Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
so, what's next after kufanya maisha.Habari za usiku.
Ndoa ni utumwa.
Ndoa ni umasikini.
Ndoa ni source ya mafarakano
Ndoa ina leta chuki.
Ndoa ni ubinafsi.
Sijaona na sioni umuhimu wa ndoa.
Kijana KATAA NDOA
FANYA MAISHA
Tuchakae wote nihakikishe hatuna nguvu ndo tufunge ndoa[emoji16][emoji16]Achakae [emoji2][emoji2][emoji2] yaani achakae u r not serious at all
Hizi kampeni za hawa vijana zinatuvuruga mno sisi wazeee 😅😅😅Sasa mimi hapa huyu manzi nimezaa nae makidi wawili nipeni gear ya kutemana nae niwe huru zaidi.
Kwani kukataa ni kinyume cha kukubaliUnakataa ndoa ko unataka kuolewa au.... Cjakuelewa
Nahisi hawa ni segment ya upinde bila shaka 😂😂Duuh! Nyinyi jamaa mko speed kumbe , soon mtaanzisha kibendera na rangi zenu.
Sio mkumbo mkuu ishi na mwanamke bila ndoa ndo usalama wako , dunia ya sasa pesa mbele kama tai .Sikutusi wala kukukejeli.. ulizaliwa nje ya ndoa? Na je ulioneshwa baba yako ulipokua?
Maana makasiriko pro max, watu mnapenda mkumbo sana humu god damn!
asa unaogopa nini mkuu, kutokujiamini ndo hufanya mnatalakiana mapema. Jiamini as a manTuchakae wote nihakikishe hatuna nguvu ndo tufunge ndoa[emoji16][emoji16]
Si kuna pre nup mkuu? Kama unahisi yuko ki maslahi mnasain kila mtu mali zake msiingiliane ata mkiachana.. ndoa ni sacred aisee tuache masihara!Sio mkumbo mkuu ishi na mwanamke bila ndoa ndo usalama wako , dunia ya sasa pesa mbele kama tai .
Mkuu nmeishi na wanawake kumi mpka sasa wengi ni wezi tu ,kila mmoja mwaka ebu fikiria ningejifunga na ndoa ungekuta sasa ivi nipo kaburini au magerezaasa unaogopa nini mkuu, kutokujiamini ndo hufanya mnatalakiana mapema. Jiamini as a man
Ukiwa unahofia mali zako basi oa anaejiweza kiuchum na kujisimamia
Btn kama unawaza hivo its fine
Hivi mpaka unamuta mwizi anakua kafanya nn em nielekeze😂😂Mkuu nmeishi na wanawake kumi mpka sasa wengi ni wezi tu ,kila mmoja mwaka ebu fikiria ningejifunga na ndoa ungekuta sasa ivi nipo kaburini au magereza
Hii si ipo Kenya au hadi huku imefika?Si kuna pre nup mkuu? Kama unahisi yuko ki maslahi mnasain kila mtu mali zake msiingiliane ata mkiachana.. ndoa ni sacred aisee tuache masihara!
Mkuu kama unatafuta pesa kwa bidii epuka kufunga ndoa , ndoa inawanufaisha wanaume mario tu kula kulala, ishi nae kibshi tumia akili alileta mambo za ndoaSi kuna pre nup mkuu? Kama unahisi yuko ki maslahi mnasain kila mtu mali zake msiingiliane ata mkiachana.. ndoa ni sacred aisee tuache masihara!
Mkuu palina ni hatari nawaza ingekua nmefunga ndoa ingekuajeHivi mpaka unamuta mwizi anakua kafanya nn em nielekeze[emoji23][emoji23]
Basi mi nitakuja saini hio paper aseeSi kuna pre nup mkuu? Kama unahisi yuko ki maslahi mnasain kila mtu mali zake msiingiliane ata mkiachana.. ndoa ni sacred aisee tuache masihara!
Mkuu nmeishi na wanawake kumi mpka sasa wengi ni wezi tu ,kila mmoja mwaka ebu fikiria ningejifunga na ndoa ungekuta sasa ivi nipo kaburini au magereza
Ushamaliza fantasy za kiume sasa umebaki kupigwa mashine ndio maana unakataa ndoa.KWA PAMOJA WANAUME WOTE TUUNGANE KWENYE KAMPENI YA
Kataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Kataa Ndoa
Ndoa ni Usanii
Kataa Ndoa
Ndoa ni Wizi
Tumechanganyikiwa aseeHizi kampeni za hawa vijana zinatuvuruga mno sisi wazeee 😅😅😅