Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! ila mkuu siku hizi mambo yamebadilika uzee siyo umri tena,bali ni mpaka uonekane mzee.Kipimo cha ujana Tz ni nini? Kigwa, January and Nape wote hao ni above 45yrs, unaweza kuwaweka kundi la vijana hao? And mtu kama January ni kitu gani alikosea katika majukumu yake ya uwaziri? Kilichomponza ni kumzidi Mkulu kwa kila kitu na kujaribu kumtetea baba yake aliposhambuliwa na taahira Cyprian.
Hivi ni nini kimemkuta Mwigulu awamu hii? Kawa fala sana jamaaJiwe ni muoga wa vijana smart anawaundia zengwe kabaki na misukule yakina mwigulu akiitukana inasema asante tusi zuri
Hahahaaa majembe ya Magufuli ndo hao??
Ambao wanaokena wasafi ndio wana muangusha JPM bora sie aiseeHahahaaa majembe ya Magufuli ndo hao??
Yanatifua kote kote
Vijana ndani ya hili taifa tumemuangusha rais Magufuli katiba utekelezaji. Wengi waliopewa madaraka wamelewa na kuharibu. Mfano mzuri ni Makonda, January, Nape, Jerry Silaa, Kigwangalla na wengineo. Mimi mwenyewe nilitumbuliwa NSSF na niko bench hadi sasa ingawa nafanya biashara zangu
Napenda kuwaasa wanakujwaa la JF kupendekeza majina ya wadau hasa vijana vichwa walio nje ya Nchi ambao wanaweza kuwa na manufaa makubwa kwa taifa la Tanzania. Naomba majina 10 tu ya vijana walio na nafasi kubwa nchi za nje na wenye uwezo mkubwa ambao wanaweza kuchangia katika maendeleo ya haraka. Elimu, Uchumi, Teknolojia, Tiba na Kilimo
Mmi kwa Upande Wangu wakwanza kabisa, nampendekeza
1. Hasan Saudin (US-Blogger) kwa wana mitandao, huyu Jamaa ni kichwa haswaa. Huyu kijana siyo wa kawaida. Huyu ndio mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kijana mmoja aliyetusumbua sana kwenye mitandao ambaye anafanya kazi kwenye taasisi za fedha huko Marekani (Bank of America) kama sikosei. Mwana Bloga Michuzi anaweza kutusaidia kupata jina lake au LEMUTUZZ. Hassan kama sikosei ni mchumi na anafanya kazi na State ya Georgia nchini Marekani kama Mchumi. Huyu kijana yuko vizuri kichwani na michango yake yanaweza kuwa ya faida kubwa sana kwa taifa la Tanzania. Nampendekeza wakwanza Kabisa
Nitachukua majina kutona na michango yenu......
Hahaha! Sawa kaka. Le mutuz naye vipi, maana ni rika la Magufuli lakini mara nyingi huwa naona watu wanamweka kundi la vijanaHahaha! ila mkuu siku hizi mambo yamebadilika uzee siyo umri tena,bali ni mpaka uonekane mzee.
Ukijiweka kidingi dingi, mambo ya kikoloni(living in the past)kwa wingi nini,utaitwa dingi tu hata kama una blw 34...Imagine mtu kama January unamuita dingi, si unamkosea heshima mkuu?
Yule ni fala kitambo.ugopa watu waliokulia familia fukara kupitiliza ni wako hivyoHivi ni nini kimemkuta Mwigulu awamu hii? Kawa fala sana jamaa
Wazo lako hukutafakari zaidi kabla ya kuliwakilisha. Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kukubali kuacha shughuli yake yenye future kuja kuitikia teuzi ambayo hawezi tumia weledi wake. Teuzi za nchi za dunia ya tatu ni kutekeleza lile uonalo aliekuteua atafurahi, hata kama ni kuwavua nguo watoto wa kike na kuwakagua kama wanavaa chupi, na kuwacharaza mboko wale ambao hawakuvaa.Vijana ndani ya hili taifa tumemuangusha rais Magufuli katiba utekelezaji. Wengi waliopewa madaraka wamelewa na kuharibu. Mfano mzuri ni Makonda, January, Nape, Jerry Silaa, Kigwangalla na wengineo. Mimi mwenyewe nilitumbuliwa NSSF na niko bench hadi sasa ingawa nafanya biashara zangu
Napenda kuwaasa wanakujwaa la JF kupendekeza majina ya wadau hasa vijana vichwa walio nje ya Nchi ambao wanaweza kuwa na manufaa makubwa kwa taifa la Tanzania. Naomba majina 10 tu ya vijana walio na nafasi kubwa nchi za nje na wenye uwezo mkubwa ambao wanaweza kuchangia katika maendeleo ya haraka. Elimu, Uchumi, Teknolojia, Tiba na Kilimo
Mmi kwa Upande Wangu wakwanza kabisa, nampendekeza
1. Hasan Saudin (US-Blogger) kwa wana mitandao, huyu Jamaa ni kichwa haswaa. Huyu kijana siyo wa kawaida. Huyu ndio mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kijana mmoja aliyetusumbua sana kwenye mitandao ambaye anafanya kazi kwenye taasisi za fedha huko Marekani (Bank of America) kama sikosei. Mwana Bloga Michuzi anaweza kutusaidia kupata jina lake au LEMUTUZZ. Hassan kama sikosei ni mchumi na anafanya kazi na State ya Georgia nchini Marekani kama Mchumi. Huyu kijana yuko vizuri kichwani na michango yake yanaweza kuwa ya faida kubwa sana kwa taifa la Tanzania. Nampendekeza wakwanza Kabisa
Nitachukua majina kutona na michango yenu......
Ni kweli, head wa department ninayofanyia kazi katokea familia hizo, jamaa ni limbukeni sijapata ona. And yeye kazi yake kubwa ni kujipendekeza kwa mabosi na kuwaonesha flani and flani hawafanyi kaziYule ni fala kitambo.ugopa watu waliokulia familia fukara kupitiliza ni wako hivyo
Yaani ndivyo walivyoNi kweli, head wa department ninayofanyia kazi katokea familia hizo, jamaa ni limbukeni sijapata ona. And yeye kazi yake kubwa ni kujipendekeza kwa mabosi na kuwaonesha flani and flani hawafanyi kazi
Vijana tunaoishi Norway msitujumuishe kwenye huo utopolo wenuVijana ndani ya hili taifa tumemuangusha rais Magufuli katiba utekelezaji. Wengi waliopewa madaraka wamelewa na kuharibu. Mfano mzuri ni Makonda, January, Nape, Jerry Silaa, Kigwangalla na wengineo. Mimi mwenyewe nilitumbuliwa NSSF na niko bench hadi sasa ingawa nafanya biashara zangu
Napenda kuwaasa wanakujwaa la JF kupendekeza majina ya wadau hasa vijana vichwa walio nje ya Nchi ambao wanaweza kuwa na manufaa makubwa kwa taifa la Tanzania. Naomba majina 10 tu ya vijana walio na nafasi kubwa nchi za nje na wenye uwezo mkubwa ambao wanaweza kuchangia katika maendeleo ya haraka. Elimu, Uchumi, Teknolojia, Tiba na Kilimo
Mmi kwa Upande Wangu wakwanza kabisa, nampendekeza
1. Hasan Saudin (US-Blogger) kwa wana mitandao, huyu Jamaa ni kichwa haswaa. Huyu kijana siyo wa kawaida. Huyu ndio mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kijana mmoja aliyetusumbua sana kwenye mitandao ambaye anafanya kazi kwenye taasisi za fedha huko Marekani (Bank of America) kama sikosei. Mwana Bloga Michuzi anaweza kutusaidia kupata jina lake au LEMUTUZZ. Hassan kama sikosei ni mchumi na anafanya kazi na State ya Georgia nchini Marekani kama Mchumi. Huyu kijana yuko vizuri kichwani na michango yake yanaweza kuwa ya faida kubwa sana kwa taifa la Tanzania. Nampendekeza wakwanza Kabisa
Nitachukua majina kutona na michango yenu......