Vijana Tukatae ndoa

Vijana Tukatae ndoa

Basi mi nitakuja saini hio paoer asee

Kila mtu akusanye mali zake

Wanaume oia waga ni washenzi tu, akiona unavisenti anajishaua anataka kukuoa anakwambiabumchukulie mkopo akimaliza nyumba ndo muoane[emoji23][emoji23][emoji23]

Haya akimaliza anaoa mwngine

Yaan hii ishu ya mali mtu yyte anaeza akageuka sio mwanaume au mwanamke

So ukijua una manei kuzid mwenzi wako heri usaini hii pepa
Palina ndoa ni nzuri ikifuata mifumo ya kizamani ila kwa sasa nikuviziana tu
 
KWA PAMOJA WANAUME WOTE TUUNGANE KWENYE KAMPENI YA
Kataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli

Kataa Ndoa
Ndoa ni Usanii

Kataa Ndoa
Ndoa ni Wizi

Nadhani jibu liko hapa,sijapunguza wa sijaongeza kitu
 
Mghosingwa wewe na Ronaldo wapi na wapi,kama huyo ndo roll model wako mpaka sasa umefikisha billion ngapi ili uendane nae?
Basi awe kma mimi tu naishi na mwanamke ila bila ndoa , ndoa ni kitanzi ndo maana ukishafunga wao ndo wanaficha vyeti kama ngao zao ,chunguza.
 
Mkuu kama unatafuta pesa kwa bidii epuka kufunga ndoa , ndoa inawanufaisha wanaume mario tu kula kulala, ishi nae kibshi tumia akili alileta mambo za ndoa
Kweli tunatofautiana, me ndoa ndio imenifanya nitafte kwa bidii sababu ya majukumu, pia nashkuru nilipata mwanamke mchamungu sana na nmebadilika sana kutoka kua msela. Mnawaokotaga wapi mizoga yenu hiyo?

Badala ya campain ya kataa ndoa, mtu aanzishe namna ya kuchagua wife material! Hapa tunafeli wengi sanaa mpaka kuchukia ndoa, inaonekana unapenda ma slay queen wanawake wa kuoa wapo tele!
 
Basi mi nitakuja saini hio paoer asee

Kila mtu akusanye mali zake

Wanaume oia waga ni washenzi tu, akiona unavisenti anajishaua anataka kukuoa anakwambiabumchukulie mkopo akimaliza nyumba ndo muoane😂😂😂

Haya akimaliza anaoa mwngine

Yaan hii ishu ya mali mtu yyte anaeza akageuka sio mwanaume au mwanamke

So ukijua una manei kuzid mwenzi wako heri usaini hii pepa
Palina umeji expose una visenti, tegemea usumbufu PM ila wachuje, wanao support kuto kuoa wale block maana watakukula tu wasepe 😁😁
 
Kweli tunatofautiana, me ndoa ndio imenifanya nitafte kwa bidii sababu ya majukumu, pia nashkuru nilipata mwanamke mchamungu sana na nmebadilika sana kutoka kua msela. Mnawaokotaga wapi mizoga yenu hiyo?

Badala ya campain ya kataa ndoa, mtu aanzishe namna ya kuchagua wife material! Hapa tunafeli wengi sanaa mpaka kuchukia ndoa, inaonekana unapenda ma slay queen wanawake wa kuoa wapo tele!
Mkuu tatizo wanawake wabaya wa sura na umbo ndo wacha mungu ukitoa mke wako , kwa hyo nioe mwanamke mbaya kisa ni mwema mkuu sahau hiyo
 
Basi awe kma mimi tu naishi na mwanamke ila bila ndoa , ndoa ni kitanzi ndo maana ukishafunga wao ndo wanaficha vyeti kama ngao zao ,chunguza.
Mimi nina ndoa ya miaka kumi hunifundishi kitu kuhusu ndoa!!!

Hawa madogo ningewaona wana point kama wangekuwa wanahamasisha kuepuka wanawake wanaharakati "feminist" ,hawa waliopita pita vyuo maana huwa tayari na experience mbaya za mahusiano ya mke na mume maana huwa wanaishi hivyo hostel so wawe wanaowa may be form four au six hata la saba bora awe na heshima lakini bado hawa madogo wanataka hao wake zao waajiriwe waweke hela mezani jambo ambalo ni gumu
 
Mimi nina ndoa ya miaka kumi hunifundishi kitu kuhusu ndoa!!!

Hawa madogo ningewaona wana point kama wangekuwa wanahamasisha kuepuka wanawake wanaharakati "feminist" ,hawa waliopita pita vyuo maana huwa tayari na experience za mahusiano ya mke na mume maana huwa wanaishi hivyo hostel so wawe wanaowa may be form four au six hata la saba bora awe na heshima lakini bado hawa madogo wanataka hao wake zao waajiriwe waweke hela mezani jambo ambalo ni gumu
Sawa mkuu ila kondoo ni wachache mno mbwa mwtu ni wengi , ila pia safari yako bado usitukane mamba wakati bado haujavuka mto .
 
Mkuu tatizo wanawake wabaya wa sura na umbo ndo wacha mungu ukitoa mke wako , kwa hyo nioe mwanamke mbaya kisa ni mwema mkuu sahau hiyo
Hahahaa mkuu unakaza sana fuvu, niamini wanawake wazuri na wachamungu wako wengi sanaa. Tatizo wee madem unaopoa elements na liquid! Alaf ukiona kizuri ujue kimeundwa! Hao unaowaona wazuri ni mwanaume mwenzio kagharamia sanaa kwanzia wig mpaka g string! So na wewe unaweza ukampendezesha wife akawa kisu mnoo
 
dada zetu hawa wana tamaa sana
2D3DF936-6860-4C4B-8EE7-355B5C801849.jpeg

Nakazia
 
Hahahaa mkuu unakaza sana fuvu, niamini wanawake wazuri na wachamungu wako wengi sanaa. Tatizo wee madem unaopoa elements na liquid! Alaf ukiona kizuri ujue kimeundwa! Hao unaowaona wazuri ni mwanaume mwenzio kagharamia sanaa kwanzia wig mpaka g string! So na wewe unaweza ukampendezesha wife akawa kisu mnoo
Sawa mkuu nitampendezesha ila sitamuoa kwa ndoa mpka nihakikishe tumefika miaka 90 amechakaa hana nguvu za kupiga mdomo ustawi wa jamii
 
Mkuu tatizo wanawake wabaya wa sura na umbo ndo wacha mungu ukitoa mke wako , kwa hyo nioe mwanamke mbaya kisa ni mwema mkuu sahau hiyo
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Oweni warembo ili muwe mnatombewa na masela. Siku ukigundua mkeo analiwa na dereva wa bajaji sidhani hata utakaa ukumbuke huo uzuri wake.
 
Back
Top Bottom