Vijana tuanze kujifunza kuwekeza mapema tupate uzoefu

Vijana tuanze kujifunza kuwekeza mapema tupate uzoefu

Kweli ila uwekezaji upi unamaanisha? Maana naona umeegemea kufanya entrepreneurship na sio uwekezaji.

Watanzania wengi hawapo kwenye level ya uwekezaji kwa sababu kuu mbili: Elimu na pia kipato wanachokipata asilimia kubwa inakuwa spent. Ila kama ni kufanya entrepreneurship, inawezekana kwa kipato kidogo mtu akazungusha then at the end of the day anapata profit, anatumia profit + capital kuendelea biashara yake mpaka inakuwa kubwa, inahitaji discipline ya hali ya juu ya kujikana nafsi kwa vijana wenye vipato vidogo.

Mi uwekezaji naoujua na ambao lazima uwe na maokoto ya kutosha ni eidha uwekeze kwenye stocks kupitia brokerage katika Dar Es Salaam stock exchange, ama ukanunue short term bonds UTT alafu unaziacha kwa muda wa miaka 5-10 au ununue long term bonds ila shida ya long term bonds ni monetary policies kubadilika badilika.

So nakuuliza ni uwekezaji gani unamaanisha?
Mkuu inamaana ukiamua kutafuta pesa na kufungua shamba la nyuki na kuanza kuvuna asali na kuuza sio uwekezaji?
 

Attachments

  • Screenshot_20230916-195906.jpg
    Screenshot_20230916-195906.jpg
    29.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230916-195951.jpg
    Screenshot_20230916-195951.jpg
    27 KB · Views: 2
wamekudanganya, changanya na uhalisia.
Uwekezaji na biashara ni vitu viwili tofauti.

Sasa mzungu anadanganyaje wakati yeye ndo muanzilishi? Muafrika ndo muongo siku zote na siyo ngozi nyeupe.
Kama umenunua shamba ukalima alafu ukauza mazao, hiyo sio uwekezaji ni biashara.

Uwekezaji maana yake unaweka pesa yako kwenye asset ya mtu fulani Ili upate profit, mfano DP-WORLD wamewekeza kwenye bandari ya Dar Es Salaam ambayo ni Mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio mali ya DP-WORLD ila atapata Faida kutokana na alichowekeza.

Mtoa mada anachanganya Kati ya Uwekezaji na Biashara, alafu anasema nimekariri, kati ya yeye na mimi nani kakariri?


Tatizo Watanzania mnajifanya mnajua kiingereza kumbe hamna kitu. Hamuwafikii hata kwa robo Wakenya.
 
Uwekezaji na biashara ni vitu viwili tofauti.

Sasa mzungu anadanganyaje wakati yeye ndo muanzilishi? Muafrika ndo muongo siku zote na siyo ngozi nyeupe.
Kama umenunua shamba ukalima alafu ukauza mazao, hiyo sio uwekezaji ni biashara.

Uwekezaji maana yake unaweka pesa yako kwenye asset ya mtu fulani Ili upate profit, mfano DP-WORLD wamewekeza kwenye bandari ya Dar Es Salaam ambayo ni Mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio mali ya DP-WORLD ila atapata Faida kutokana na alichowekeza.

Mtoa mada anachanganya Kati ya Uwekezaji na Biashara, alafu anasema nimekariri, kati ya yeye na mimi nani kakariri?


Tatizo Watanzania mnajifanya mnajua kiingereza kumbe hamna kitu. Hamuwafikii hata kwa robo Wakenya.
tuweke pembeni biashara, tuzungumze uwekezaji.
Tafsiri rahisi ya huku Uswahilini, Uwekezaji ni kitendo cha kufanya jambo litakalo kuja kukufaa baadae, huku ukivumilia na kujizuia sana ili ufikie utakacho. Ndo maana kuna watu waliwekeza kwenye elimu nzuri kwa watoto wao, bila kujali kama wanaweza kufa. Wengine wakanunua mifugo, wengine wakapitia kila bar iliyofunguliwa. hizi za kununua hisa ni ktk ulimwengu wa kisasa, zamani pia watu waliwekeza ktk namna ya ulimwengu ulivyokuwa, mfano; kufanya matendo mema kwa jamii, nao ni uwekezaji kwa miaka ile, pengine hata leo. Kumcha Mungu ni uwekezaji pia.
 
tuweke pembeni biashara, tuzungumze uwekezaji.
Tafsiri rahisi ya huku Uswahilini, Uwekezaji ni kitendo cha kufanya jambo litakalo kuja kukufaa baadae, huku ukivumilia na kujizuia sana ili ufikie utakacho. Ndo maana kuna watu waliwekeza kwenye elimu nzuri kwa watoto wao, bila kujali kama wanaweza kufa. Wengine wakanunua mifugo, wengine wakapitia kila bar iliyofunguliwa. hizi za kununua hisa ni ktk ulimwengu wa kisasa, zamani pia watu waliwekeza ktk namna ya ulimwengu ulivyokuwa, mfano; kufanya matendo mema kwa jamii, nao ni uwekezaji kwa miaka ile, pengine hata leo. Kumcha Mungu ni uwekezaji pia.
Si unaona unasema waliwekeza kwenye elimu kwa watoto wao, maana yake sio wao wanasoma ila wameweka pesa zao kwa watoto wao wakiexpect future returns, tunarudi palepale kwenye definition ya investment.
Hapo kwenye kununua mifugo inategemea kama mifugo ni ya kwake ameinunua Ili auze,. hapo anafanya biashara sio uwekezaji, ila kama amewekeza pesa yake kwangu alafu mimi ndo nikahusika kununua mifugo na kufanya biashara, faida itakayopatikana yeye anachua gawio lake, huu ndo uwekezaji.

Wengi wanafanya biashara na sio uwekezaji.
 
Sawa lakini vijana wa Sasa wanataka maisha ya kula Bata Cha kwanza anataka awe na simu ya million 2 anataka aende club kila wikiendi anataka awe na pc Kali huku akiwa Hana kipato kinachoeleweka anataka aamke saa 4 asubui alfu aende kwenye supu ya kuku huku bado anakaa kwa mama na baba na kuja kustuka ana miaka 40 anaanza chuki na maneno kwa wale wenye Rika nae unakuta Wana maisha na tayari Wana mwelekeo wa maisha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kweli ila uwekezaji upi unamaanisha? Maana naona umeegemea kufanya entrepreneurship na sio uwekezaji.

Watanzania wengi hawapo kwenye level ya uwekezaji kwa sababu kuu mbili: Elimu na pia kipato wanachokipata asilimia kubwa inakuwa spent. Ila kama ni kufanya entrepreneurship, inawezekana kwa kipato kidogo mtu akazungusha then at the end of the day anapata profit, anatumia profit + capital kuendelea biashara yake mpaka inakuwa kubwa, inahitaji discipline ya hali ya juu ya kujikana nafsi kwa vijana wenye vipato vidogo.

Mi uwekezaji naoujua na ambao lazima uwe na maokoto ya kutosha ni eidha uwekeze kwenye stocks kupitia brokerage katika Dar Es Salaam stock exchange, ama ukanunue short term bonds UTT alafu unaziacha kwa muda wa miaka 5-10 au ununue long term bonds ila shida ya long term bonds ni monetary policies kubadilika badilika.

So nakuuliza ni uwekezaji gani unamaanisha?
Unataka kuaminisha uma ujasiriamali ni Kwa ajili ya watu wa kipato kidogo
 
Back
Top Bottom