Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Kumekuwa na watu mbalimbali wenye mitaji yao lakini wameshindwa kujua biashara za kuwekeza vijana karibuni tujuzane fursa mbalimbali za kutuinua kimaisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuku wa aina gani boss?Ukipewa mtaji uaminike kijana
M nafuga kuku zenji na kilimo cha pilipili mwendokasi anotaka kunipa soko karibuuu
Mbona kila kona fursa ipoKumekuwa na watu mbalimbali wenye mitaji yao lakini wameshindwa kujua biashara za kuwekeza vijana karibuni tujuzane fursa mbalimbali za kutuinua kimaisha.
Wa nyamaKuku wa aina gani boss?
Fursa gani bossMbona kila kona fursa ipo
Hivi si wanakuwa ndani ya mwezi mmoja tu alfu biashara inachanganya sana DarWa nyama
Tataizo vijana ukiwapa mtaji wanapotea uaminifu sifuri ndio shidaUkipewa mtaji uaminike kijana
M nafuga kuku zenji na kilimo cha pilipili mwendokasi anotaka kunipa soko karibuuu
Inatokana na mtu mwenyewe bossTataizo vijana ukiwapa mtaji wanapotea uaminifu sifuri ndio shida
BiasharaFursa gani boss
Mwaga mchanganuo mkuuMbona kila kona fursa ipo
Mtu hana ujuzi wala uzoefu wa biashara yoyote halafu unampa mtaji unategemea nini. Mshirikishe kwenye michongo yako akishaiva mpe mtaji akajisimamie mwenyewe.Tataizo vijana ukiwapa mtaji wanapotea uaminifu sifuri ndio shida
Car wash ukipata eneo zuri inakutoa.Kuna mchongo nimeupambania ndani ya mwezi huu natarajia kupata kama milioni 4 hivi. Makazi yangu ni dar na iringa. Hapa nafikiri niingie kwenye mishe za kuuza jezi dar lakini nawaza iyo biashara ni ya msimu, ikifika november tu watu washanunua jezi za timu zao pendwa hakuna biashara tena. Nikifikiria niweke kituo iringa niingie kwenye mishe za kuuza mbao napo naona mtaji hautoshi. Kati ya iringa au dar nikipata location nzuri ya kufungua car wash najitosa humo humo.
Kesho nitakuletea muchanganuo wa biashara tano kwa upande wangu naziona simple kufanyaMwaga mchanganuo mkuu
Nitashukuru ukinitag kwenye huo uzi wako.Kesho nitakuletea muchanganuo wa biashara tano kwa upande wangu naziona simple kufanya
Sasa jamani ujuzi wa bodaboda nao mpaka tushirikishane kwanzaMtu hana ujuzi wala uzoefu wa biashara yoyote halafu unampa mtaji unategemea nini. Mshirikishe kwenye michongo yako akishaiva mpe mtaji akajisimamie mwenyewe.