min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Palina ndoa ni nzuri ikifuata mifumo ya kizamani ila kwa sasa nikuviziana tuBasi mi nitakuja saini hio paoer asee
Kila mtu akusanye mali zake
Wanaume oia waga ni washenzi tu, akiona unavisenti anajishaua anataka kukuoa anakwambiabumchukulie mkopo akimaliza nyumba ndo muoane[emoji23][emoji23][emoji23]
Haya akimaliza anaoa mwngine
Yaan hii ishu ya mali mtu yyte anaeza akageuka sio mwanaume au mwanamke
So ukijua una manei kuzid mwenzi wako heri usaini hii pepa