Vijana Tukatae ndoa

Vijana Tukatae ndoa

Sikutusi wala kukukejeli.. ulizaliwa nje ya ndoa? Na je ulioneshwa baba yako ulipokua?

Maana makasiriko pro max, watu mnapenda mkumbo sana humu god damn!
 
Sikutusi wala kukukejeli.. ulizaliwa nje ya ndoa? Na je ulioneshwa baba yako ulipokua?

Maana makasiriko pro max, watu mnapenda mkumbo sana humu god damn!
Sio mkumbo mkuu ishi na mwanamke bila ndoa ndo usalama wako , dunia ya sasa pesa mbele kama tai .
 
Tuchakae wote nihakikishe hatuna nguvu ndo tufunge ndoa[emoji16][emoji16]
asa unaogopa nini mkuu, kutokujiamini ndo hufanya mnatalakiana mapema. Jiamini as a man

Ukiwa unahofia mali zako basi oa anaejiweza kiuchum na kujisimamia

Btn kama unawaza hivo its fine
 
Sio mkumbo mkuu ishi na mwanamke bila ndoa ndo usalama wako , dunia ya sasa pesa mbele kama tai .
Si kuna pre nup mkuu? Kama unahisi yuko ki maslahi mnasain kila mtu mali zake msiingiliane ata mkiachana.. ndoa ni sacred aisee tuache masihara!
 
asa unaogopa nini mkuu, kutokujiamini ndo hufanya mnatalakiana mapema. Jiamini as a man

Ukiwa unahofia mali zako basi oa anaejiweza kiuchum na kujisimamia

Btn kama unawaza hivo its fine
Mkuu nmeishi na wanawake kumi mpka sasa wengi ni wezi tu ,kila mmoja mwaka ebu fikiria ningejifunga na ndoa ungekuta sasa ivi nipo kaburini au magereza
 
Mkuu nmeishi na wanawake kumi mpka sasa wengi ni wezi tu ,kila mmoja mwaka ebu fikiria ningejifunga na ndoa ungekuta sasa ivi nipo kaburini au magereza
Hivi mpaka unamuta mwizi anakua kafanya nn em nielekeze😂😂
 
Unalamika mwanamke anaenda ustawi wa jamii kushtaki sasa hela yako unataka ale Nani wakati unajua ana kizazi chako ipi faida hela yako ale mama na mtoto au akale mtu mwingine asielea mtoto wako.
 
Si kuna pre nup mkuu? Kama unahisi yuko ki maslahi mnasain kila mtu mali zake msiingiliane ata mkiachana.. ndoa ni sacred aisee tuache masihara!
Mkuu kama unatafuta pesa kwa bidii epuka kufunga ndoa , ndoa inawanufaisha wanaume mario tu kula kulala, ishi nae kibshi tumia akili alileta mambo za ndoa
 
Si kuna pre nup mkuu? Kama unahisi yuko ki maslahi mnasain kila mtu mali zake msiingiliane ata mkiachana.. ndoa ni sacred aisee tuache masihara!
Basi mi nitakuja saini hio paper asee

Kila mtu akusanye mali zake

Wanaume pia waga ni washenzi tu, akiona unavisenti anajishaua anataka kukuoa anakwambia umchukulie mkopo akimaliza nyumba ndo muoane😂😂😂

Haya akimaliza anaoa mwngine

Yaan hii ishu ya mali mtu yyte anaeza akageuka sio mwanaume au mwanamke

So ukijua una manei kuzid mwenzi wako heri usaini hii pepa
 
Mkuu nmeishi na wanawake kumi mpka sasa wengi ni wezi tu ,kila mmoja mwaka ebu fikiria ningejifunga na ndoa ungekuta sasa ivi nipo kaburini au magereza

Wanawake wa upogaji then wanasepa?
 
Back
Top Bottom