Vijana tunafeli wapi?Kwani lazima kubet?

Vijana tunafeli wapi?Kwani lazima kubet?

Nafikiri kumekuwepo na kulegalega kwenye uthibiti, betting inatakiwa ifanywe maeneo maalumu ya kibiashara hasa maeneo ya starehe ambako huwezi kuta watoto na vijana wadogo wakiwa wamejazana huko. Sasa huyu aliyeleta leseni za betting kufanyika kila kona ya mtaa alikuwa analenga nini hasa?
Betting inafanyika kwenye sim, hayo maeneo maalumu unataka yatengwe ili wawe wanaenda na sim zao kubetia huko!? Unajua kwanza betting ni nini? Hao wanaobeti kwenye vibanda huko ni asilimia chache mno kati ya wengi wanaobeti kwenye sim zao.
 
Mtu anabeti kwa pesa yake, hakuombi wala hakuibii we unaumizwa na kipi!? Chuki na wivu tu. Hapo utakuta ni mlevi ila bado unawaona wabetiji wamepotea! Kila mmoja ashinde mechi zake, tukutane muda wa hesabu tuone mlevi na mbetiji nani kavuna.
 
Hapa kuna orodha fupi ya watu maarufu wanaojulikana kubeti:

Floyd Mayweather Jr. (Ndondi)
50 Cent (Muziki)
Charlie Sheen (Uigizaji)
Ben Affleck (Uigizaji)
Michael Jordan (Mpira wa kikapu)
Matt Damon (Uigizaji)
Tobey Maguire (Uigizaji)
Tiger Woods (Gofu)
Pete Rose (Baseball)

Wote hawa wanajulikana na wanabeti ingawa wana kipato si haba. Kama mmewanyima vijana ajira mnategemea wafanye nini?
 
Mtu anabeti kwa pesa yake, hakuombi wala hakuibii we unaumizwa na kipi!? Chuki na wivu tu. Hapo utakuta ni mlevi ila bado unawaona wabetiji wamepotea! Kila mmoja ashinde mechi zake, tukutane muda wa hesabu tuone mlevi na mbetiji nani kavuna.
wengine hawataki kubeti ila ni arosto tu.
 
Hapa kuna orodha fupi ya watu maarufu wanaojulikana kubeti:

Floyd Mayweather Jr. (Ndondi)
50 Cent (Muziki)
Charlie Sheen (Uigizaji)
Ben Affleck (Uigizaji)
Michael Jordan (Mpira wa kikapu)
Matt Damon (Uigizaji)
Tobey Maguire (Uigizaji)
Tiger Woods (Gofu)
Pete Rose (Baseball)

Wote hawa wanajulikana na wanabeti ingawa wana kipato si haba. Kama mmewanyima vijana ajira mnategemea wafanye nini?
kwani ajira ndiyo solution?

na unakika gani ajira zinanyimwa?
 
Screenshot_20241220-133024.jpg
 
Siku moja niliamua kujichanganya mitaani, nikapiga mitaani nikaangukia mitaani Fulani hivi Kuna sehemu ya kuonesha mpira, aisee mambo ni mazito kidogo, mbele yangu kulikuwa na vijana wanavuja jasho na hawajatulia, wanababaika mara wanatukana matusi huku wakiweweseka, mwanzo nilidhani ni vibe la gemu kumbe sivyo niliwasikia wakiongelea mikeka, matusi yote ni Kwa Bayern siku ile, Banda karibu zima vijana wamesuka mikeka na Kila muda wako na simu...naijua betting lakini sikudhani kwamba inaweza kuwaathiri watu kiasi hicho, ngoja niwaambie kitu, HAKUNA KITU AU JAMBO BAYA KAMA VILE KUFANYA JAMBO AU TUKIO FULANI LIKUKUTE HALAFU IKIWA HAUNA ELIMU NALO YA KINA KABISA AU HAUJAJIANDAA NALO, ndivyo Sasa hivi afrika Hali inayotukumba, yanakuja mambo mengi ambayo hatujajiandaa nayo mentally kukabiliana nayo.
 
Inshu ya betting inathiri kizazi,aisee huwezi amini hali ni mbaya watoto wa Miaka 14 wanabet,huu mchezo umekuwa kimbilio kwa rika ya vijana lakini athari zake ni mno.

Kuna matatizo ya kisaikolojia kwa wachezaji after couple of years watapata madhara makubwa,ikiwemo Ugonjwa hatari wa Gasi,Kupungua kwa Urijali na mengineyo.

Wadau nawashauri huu mchezo siyo mzuri hata kidogo.
Ndiyo hela nyepesi kuifuata.
Ukiajiriwa , ukaacha kazi, kufuaytilia mafao yako ni zaidi ya safaro ya kwenda mbinguni.
 
Back
Top Bottom