Vijana tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI upo na bado ni hatari

Vijana tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI upo na bado ni hatari

Hatari gani endapo unaweza ishi navyo miaka mingi? Ukipata ukiwa 30 years mpaka vibadilike kuwa UKIMWI na kukusumbua unakaribia 70 years na hapa ni kwa mtu wa kawaida anayepata mlo kamili, Kama ww ni tajiri ndo kabisaaa 80 years huko ndo utaanza sumbuliwa na magonjwa labda, ambapo hata asiye na UKIMWI at that age anasumbuliwa tu, Ila ukiishi kwa hofu ndipo unaanza kukongoroka na kufa.
Daaah misconception nyingi mkuu muhimu tupime tu
 
Sure mkuu
Nadhani hakuna hatari yoyote na huenda UKIMWI ulikuwepo kwa miaka mingi kabla ya kugundulika ila fursa ya biashara ilipoonekana ndipo ukafanyiwa marketing duniani na africa ili uwe ugonjwa tishio. Hata vipimo vyake havioni virusi bali vinapima kama mwili unatoa antibodies ndo unaambiwa una virusi.
 
Kutom.bana kitajiri ndo kwa namna gani mkuu
kitajiri--unakuwa unaingiza mpini na kutoa kama beki kupiga mpira mbele na kurudisha nyuma tu )

kimasikini -kupiga chenga nyingi ndani ya papuchi kama messi akishika mpira.(yaan hii mpini unauingiza unaupindisha kulia kushoto kuta zote unatekenya .

sasa kuna wale tukiingiza kusikia joto tu wazungu haoo ukitoka condom inabaki ndan ya papuchi kaz yake kuitoa .
 
Nadhani hakuna hatari yoyote na huenda UKIMWI ulikuwepo kwa miaka mingi kabla ya kugundulika ila fursa ya biashara ilipoonekana ndipo ukafanyiwa marketing duniani na africa ili uwe ugonjwa tishio. Hata vipimo vyake havioni virusi bali vinapima kama mwili unatoa antibodies ndo unaambiwa una virusi.
Sawa asa kama ni hivo vipimo vinaangalia kama mwili unatoa antibodies Kwanini ufe?
 
kitajiri--unakuwa unaingiza mpini na kutoa kama beki kupiga mpira mbele na kurudisha nyuma tu )

kimasikini -kupiga chenga nyingi ndani ya papuchi kama messi akishika mpira.(yaan hii mpini unauingiza unaupindisha kulia kushoto kuta zote unatekenya .

sasa kuna wale tukiingiza kusikia joto tu wazungu haoo ukitoka condom inabaki ndan ya papuchi kaz yake kuitoa .
😂😂😂 Shule kalii hii mkuu
 
acha niseme hivi, siku hizi unakuta kijana au binti ako na girlfreands au boyfreands kaa 5. sasa kweli ukimupata mara ya kwanza munaweza pima akawa okay, yaani hana virus, lakini akaenda akatongoza au akatongozwa na mwanamume wingine au binti wingine na huyu mume au binti ako na virus, na wakafanya yao, ukapata virus, lakini sababu hakuambii ako na boyfreand au girlfreand wingine si musapima, munaendelea na yenu na huko virus inawapata yote wawili, so hakuna usalama na hata kupima, kubuka hakuna kitu kilichotengenezwa na binadamu huwa 100% okay, so hata hii kitu ya kupima inaweza toa matokeo yasiyokuwa okay, kuna mtu unapima yes unaonekana uko na ukimwi lakini after kupima kwingine hata mara 5 unakutwa huna, so ile ya kwanza machine au chombo cha kupima kilikuwa sio kamili, so ushauri wangu ni huu hapa, usifanye ngono mpaka uoe, untill you marry, na kabla ya kuoa ndio munapima na kaa mko okay, munakaa faithful, yaani hakuna kweda je ya ndoa, hio ndio njia pekee ya kuepuka na ukimwi, hizi zingine ni bahati tu, take care
 
Sawa asa kama ni hivo vipimo vinaangalia kama mwili unatoa antibodies Kwanini ufe?
UKIMWI hauui, ni ugonjwa dhaifu sana.

Kinachoua ni kushindwa kuijenga kinga unayoipoteza kwa kuwa na UKIMWI kwa kupata lishe kamili na kutibu magonjwa nyemelezi mapema kisha unapata magonjwa hatari ukiwa na bila kinga au kinga dhaifu unakufa au kuuishi kwa hofu unaujeruhi moyo na ubongo unakufa.

We hujiulizi kwann kuna watu walikufa na HIV ndani ya 5 years na wengine wapogo tu wengine wanakufa wao wapo tu?
 
acha niseme hivi, siku hizi unakuta kijana au binti ako na girlfreands au boyfreands kaa 5. sasa kweli ukimupata mara ya kwanza munaweza pima akawa okay, yaani hana virus, lakini akaenda akatongoza au akatongozwa na mwanamume wingine au binti wingine na huyu mume au binti ako na virus, na wakafanya yao, ukapata virus, lakini sababu hakuambii ako na boyfreand au girlfreand wingine si musapima, munaendelea na yenu na huko virus inawapata yote wawili, so hakuna usalama na hata kupima, kubuka hakuna kitu kilichotengenezwa na binadamu huwa 100% okay, so hata hii kitu ya kupima inaweza toa matokeo yasiyokuwa okay, kuna mtu unapima yes unaonekana uko na ukimwi lakini after kupima kwingine hata mara 5 unakutwa huna, so ile ya kwanza machine au chombo cha kupima kilikuwa sio kamili, so ushauri wangu ni huu hapa, usifanye ngono mpaka uoe, untill you marry, na kabla ya kuoa ndio munapima na kaa mko okay, munakaa faithful, yaani hakuna kweda je ya ndoa, hio ndio njia pekee ya kuepuka na ukimwi, hizi zingine ni bahati tu, take care
Swali langu je , utaweza kukaa bila kufanya tendo la ndoa Hadi ndoa? Kua mkweli
 
UKIMWI hauui, ni ugonjwa dhaifu sana.

Kinachoua ni kushindwa kuijenga kinga unayoipoteza kwa kuwa na UKIMWI kisha unapata magonjwa unakufa au kuuishi kwa hofu unaujeruhi moyo na ubongo unakufa.

We hujiulizi kwann kuna watu walikufa na HIV ndani ya 5 years na wengine wapogo tu wengine wanakufa wao wapo tu?
Dah sure point Saana hiyo kweli kiongozi an ndio kilichopo hicho
 
Dah sure point Saana hiyo kweli kiongozi an ndio kilichopo hicho
Tufurahie maisha, ni zawadi. Usiishi kwa hofu. Usingeambiwa kuna UKIMWI ungeumwa maleria ukaitibu, ukaumwa mafua ukaitibu, wala usingekuwa na hofu mpaka uzeeni huko.
 
VVU/UKIMWI kipimo ni 20 days - 90 days 3rd generation kwa mujibu wao... rapid tests(SD Bioline n.k
2 weeks - 45 days 4th generation hizo pia ni rapid zinapima Ag na Ab...
Sio maneno yangu ni wataalamu... kama nipo wrong nisahihishwe...

Kwa maoni yangu binafsi
Ukiwa na kinga imara VVU unaishi nayo miaka mingi na kama kufa labda kifo cha kawaida...
VVU ina take advantage ya kinga yako ya mwili kuwa dhaifu, kinga dhaifu hata malaria inaweza kukuchukua...
Kinga dhaifu hata mafua yatakuendesha, hata covid inakuchukua....

Lakini pia kupata VVU si uzembe, kutokupata si ujanja...
Huu ugonjwa unaweza kutana na mtu yupo kwenye window period ukala kimasihara ukaukwaa...

Unaweza kuwa kwenye ndoa, mke au mme akachepuka akaukwaa... kujikinga na HIV ni ngumu

Lakini pia nataka nije nitenge muda nifuatilie kwa umakini sana kuhusu nini kilichopo nyuma ya pazia...
Nlimsoma yule mzee Duesberg jamaa anaongea point tupu, ukizingatia ni doctor mwenye heshima kubwa sana, mpaka kuongea yale maneno tusimchukulie kama mlevi inabidi tu reason sisi wenyewe... kwa mwanasayansi mwenye tuzo kusema kwamba VVU ni harmless hakutoka usingizini...pia kuna walio msupport ni jamaa wana Nobel Prize kwenye masuala haya ya afya...

Upande wa pili ndio hawa wazee wa ARV wazee wa business, wanapinga kwa nguvu pia kwamba Duesberg ni mpotoshaji...

Mamlaka mara nyingi zinakuwa na nia fulani, ili itimie mnaongopewa makusudi...
Kuna jamaa walisema jamaa anaumwa wakakamatwa na kuwekwa ndani... wenye mamlaka wakasema mzee ni mzima na anaendelea na majukumu...

Wakatokea wengine wakasema jamaa kavuta, wakubwa wanasema ni uongo... kumbe wale wachache waliokuwa wanaonekana kama walevi ndio walikuwa sahihi...

Kali kabisa ni kuongopea tarehe ya umauti... from there nikajua hizi mamlaka si za kuamini 100%, mifumo ya serikali zetu haina utofauti na wakubwa wa dunia kwani wao ndio waasisi...

Kuna uwezekano mkubwa sana Duesberg was right, hata yesu mamlaka ilimuadhibu na wengi wali support kwa sababu ya uwezo na nguvu ya mamlaka...
 
[emoji23][emoji23] Unakwama wapi
mkuu imagine unasoma hii thread alafu inaingia sms "baby leo sijisikii vizuri kichwa kinauma sana na mwili umechemka hatar but i mic you honey"


mkuu haraka haraka akili itakupeleka wapi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mtu aliathirika 2006 ila mpaka leo yupo na anadunda tu wakati magonjwa yanayotokana na machips mayai na mafuta mafuta makuku ya kisasa makisukari na presha yanaondoa watu ndani ya 10 years ila mwenye UKIMWI anaonekana kama anakufa kesho.
Ingawa UKIMWI unaogopeka,amini kwamba kuna magonjwa ambayo ukiyapata leo kutoboa miaka 4 ni kazi sana sana.

Kwamfano upate homa au cancer ya ini, lazima utawahi ahela madukani na utamwacha mwenye ngoma anadunda.
 
Fuatilia Kuna watu wanagundua kuwa wana virusi baada ya 20 yrs na wapo tu. Mtu ana 50 years na inaonekana aliishi navyo kwa 20 yrs bila habari, Hivi virusi nadhani ni dhaifu sana kama huna hofu na unaaccess ya chakula bora ila tunavimarket sababu ni biashara nzuri huko kwa wale walioendelea.
Unafanya utani na VVU wewe, yani ukae miaka hata miwili bila kushituka?😅

Ile Hali tu ya kinga ya mwili kupambana na Kkirusi aina yoyote ni lazima kutakuwa na negative changes kwenye mwili (magonjwamagonjwa), Ikitokea Kinga ya mwili imefanikiwa ndo hapo mtu anakaa sawa, ila kwakua kinga ya mwili haiwezi kuvishida VVU, hapo ndipo mtu hupatwa na viugonjwa nyemelezi mfululizo.

Kwahiyo hata kama una kinga imara zinazoweza kupambana na VVU, bado hauwezi kutoboa mwaka mzima bila ugonjwa wowote ule.
 
mkuu upo sahihi! hakuna kirus kinakaa ndani ya mwili miezi 3 mwili usipate reaction yoyote nasema hakuna!! Broo nina story hapa ya kwako ni afadhali mara 1000 nitakuja kushuka uzi hapa siku nikikaa poa!! Mimi Mungu kaninusuru tu nimeponea kwenye Tundu la sindano!!! Ahimidiwe Mungu mwenye enzi yote!!

Nina story nzito kidogo!! Ilaa sasa nina miezi 5 naendelea vizur!
Hiyo reaction ya virus ndani ya hiyo miezi 3 inakua sio ya mchezo mchezo..lazima utajua tu hapa hakuna usalama!! Mungu azidi kutunusuru na kutowanyooshea vidole wengine sababu hakuna ajuae kesho yake!! Vijana wengi wanapita sehem hatari
Ukishusha uzi usiache kuni_tag
 
Daadeki..........maana yake hujawahi pima bosi mkubwa au sio?? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Katika maisha yangu yote sijawahi pima kabisa mdogoangu. Muhimu ilikuwa siwezi kumpitia mtu bila kumpitisha kwenye huo moto. Kuna doctor jamaa yangu,ilikuwa lazima awacheck kabla sijamkagua
 
Back
Top Bottom