- Thread starter
- #21
Ndo tumechelewa hivyo kupata maendeleo wavumilie tu🤗🤗🤗Nchi tuna laana hii. Li-website lenyewe zito kama Samia.
📌📌📌Imagine ingekuwa inasimamiwa na sector binafsi.Serikali haiwezagi kufanya biashara. Huko wenye kitengo watu hawajali mnunue msinunue mishahara yao inaingia kila mwezi.