Mimi ni Me mkuuMuwe mnataja jinsia wakuu ili twende sawa.
-Ila wanawake acha tu sijawaona kwenye huu uzi. Wao hawataki kuonekana wakubwa wala wadogo. Wanapenda katikati saana.
Sawa sawa.Mimi ni Me mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unaweza kutudokeza huyo mmama mkuu nasi tukajaribu bahati?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Boss tuonane niko B22 hapa bench la nyuma kabisa[emoji2][emoji2][emoji2]
Hahaha nimecheka saana aseeh.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yupo humu...Yule mmama alitokea kunielewa sanaa.shida nilikuwa najipaisha sanaaa kumbe holaa....
ya mkini kama ningwambia ukweli ningepata vingi toka kwake..coz alitokea kuniamini sanaaa...na kunishirikisha mambo yake mengi...
na yeye ndiyo aliomba kuonana na Mimi.
shida baada ya kukutana yeye kashuka kwenye gari Mimi nipo na MIGUU. mbaya zaidi umri ulikuwa mdogo ndo nimemaliza 4m 4. .ukicheki yeye muajiriwa na mfanyabiashara
Alibaki kushangaa sanaa na kutoamini kuwa kumbe alikuwa anachat na katoto na kumwambia mambo yake..
alinilaumu snaa Y? nilikuwa na mdanganya...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nikaona huu msalaa maana ndizo zilikuwa swaga zangu enzi hizo kwa mademu wa humu..
na isitoshe alisema ataleta ushuhuda na kuniponda +kunianika jukwaani
nikasema heri lawama kuliko fedhea nika mute kuingia humu...
[emoji23][emoji16][emoji3] mkuu naona umepania kweli kupatia point kwa jamaaHahaha nimecheka saana aseeh.
Kwamba kwenye comments ulikuwa unajipa maujiko hatari??? Ulikuwa unajisifia kwa yapi mkuu labda nami nijaribu mbinu.
Kwa hiyo sasa unamlia buyu tu...ila yeye haijui hii ID.
Acha anipe maujanja bhana.... wewe hautaki?[emoji23][emoji16][emoji3] mkuu naona umepania kweli kupatia point kwa jamaa
Kaka mshana binafsi nakuunga mkono... Itakuwa vizuri sana sana ikiwa utakuwa mlezi wetu coz umekuwa mtu makini sana katika kutoa wasaa kwa sisi vijana..Japo ni nje ya mada lakini naomba niwe mlezi wenu.... Kwa nia njema kabisa
Nipo apa naskilizia huenda na mm nikaopoa nikalainisha na ivi vyuma[emoji16][emoji3][emoji23]Acha anipe maujanja bhana.... wewe hautaki?
Sawa sawa.Nipo apa naskilizia huenda na mm nikaopoa nikalainisha na ivi vyuma[emoji16][emoji3][emoji23]
Mkuu shikamooJapo ni nje ya mada lakini naomba niwe mlezi wenu.... Kwa nia njema kabisa
Sawa mkuu.Umri wenu ni kama yule aliye jirusha kule mwanza so you guys think out of box
Kubishana na kutoa fact haitegemei umri kuna ma young wana IQ kubwa kulko wazee kibao ambao nao wanazeeka na ujinga wao.Tumbe tunabishana na vitukuu wetu sometimes.....kweli jf ni uwanja huru,
yaani wakati mwingine unamwita mtu MKUU kumbe ni mwanao wa kumzaa.