Siyo kila mwajiri huwa anahitaji watu nguli katika fani!
Kutokukizi vigezo ni moja ya CV inayoangaliwa zaidi na baadhi ya waajiri hususani nchi za afrika!
Nawakumbusha Vijana wakati mnapojitutumua kupandisha mabea CV mkumbuke pia hata CV mbovu na dhaifu INALIPA ZAIDI!
Hii mada haihusiani na ile mada nyingine niliyowahi kuwaambia humu (" Malaya anayo nafasi kubwa ya kuolewa kuliko bikira")
Kutokukizi vigezo ni moja ya CV inayoangaliwa zaidi na baadhi ya waajiri hususani nchi za afrika!
Nawakumbusha Vijana wakati mnapojitutumua kupandisha mabea CV mkumbuke pia hata CV mbovu na dhaifu INALIPA ZAIDI!
Hii mada haihusiani na ile mada nyingine niliyowahi kuwaambia humu (" Malaya anayo nafasi kubwa ya kuolewa kuliko bikira")