao, huyu Jamaa ni kichwa haswaa. Huyu kijana siyo wa kawaida. Huyu ndio mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kijana mmoja aliyetusumbua sana kwenye mitandao ambaye anafanya kazi kwenye taasisi za fedha huko Marekani (Bank of America) kama sikosei. Mwana Bloga Michuzi anaweza kutusaidia kupata jina lake au LEMUTUZZ. Hassan kama sikosei ni mchumi na anafanya kazi na State ya Georgia nchini Marekani kama Mchumi. Huyu kijana yuko vizuri kichwani na michango yake yanaweza kuwa ya faida kubwa sana kwa taifa la Tanzania. Nampendekeza wakwanza Kabisa

Nitachukua majina kutona na michango yenu......
Kabla ya kufikilia diaspora, mkuu kwanza nikupe pole kwa kutumbuliwa,pili niungane na wewe,kwamba vijana tunaperfom chini ya viwango ,ila sio ,tz inavijana wazuri tu tatizo ni mfumo wa kuwapata vijana katika kutumika nafsi mbali ,ukipatikana tutapata vijana wazuri tu,wapo vijana tz wanauwezo mkubwa sema tu mfumo wa kuwapata ndo mbovu,wanasikika ni wale wenye connection flan flan ali Hali uwezo wao kiungozi hamna kitu,
Note
Elim humuongezea mtu skill kidogo za uongozi ila uongozi ni kipaji Cha kuzaliwa hakiwezi TENGENEZWA na elim
 
Back
Top Bottom