Nakuunga mkono mkuuHayo yote uliyoyasema ni sawa ila sio kwa TZ hapa
Uuguzi kwetu ni miongoni mwa kazi ngumu na yenye risk kubwa na mapato kidogo sana
Muuguzi mwenye shahada serikalini ana basic ya 980K na amesoma miaka minne..Yani analingana mshahara na Lab scientist aliyesoma miaka mitatu
Wanaojiunga na uuguzi wanazidi kuongezeka vyuoni, wewe baki na kimanati shingoni, hata wewe ukiumwa utawakuta wauguzi shupavu wodini wakuonyeshe nini cha kufanya. Yaani hakuna profession ya afya ambayo ni Superior to one another, they need to coexist, hata hivyo market ya udaktari inazidi kupungua na ile ya uuguzi inazidi kwenda juu. Hiki ndicho ninachojaribu kuwaeleza vijana ambao wanaona prestige kuitwa Dr.Unatumia nguvu sana kuutetea unesi kwasababu ni mbovu, ungekuwa ni mzuri kusingekuwa na sababu ya kuanzisha thread kuusifia, ungejisifia wenyewe tu. Yaani kabisa nursing ufananishe na medicine?? haupo serious
Mishahara ya wahitimu inapangwa kwa kufuata vigezo vingi, miongoni mwa vigezo hivyo ni miaka ya kozi mtu aliyosoma na kuhitimu. Udaktari unasomwa miaka 5 pamoja na mwaka mmoja wa mafunzo kazini (internship) na uuguzi ni miaka 4 au 3 au 2.5 kutokana umesoma chuo gani. Ndio maana daktari anapewa 1.2m kwa Mwezi anapoanza na muuguzi na mfamasia wanapewa 0.980m kama unavyosema. Sasa 1.2 ina tofauti gani kubwa na laki 980? Daktari anapata mapato yake kwa kuhangaika sana huku na huko na kuacha familia yake ili afanye part-time kwenye viosk (hospital za watu binafsi), kuhudhuria seminar, kufanya procedure haramu kama kutoa mimba na kula rushwa (CCD). Kimsingi mchahara wa daktari na muuguzi aliyesema miaka 4 haipishani sana kule utumishi.
Wakati wewe unasoma mwaka wa tano na intern muuguzi kashaajiriwa, ili daktari awe na thamani lazima aende tena miaka 4 MMed, we huoni kuwa huwa hivyo 500000 haifanani na mahangaiko take? Na mahangaiko yake lazima yaanzie shule ya msingi na sekondari asome PCB na kufaulu sana lakini baadae laki 50000 tu tofauti.Nikusahihishe mkuu.Kabla ya makato daktari ana 1,480,000 wakati nurse and 980,000
Hii tofauti kwako ni ndogo?Maana laki tano ni mshahara wa mtu kabisa
Kipato cha ziada cha nurse ni nini kama sio part time?
Mimi nadhani mtu akasome nursing kwa sababu anapenda ila ukilinganisha kazi na maslahi,atajila
Stori kama hizi muwe mnaongea mnapokutana nyie wauguzi kwa wauguzi, kaandae pack ya C/S huko mwanaume nikafanye kazi, nakupa order unatekeleza, wew huwezi kuthubutu kunipa mimi order. Eti nursing ni bora kuliko medicine... duuuhWanaojiunga na uuguzi wanazidi kuongezeka vyuoni, wewe baki na kimanati shingoni, hata wewe ukiumwa utawakuta wauguzi shupavu wodini wakuonyeshe nini cha kufanya. Yaani hakuna profession ya afya ambayo ni Superior to one another, they need to coexist, hata hivyo market ya udaktari inazidi kupungua na ile ya uuguzi inazidi kwenda juu. Hiki ndicho ninachojaribu kuwaeleza vijana ambao wanaona prestige kuitwa Dr. Ona sasa vijana waliohitimu udaktari ambao hawana ajira no wengi sana na November wanaingia wengine sokoni. Ona ilipotangazwa madaktari walivyo kurupuka kwenda Kenya kuchukua nafasi ya waliogoma kule. Ile ni aibu kwa udaktari duniani. Kama ungekuwa profession adimu tusingeona aibu Ile
Haha waendelee kugoogle...ila wawe wanajua pharmacokinetics na pharmacody amicsKinyume chake. Hakuna hospital yoyote itaajiri madaktari wengi kuliko manesi. Na hii ndiyo maana udaktari unachina duniani kote. Wagonjwa wengi Wana Google matatibabu yao ya dawa, hawahitaji kuandikiwa dawa na daktari tena. Wauguzi huwezi kuwareplace na mtu yeyote maana hata ukienda huko vijijini utakuta zahanati nyingi zinaendeshwa na wauguzi tu mwanzo mwisho. Madaktari wanaweza kugoma kama wakitaka lakini wauguzi hawawezi kugoma wagonjwa wakabaki salama hata kwa masaa 2 tu.
Kazi Ya Kisister Du.
Najiribu Kuwaza Wewe
Ni Baba Uliye Somea Unesi
Mtoto Wako Tena Wa Kike Anakuuliza "Baba Unafanya Kazi Gani " Unabaki Kulamba Lips Tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna muuguzi anaejielewa anaeweza kutoa pumba kama hizi. Pote duniani hili suala linaeleweka wala hamna haja ya mjadala.Wakati wewe unasoma mwaka wa tano na intern muuguzi kashaajiriwa, ili daktari awe na thamani lazima aende tena miaka 4 MMed, we huoni kuwa huwa hivyo 500000 haifanani na mahangaiko take? Na mahangaiko yake lazima yaanzie shule ya msingi na sekondari asome PCB na kufaulu sana lakini baadae laki 50000 tu tofauti. Muuguzi ana muda wa kufuga kuku na kuuza gege wakati wengine wanahangaika kwenye viosk kuongeza kipato.
Kwani wewe ni Mtanzania kweli?? Sina imani na huo uandishiHumu watu wanajadili jinsi ya kuajiri au jinsi ya kutumia masaa ya watu waoga. Yaani wewe mfano kwa sababu huna kazi na masaa yako basi una mbinasifishia mtu mwenye kazi nayo, wewe atakakuwa anakulipa kwa kutumia masaa yako.
Akisha yatumia baada ya miaka kadhaa akisha ona umechoka na masaa yako hayana faida kunwa ndo pale mkataba itasitishwa na utaenda kijijini kuanza kufuga Ng'ombe.
na si jinsi ya kuajiriwa. Hii ulipaswa kuipeleka jukwaa la Elimu.
Mod wasaidie kupeleka huko
Sent using Jamii Forums mobile app
uko sahihi ila hujui kujielezaStori kama hizi muwe mnaongea mnapokutana nyie wauguzi kwa wauguzi, kaandae pack ya C/S huko mwanaume nikafanye kazi, nakupa order unatekeleza, wew huwezi kuthubutu kunipa mimi order. Eti nursing ni bora kuliko medicine... duuuh
Mmmmh you are talking about the past. Pole pole mtaelewaJamaa unajifariji tu kwa kweli yani mtu apate chance mbili MD au Nursing afu eti useme aende nursing hahaha huyo akapimwe, Nurse wenyewe tu mnaona aibu ata kutaja izo tittle zenu in Public Of course zimekaa kidada sana ni kama leo Mtu anesoma Mambo za secretary au Records afu ni Me, How do u feel, Mugabe aliwahi kusema if your Course has many cute ladies then you are studying useless program. Nursing class unakuta Product ya wanaume ndio idadi ya girls
Hey young boy don't u feel shy to tell ur friends Doctors, Engineers, Lawyers, Accountants that you are a nurse mana kitaa uko kwa wajinga wajinga Kuna muda mnajifisha viatu vya udaktari