Moral of the story: Vijana tafuteni hela, pisi haziangalii six pack siku hizi, pochi nene ndio dili.
Tutafute pesa tuwe na pisi kali? na tukiwa nao tunapata nini? pisi kali inaweza kuwa kwako kwangu kituko tu!
Mfano:unaweza pata pis yenye matako kubwa, kwangu mimi sipendi kwa sbb"
akili na matako havikai mwili mmoja"
Pia sioni kama pesa ni suruhisho la kila kitu, manara, masanja, mwaka unakumbuka habari zao?
Je habari za bilionea kutaliki mke, na mke kukosa vyote ya hivi karibuni unaikumbuka?
je ya yule bilionea wa Arusha, aliyepigwa risasi na mdogo wake kuchinjwa?
Je unawajua hawa? matajiri na wake zao warembo hatari, Mwisho wa siku wametalikiana:
Jeff Bezos and MacKenzie Scott.
Bill and Melinda Gates.
Elon Musk and Justine Musk and Talulah Riley (Talikiana mara mbili)
Kim Kardashian and Kanye West
Pia kijana akiwa na pesa nyingi, wanawake wengi wanamtafuta
Naona ni wakati wa kuibadirisha hii kauli mbiu,, "kijana tafuta pesa"
na iwe:
Kijana Tafuta pesa uwe na wanawake wengi