Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka kizazi cha kugeukiana?Habari za usiku.
Ndoa ni utumwa.
Ndoa ni umasikini.
Ndoa ni source ya mafarakano
Ndoa ina leta chuki.
Ndoa ni ubinafsi.
Sijaona na sioni umuhimu wa ndoa.
Kijana KATAA NDOA
FANYA MAISHA
Hujui ukikaa na mwanamke kwa muda flan ata kama hujamuoa kiserikali inakua kama umeoa na mkiachana mnagawana kama kawa?Sawa mkuu nitampendezesha ila sitamuoa kwa ndoa mpka nihakikishe tumefika miaka 90 amechakaa hana nguvu za kupiga mdomo ustawi wa jamii
Isikute wapinga ndoa jogoo haziwikiMaadhimisho ya wapinga ndoa kitaifa yatafanyikia wapi ?
Mbona ukatai pesa wakat pesa ni utumwa pia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Ndoa ni utumwa
Sasa unaniunga mkono au HauniungiJapo simuungi mkono mleta mada kwa 100%, kuna huu upuuzi kwenye ndoa mkitofautiana tu mke anakimbilia ustawi wa jamii, huko wanakupangia kila mwezi uwe unatoa KIASI kadhaa kwa kila mtoto.
HUU NI UPUUZI MKUBWA SANA KWA HAWA DADA ZETU. Yaani swala la kuoa kwa miaka hii ni la kufikiria mara 2 2, na usiombe mke wako akapata "WAALIMU wa KUM-PUMP"
Imepita mkuu.KWA PAMOJA WANAUME WOTE TUUNGANE KWENYE KAMPENI YA
Kataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Kataa Ndoa
Ndoa ni Usanii
Kataa Ndoa
Ndoa ni Wizi
Tuko pamoja.Hii movement soon itapata nguvu na madhara yatakuwa makubwa sana hasa kwa wanawake!
Tunatafuta na mwenyekiti kabisa.. tutafanya na usajiliDuuh! Nyinyi jamaa mko speed kumbe , soon mtaanzisha kibendera na rangi zenu.
Una akili fupi.Yeyote anaekataa,ndoa ni shoga, lgbtq inamuhusu
Atakuwa amekuelewaTofautisha ndoa na kuishi na mwanamke , ukipigwa pini kwnye ndoa na wadada wa sasa kubali tu ww ni boya.
Simwachi naishi nae tu...ila SIMUOIKama unazaa na mtu halafu unamuacha Kuna hatari ya ongezeko la watoto wa mitaani.
Watakuwa wamekuelewa sasa.Niliweke sawa hili kampeni ya kataa ndoa , inahusu kufunga ndoa kisheria , hasa hizi ndoa za mpka kifo kitutenganishe , ishi na mwanamke bila kufunga ndoa, mzalishe mpaka achakae ukifika miaka sabini ndo ufunge ndoa kama ushaidi ,ila uhakikishe ameshachoka mno ,sheria za ndoa zinambana mwanaume zaidi , haki sawa haina usawa wowote linapokuja swala la kugawana Mali baada ya talaka , kumbuka huko tunapoenda watoto wa ma single mother ndo wanakua wakubwa je hawa utafunga nao ndoa kisheria ikadumu wakati hawa hawajui umuhimu wa baba na pia wamelishwa sumu na mama zao wanaume wote ni mbwa ? Bilgate asingekua amefunga ndoa utajiri wake usingeporomoka kiasi kile , wanawake wametanguliza pesa kuliko utu na kwenye maisha kupanda na kushuka hii kanuni haijawahi badilika , katika mazingira kama hayo je ndoa sio mwiba kwa mwanaume?