Ndo tumechelewa hivyo kupata maendeleo wavumilie tu🤗🤗🤗Nchi tuna laana hii. Li-website lenyewe zito kama Samia.
Kabisa,ilemela mc walijitahidi na viwanja viliisha haraka mno[emoji419]Halimashauri zimelala balaaaa
Kupitia huu mfumo vishoka na matapeli wangeweza kukomeshwa na kutoweka.
Pia hata user interface yao haiko vizuri sana kwa simu(sio responsive).ndo ivyo mzee sema wapo slow sana na hawajapata watu wazuri wa kuwafanyia marketing.
Bado wanafanya mambo business as usual sijui ni kwa vile ni kitengo cha serikali au vp.
Mkuu wafate ukawabambate makofi😂😂😂😂Yaani hiyo website ilivyotengenezwa utafikiri mavi ya ng’ombe , site ya hovyo utafikiri ni file la virus, wabongo get serious
Nchi ngumu hii.Hawakuifanyia majaribio hiyo website yao kuona mapungufu.Nchi inahitaji kitengo cha DOGE kama USA kwa Trump🙌🙌🙌Pia hata user interface yao haiko vizuri sana kwa simu(sio responsive).
Website za serikali huwa wanazingatia functionality tu hayo mambo ya UI hawanaga muda nayo.Nchi ngumu hii.hawakuifanyia majaribio hiyo website yao kuona mapungufu.Nchi inahitaji kitengo cha DOGE kama USA kwa Trump🙌🙌🙌
HahahaahahNchi tuna laana hii. Li-website lenyewe zito kama Samia.
📌waendelee kupima na kuvipachika humo kwenye website kupunguza kujuana na vishoka,pia hii inasaidia kupanga miji na kutokomeza slams na squatters.Sijui kwanini wizara husika hailivalii njuga hili jambo🤔Kabisa,ilemela mc walijitahidi na viwanja viliisha haraka mno
kwa staili hiyo tutafika tumechoka balaaaa.Website za serikali huwa wanazingatia functionality tu hayo mambo ya UI hawanaga muda nayo.
Kabisa, watu wanapiga pesa nyingi halafu hamna kinachofanyika cha maana, mifumo ya serikali karibia yote iko na mapungufu kibao na si kwamba watu wanashindwa kuitengeneza ikae sawa mara moja ila nadhani wanafanya hivyo ili waendelee kupiga kazi kwa lengo la kuendelea kuokota okota.kwa staili hiyo tutafika tumechoka balaaaa.
📌umasikini ni laaaanaaaaa!!!!Kabisa, watu wanapiga pesa nyingi halafu hamna kinachofanyika cha maana, mifumo ya serikali karibia yote iko na mapungufu kibao na si kwamba watu wanashindwa kuitengeneza ikae sawa mara moja ila nadhani wanafanya hivyo ili waendelee kupiga kazi kwa lengo la kuendelea kuokota okota.
Unanikosea heshima sifaninii udalali.Mzee wa Make Kayumba Great Again(MAKAGA)/St.LIKUD🙌😂Lipia tangazo
I was joking mkuu Unajua nimeanza kunywa Kwa ajili ya Valentine Kesho 🤣🤣🤣🥲Unanikosea heshima sifaninii udalali.Mzee wa Make Kayumba Great Again(MKGA)/St.LIKUD🙌😂
Mimi nawasaidia vijana maana wahusika wanaanzisha project na hayatangazwi na mpaka ujue lazima uwe mfukunyuku au uwe na connection🤝
Pamoja sana ndugu yangu😀😀😀I was joking mkuu Unajua nimeanza kunywa Kwa ajili ya Valentine Kesho 🤣🤣🤣🥲