Kweli Mac.Ingawa UKIMWI unaogopeka,amini kwamba kuna magonjwa ambayo ukiyapata leo kutoboa miaka 4 ni kazi sana sana.
Kwamfano upate homa au cancer ya ini, lazima utawahi ahela madukani na utamwacha mwenye ngoma anadunda.
Si kweli Mac. Fahamu kuhusu mwili wa binadamu. Reaction haifanani kwa kila mtu.Unafanya utani na VVU wewe, yani ukae miaka hata miwili bila kushituka?😅
Ile Hali tu ya kinga ya mwili kupambana na Kkirusi aina yoyote ni lazima kutakuwa na negative changes kwenye mwili (magonjwamagonjwa), Ikitokea Kinga ya mwili imefanikiwa ndo hapo mtu anakaa sawa, ila kwakua kinga ya mwili haiwezi kuvishida VVU, hapo ndipo mtu hupatwa na viugonjwa nyemelezi mfululizo.
Kwahiyo hata kama una kinga imara zinazoweza kupambana na VVU, bado hauwezi kutoboa mwaka mzima bila ugonjwa wowote ule.
Hiyo ni Negative.Hapo kipimo kinamaanisha positive au neg?
Huenda uko sawa ila kuna miamba inadunda tu mwaka unaisha. Sema waTz hatuna kawaida ya kupima afya, mtu anaweza akawa anadunda na ugonjwa hajijui.Unafanya utani na VVU wewe, yani ukae miaka hata miwili bila kushituka?[emoji28]
Ile Hali tu ya kinga ya mwili kupambana na Kkirusi aina yoyote ni lazima kutakuwa na negative changes kwenye mwili (magonjwamagonjwa), Ikitokea Kinga ya mwili imefanikiwa ndo hapo mtu anakaa sawa, ila kwakua kinga ya mwili haiwezi kuvishida VVU, hapo ndipo mtu hupatwa na viugonjwa nyemelezi mfululizo.
Kwahiyo hata kama una kinga imara zinazoweza kupambana na VVU, bado hauwezi kutoboa mwaka mzima bila ugonjwa wowote ule.
Ok asanteHiyo ni Negative.
Kama mimba tu.
Njoo na lonk telegramNaomba niqatengenezee group juu ya masuala haya naona mnabishana sana
Huwa nasema wakati mwingine ni bahati tu huu ugonjwa unajikuta umeukwepa au muda wako bado haujafika. Wengi wamefanya mistakes lakini bado wakatoka wapo negative.Naomba kuwaasa vijana wenzangu tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI bado upo na ni hatari.
Miezi 4 iliyopita nilifanya ujinga nikalala na mwanamke bila kutumia condom ama bila kumfanyia vipimo vya kiafya kujua hali yake, baada ya ngono tukafanya vipimo na ikagundulika mwenzangu alikua na maambukizi.
Huyo mwanamke nilikua nimefanya nae ngono mara mbili ila kwa time interval ya mwezi mmoja, hii mara ya pili ndio tukafanya vipimo na ikagundulika mwenzangu hakuwa mzima na wakamuanzishia dozi na mimi nikaanza kumeza PEP. Nashukuru baada ya miezi 4 niko salama.
Vijana tuendelee kuchukua tahadhari, Ukimwi ni hatari na unaweza kuzima ndoto zako kwa starehe ya siku ama sekunde chache. Tuendelee kuchukua tahadhari hadi pale chanjo ya Ukimwi itakapopatikana. Nilisikia wakubwa wa Dunia wameazimia kufikia 2030 wawe wametokomeza Ukimwi, ndio unasikia ujio wa chanjo na labda wataleta dawa sio muda mrefu ila for the mean time tuendelee kujilinda.
View attachment 1930729
Ya kwenda kwa babaTiketi ya kitu gani mkuu?
Kweli kabisaNadhani hakuna hatari yoyote na huenda UKIMWI ulikuwepo kwa miaka mingi kabla ya kugundulika ila fursa ya biashara ilipoonekana ndipo ukafanyiwa marketing duniani na africa ili uwe ugonjwa tishio. Hata vipimo vyake havioni virusi bali vinapima kama mwili unatoa antibodies ndo unaambiwa una virusi.
Metabolisms zinaweza kuwa tofauti kwa kila binadamu, lakini haiwezi kutokea mtu akakaa miaka mitano bila kushituka uwepo wa kurudi kwenye mwili wake, tena kama sisi wa mjini na haya mavyakula yetu plus pombe haiwezekani kabisa.Si kweli Mac. Fahamu kuhusu mwili wa binadamu. Reaction haifanani kwa kila mtu.
Sio kwa hii life style ya Sasa, yani mimi na huu ulevi wangu nipate ngoma alafu nitoboe mwaka mzima? Sidhani.Huenda uko sawa ila kuna miamba inadunda tu mwaka unaisha. Sema waTz hatuna kawaida ya kupima afya, mtu anaweza akawa anadunda na ugonjwa hajijui.
OkeyMetabolisms zinaweza kuwa tofauti kwa kila binadamu, lakini haiwezi kutokea mtu akakaa miaka mitano bila kushituka uwepo wa kurudi kwenye mwili wake, tena kama sisi wa mjini na haya mavyakula yetu plus pombe haiwezekani kabisa.
Haiwezekani.