Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

Kinachowavutia vijana kusoma MD ni kufanya PV examination na kuzalisha baaaasi! yaani "kunawa" mambo mingine yote yanawakera.

Kwani kuzalisha hata tabibu msaidizi,manesi wanafanya mkuu.....


Minaona maslahi ni madogo ndio maana mtu anaona aangalie ustaarabu mwengine tuu

Haiwezekani MD ukamlipa laki5
 
Hutaki acha..wenzako watauchukua...naona huzijui hospital private za bongo wewe..ndio mana nakuuliza upo bongo au wewe ni diaspora.


#MaendeleoHayanaChama

[emoji849][emoji849][emoji849]....Ni hatari
 
Mtu mwenye diploma ya marketing anaweza soma bachela ya pharmacy?
 
Mtu mwenye diploma ya marketing anaweza soma bachela ya pharmacy?

IMG_5446.jpg

IMG_5448.jpg

[emoji3516][emoji3516]
 
Mininachoona vijana wengi wanaacha tu kufanya hizo kazi za udaktari na kuingia kwenye biashara nyengine Sababu ya maslahi ni madogo upande wa udaktari lakini sio kua kazi hakuna
Umepatia sana mkuu.

Cha muhimu mkono uende kinywani.
 
Labda kama matokeo yake ya form six Pcb yapo fresh tofauti na hapo kama hana diploma ya pharmacy HAWEZI KUSOMA
Kuna watu wanasoma course za kawaida na wanavuta mpunga WA maana kabisa tofauti na madr
 
Kuna watu wanasoma course za kawaida na wanavuta mpunga WA maana kabisa tofauti na madr

Ndio ni kweli......na vijana wengi wanasoma udaktari kwa expectation mbili kwanza status yan kuitwa docta halafu pia wanadhani ukiwa docta ushakua tajir....sasa wakishasoma wakiwa chuoni au wakimaliza ndio wanaona kumbe maslahi ni madogo kulingana na majukumu yao ya kazi sasa hapo ndipo wengi wanaona bora wafanye mambo mengine tuu yatakayowapa pesa...

Hapo ndio wengine wanaacha chuo,,,na wengine wanaweka vyeti kabatini
 
Haviwezi kuwa sawa na havitakaa viwe sawa.
Kwa maana ya upatikanaji wa ajira, huwezi kusema haitakaa viwe sawa..maana its all about demand and supply, miaka ya nyuma kidogo 2010 kurudi nyuma ukimaliza MD ni hot cake, sasa nashangaa saivi watu wanavyosema hapa kuna MDs wanalipwa hadi laki 5! Yaan wako saturated kiasi hiko ndio nashangaa...
 
Kwa maana ya upatikanaji wa ajira, huwezi kusema haitakaa viwe sawa..maana its all about demand and supply, miaka ya nyuma kidogo 2010 kurudi nyuma ukimaliza MD ni hot cake, sasa nashangaa saivi watu wanavyosema hapa kuna MDs wanalipwa hadi laki 5! Yaan wako saturated kiasi hiko ndio nashangaa...

mimi nadhani labda wanawazungumzia clinical Officer ndio hua wanalipwa pesa hizo

Lakini MD...6 years mh sitaki kuamini hili
 
Kwa maana ya upatikanaji wa ajira, huwezi kusema haitakaa viwe sawa..maana its all about demand and supply, miaka ya nyuma kidogo 2010 kurudi nyuma ukimaliza MD ni hot cake, sasa nashangaa saivi watu wanavyosema hapa kuna MDs wanalipwa hadi laki 5! Yaan wako saturated kiasi hiko ndio nashangaa...
Hata kama kuna mabadiliko ila Bado huwezi linganisha takwimu ya walimu na madaktari mtaani..
Mshahara haujawahi kutosha na hautakaa utoshe.
 
Jitihada za kuboresha hali za maisha za watanzania zinaendenda sambamba na kupunguza umuhimu wa MD kwenye jamii. Watu wakizaa kwa mpango, wakala vizuri, wakavaa viatu, wakanywa maji safi, wakatumia choo, wakachanjwa, wakatii sheria za barabarani bila shuruti, wakalala kwenye net, na kupunguza utupaji ovyo wa takataka basi kiama cha madaktari (MD) kitawakuta live bila chenga, haha. Sisemi hata kidogo kwamba Madaktari sio muhimu kwenye jamii, lakini ninachokisema fursa zao za ajira zinazidi kuminywa kila siku kutokana na ukuwaji wa maendeleo ya kijamii na teknolojia ya mawasiliano duniani. Iko siku daktari aliyeko Marekani atatibu wagonjwa walioko Tanzania, lakini Nurse aliyeko Marekani hataweza kumhudumia mgonjwa aliyeko Tanzania.
Umeongea kama Bwana Afya👍👍
 
Naimani hawa wanawazungumzia ma-clinical Officers
Vijana wetu tu wafundishe somo la namna ya kufikiria ( critical thinking) ili wajifunze kutokana na makosa ya wengine Badala ya makosa yao wenyewe. Wakati ule MD inaitwa rare professional wanafunzi walikuwa wakisomeshwa bure kabisa 100%, Leo hii watoto wetu wanadungwa deni kubwa la miaka 5 na loans board na wengine hawapati kabisaaa.

Hebu fikiria kijana Ana deni la mikopo ya miaka 5 atamaliza kulilipa lini hadi aanze kutengeneza faida? Hapo hapo unaambiwa ajira hamna.
 
Back
Top Bottom