monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Hii movement soon itapata nguvu na madhara yatakuwa makubwa sana hasa kwa wanawake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii movement soon itapata nguvu na madhara yatakuwa makubwa sana hasa kwa wanawake!
Ndoa ni ya maboya tunaishi nao bila ndoa mkuu
Tofautisha ndoa na kuishi na mwanamke , ukipigwa pini kwnye ndoa na wadada wa sasa kubali tu ww ni boya.Unakataa ndoa ko unataka kuolewa au.... Cjakuelewa
Maana ya ndoa nikupelekwa kwenye dawati la jinsia uje ulie lie apaHii ni ya kwako walioowa wanajua nn maaana ya ndoa
Kwa nini isiwe kwa wanaumeHii movement soon itapata nguvu na madhara yatakuwa makubwa sana hasa kwa wanawake!
Sasa ndugu family yako atailea nani?Japo simuungi mkono mleta mada kwa 100%, kuna huu upuuzi kwenye ndoa mkitofautiana tu mke anakimbilia ustawi wa jamii, huko wanakupangia kila mwezi uwe unatoa KIASI kadhaa kwa kila mtoto.
HUU NI UPUUZI MKUBWA SANA KWA HAWA DADA ZETU. Yaani swala la kuoa kwa miaka hii ni la kufikiria mara 2 2, na usiombe mke wako akapata "WAALIMU wa KUM-PUMP"
Mkuu wanawake tuishi nao tu ila mkuu kuhusu kufunga ndoa kimbiaInapata nguvu kwa jinsi mitandao inavyojifanya inajua kuwahisha taarifa za matukio negative ya kuuana, kushtakiana na kudhuru kwenye ndoa, vijana wengi wataziba masikio mwisho wafungua na kusikia hizi kelele za hawa jamaa
Nini maana ya ndoa nipo na mwanamke mwaka wa 5 akigusia kufunga ndoa ya cheti napiga chin mara moja natafuta mwingne , ndoa ya kusaini ni mwiba mkali mkuu , kukataa ndoa sio kukataa kuishi na mwanamke bila ndoa kataa ndoa hasa ndoa za kikristoYeyote anaekataa,ndoa ni shoga, lgbtq inamuhusu
Sheria za ndoa huwa ni kali mno kwa upende wa me chukka mke ishi nae akigusia ndoa piga chenga hiyo ndo akili ya kiumeMwanaume unatakiwa kuwa strong tumia akili Mungu amekuweka wewe kuwa kichwa acha kulialia tumia akjili sasa wewe mwanaume ukilia mwanamke afanyeje si ndio atagalagala kabisa use your common sense to solve and face any kind of environment na sio kukimbia matatizi mwanadamu umeumbwa ili kupambana na mazingira.
Achakae 😃😃😃 yaani achakae u r not serious at allNiliweke sawa hili kampeni ya kataa ndoa , inahusu kufunga ndoa kisheria , hasa hizi ndoa za mpka kifo kitutenganishe , ishi na mwanamke bila kufunga ndoa, mzalishe mpaka achakae ukifika miaka sabini ndo ufunge ndoa kama ushaidi ,ila uhakikishe ameshachoka mno ,sheria za ndoa zinambana mwanaume zaidi , haki sawa haina usawa wowote linapokuja swala la kugawana Mali baada ya talaka , kumbuka huko tunapoenda watoto wa ma single mother ndo wanakua wakubwa je hawa utafunga nao ndoa kisheria ikadumu wakati hawa hawajui umuhimu wa baba na pia wamelishwa sumu na mama zao wanaume wote ni mbwa ? Bilgate asingekua amefunga ndoa utajiri wake usingeporomoka kiasi kile , wanawake wametanguliza pesa kuliko utu na kwenye maisha kupanda na kushuka hii kanuni haijawahi badilika , katika mazingira kama hayo je ndoa sio mwiba kwa mwanaume?