Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kupitia kwa huu mfumo???? Ambapo kama kiwanja kipo wazi kinawekewa alama ya kijani.Wahuni hao Ilemela MC wana viwanja wanauza Tsh 4000 kwa sqm lakini ukienda unaambiwa VIMEISHA.
Wanauziana kwa MAELEKEZO.
Jaza zile details zako zote ulizotumia kuandikisha kadi yako ya NIDANapata tabu sana kutengeneza hii account...... muongozo tafadhali
Naona mmewekewa 1SQM kwa 12,000 TSZ, vipi bei ukilinganisha na vile vinavyouzwa na makampuni na madalali, ni kubwa sana au vipi?Nimepata kiwanja kibaha pangani
MBONA BEI YA VIWANJA NI KUBWA?Ujumbe huu uwaendee vijana watafutaji na wawekezaji hasa wale wanaopenda kuwekeza kwenye ARIDHI.
Ingia google andika Tausi portal ingia kwenye menu.Angalia sehemu imeandikwa LAND SALES🤝
Ukiingia kupitia computer utaona details nyingi kama bei ya kiwanja,ukubwa wake na plot namba.Simu haionyeshi vizuri hivyo vitu labda ramani tu.
UZI TAYARI!!!
Hapo umenena vyenye Ako na akili mingi brodaDodoma huko kuna viwanja tele,badala ya kwenda kwa akina boss kwenzi na matapeli wengine bora uwende huko halmashauri🤗
Pole sanaIdea ambayo nimeifanya mwaka 2020 na nikaiacha kwa PC baada ya kuona haimake sense Leo naona kama inamake sense na hao jamaa 😅😅😅.
Asante lakini nimeamua kuirudia rasmi na nimeshaiwekea features kadhaa ambazo zinaifanya iwe more powerful than other systems zenye mlengo wa namna hii 😅😅😅Pole sana
Sawa sawaAsante lakini nimeamua kuirudia rasmi na nimeshaiwekea features kadhaa ambazo zinaifanya iwe more powerful than other systems zenye mlengo wa namna hii 😅😅😅