Vijana tuanze kujifunza kuwekeza mapema tupate uzoefu

Vijana tuanze kujifunza kuwekeza mapema tupate uzoefu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Wastaafu wanapoteza sana hela zao za viinuamgongo wakishastaafu, maana hawana uzoefu wowote wa biashara.
"The younger you start, the more successful you'll be".

Kujiajiri ni jambo linalofaa na kama unatengeneza brand nzuri na huduma na bidhaa zenye ubora, utafanikiwa sana miaka 5 tu mbele.

Tukisubiri pensheni ndio iwe mtaji, hatutafika mbali. Pensheni ikutane na biashara iliyosimama.

Mindsets za watanzania zipo katika kuajiriwa zaidi ya kufikiri kujiajiri matokeo yake vijana wamekuwa waoga wa kujiajiri na kufanya biashara.

Neno la hekima kwa wezee wangu wanaokaribia kustaafu yaani ni hivi hela ya kustaafu sio ya uwekezaji, bali ni hela ya kutengeneza mwili huku ukingojea kifo.

Sababu za wazee wastaafu kufa sana kwa presha, na wengine kupata matatizo ya akili ni kuwekeza baada ya kustaafu.
 
Wastaafu wanapoteza sana hela zao za viinuamgongo wakishastaafu, maana hawana uzoefu wowote wa biashara.
"The younger you start, the more successful you'll be".

Kujiajiri ni jambo linalofaa na kama unatengeneza brand nzuri na huduma na bidhaa zenye ubora, utafanikiwa sana miaka 5 tu mbele.

Tukisubiri pensheni ndio iwe mtaji, hatutafika mbali. Pensheni ikutane na biashara iliyosimama.

Mindsets za watanzania zipo katika kuajiriwa zaidi ya kufikiri kujiajiri matokeo yake vijana wamekuwa waoga wa kujiajiri na kufanya biashara.

Neno la hekima kwa wezee wangu wanaokaribia kustaafu yaani ni hivi hela ya kustaafu sio ya uwekezaji, bali ni hela ya kutengeneza mwili huku ukingojea kifo.

Sababu za wazee wastaafu kufa sana kwa presha, na wengine kupata matatizo ya akili ni kuwekeza baada ya kustaafu.
Kweli ila uwekezaji upi unamaanisha? Maana naona umeegemea kufanya entrepreneurship na sio uwekezaji.

Watanzania wengi hawapo kwenye level ya uwekezaji kwa sababu kuu mbili: Elimu na pia kipato wanachokipata asilimia kubwa inakuwa spent. Ila kama ni kufanya entrepreneurship, inawezekana kwa kipato kidogo mtu akazungusha then at the end of the day anapata profit, anatumia profit + capital kuendelea biashara yake mpaka inakuwa kubwa, inahitaji discipline ya hali ya juu ya kujikana nafsi kwa vijana wenye vipato vidogo.

Mi uwekezaji naoujua na ambao lazima uwe na maokoto ya kutosha ni eidha uwekeze kwenye stocks kupitia brokerage katika Dar Es Salaam stock exchange, ama ukanunue short term bonds UTT alafu unaziacha kwa muda wa miaka 5-10 au ununue long term bonds ila shida ya long term bonds ni monetary policies kubadilika badilika.

So nakuuliza ni uwekezaji gani unamaanisha?
 
Kweli ila uwekezaji upi unamaanisha? Maana naona umeegemea kufanya entrepreneurship na sio uwekezaji.

Watanzania wengi hawapo kwenye level ya uwekezaji kwa sababu kuu mbili: Elimu na pia kipato wanachokipata asilimia kubwa inakuwa spent. Ila kama ni kufanya entrepreneurship, inawezekana kwa kipato kidogo mtu akazungusha then at the end of the day anapata profit, anatumia profit + capital kuendelea biashara yake mpaka inakuwa kubwa, inahitaji discipline ya hali ya juu ya kujikana nafsi kwa vijana wenye vipato vidogo.

Mi uwekezaji naoujua na ambao lazima uwe na maokoto ya kutosha ni eidha uwekeze kwenye stocks kupitia brokerage katika Dar Es Salaam stock exchange, ama ukanunue short term bonds UTT alafu unaziacha kwa muda wa miaka 5-10 au ununue long term bonds ila shida ya long term bonds ni monetary policies kubadilika badilika.

So nakuuliza ni uwekezaji gani unamaanisha?
Kila eneo ulilopo kuna fursa ya kuwekeza kwa level yako uliyo nayo, cha msingi nia thabiti, nidhamu, subira, kujifunza kila wakati na kufuata taratibu za nchi uliyopo.
 
Kila eneo ulilopo kuna fursa ya kuwekeza kwa level yako uliyo nayo, cha msingi nia thabiti, nidhamu, subira, kujifunza kila wakati na kufuata taratibu za nchi uliyopo.
Ni kweli mkuu ila ishu ya discipline na patience na perseverance ni kazi kubwa kubwa.
Labda mtu awekeze M-KOBA au Tigo Kibubu wawe wanampa interest kila mwezi au anunue hisa vikoba.
 
Kwa vijana ni ngumu sana kuwekeza maana wengi wanapokuwa na ajira hawakumbuki kabisa kuweka akiba
Wengi wanachezea hela na kupata nasaha na ushauri kama huu ni wakeup call
Wengi wanadharau ila baadae ananza daa ningekuwa naweka hata laki2 kila mwezi
Mi naona vijana wa sikuhizi wanawekeza Kwa kununua assets kama nyumba .
 
Back
Top Bottom