Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Uko sahihi, kuna dada nafahamiana naye.....undergraduate kasoma udsm, Masters Mzumbe.......akawa amepanga kwenda US US kufanya phD........alivyofika huko pamoja na marafiki zake wakamshawishi aachane na kusoma pihechidii asomee nursing.......akaanza certificate alipomaliza akaunganisha diploma.....saizi ameajiriwa huko ni nurse.........ana Masters ya Business Administration ya Mzumbe na Course moja ya kule UDBS..........alitumia cheti cha form 4 tu