Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
-
- #121
21 nimeondoka nyumbani kibishi ila bado wananihitaji ,.
mom anadai me mdogo natakiwa niendelee kukaa home , maisha bado sijayajenga ila nashaanza kuuona mwanga mbeleni ,
nipo kwenye mahusiano japo siyachukulii serious kivile ,.
Vijana wenzangu huu ndo mda wa kutafuta kwa bidii, jasho,maumivu, tukishindwa age hii sijui kwenye 30s tutaeza toboa , .
Zee zima huna hata haibu.. Hv unajisikiaje jitu zima kama wewe unaanika matusi hadharani hapa mbele ya vijana wadogo..kafie mbele uende huko mbinguni unakotaka. Idiot!!.
Hakukuhusu [emoji16][emoji16][emoji16]Tunaozidi miaka 25 tunakomenti wapi?
Zee zima huna hata haibu.. Hv unajisikiaje jitu zima kama wewe unaanika matusi hadharani hapa mbele ya vijana wadogo..
Tukaushie bhana, kwani tatizo nn...?
kafie mbele uende huko mbinguni unakotaka. Idiot!!.
mkuu ushajenga tayari au bado unakaa kwa mamaNimeijua nina 16 yrs 2014 nikajiunga 2016 now niko 21 na vimiez sita. Nafurahi kua GT mtoto
mkuu ushajenga tayari au bado unakaa kwa mama
Nadhani kuna haja ya kuirudisha c @meloHahahaaaaa!, umenikumbusha mbali sana interview ya kujiunga JF ilikuwa tight sana hasa oral, bora written ilikuwa nafuu kidogo..
Nakumbuka kwenye oral Mello aligonga swali, " Do you think you are a great thinker?" Nikajibu "Yes" akaniuliza, "What is thinking?" Daah , nilitoa macho kama Betlehem wa JF, lakini nashukuru nilipita interview.
hahah ila bora hata uwe una gheto likikushinda unaludisha mpira kwa kipa#hatar sanaMimi saivi ni kotekote, geto ama kwa dingi lake.
hahah ila bora hata uwe una gheto likikushinda unaludisha mpira kwa kipa#hatar sana
Hahahaaaaa!, umenikumbusha mbali sana interview ya kujiunga JF ilikuwa tight sana hasa oral, bora written ilikuwa nafuu kidogo..
Nakumbuka kwenye oral Mello aligonga swali, " Do you think you are a great thinker?" Nikajibu "Yes" akaniuliza, "What is thinking?" Daah , nilitoa macho kama Betlehem wa JF, lakini nashukuru nilipita interview.
Jifunze kuandika kwa ufasaha kwanza...sibishani na mburula's..aliyekwambia mimi mzee nani au kisa hapa JF tunatumia fake ID's and details? Halafu Comment yangu ya mwanzo haikuwa na maana yoyote mbaya zaidi ya "Jokes" sasa nashangaa mnakuja juu kama mna mimba changa "mapunga nyie"......Zee zima huna hata haibu.. Hv unajisikiaje jitu zima kama wewe unaanika matusi hadharani hapa mbele ya vijana wadogo..
Tena usidhani kama kuna mtu atakurudishia hayo matusi yako, sisi ni vijana wadogo ila tuna hekima zetu kukuliko
Tukaushie bhana kama vp, kwani tatizo nn...?
Nyie wote inaelekea hamna hata ajira wala hamjajiajiri kazi kula kulala na kunya tu majumbani kwenu.....Hata kodi hamjui inalipwaje "Mandondocha" nyie.πHaya ndo yale mazee yanaishi kwa ndugu either kaka au shangazi.
halina familia yake.
Hahaha...Haya ndo yale mazee yanaishi kwa ndugu either kaka au shangazi.
halina familia yake.
Hahaha...
Nyie watu bhana.
Mkuu kumbe vijana tupo wengi sana humu ndani. Nilidhani wote ma fazaHaya ndo yale mazee yanaishi kwa ndugu either kaka au shangazi.
halina familia yake.
So ndio saa mwanangu ..unatakiwa uwe na geto afu kaa mambo yakienda kombo ..unarudisha miguu kwa mzee ..Sema nini nyie wasomi izo life hamwezi ..uku mtaan ni kujichanganya tuuKulingana na familia
Ata home unakaa tuu, mambo ya kusoma yenyewe marefu kinoma.
ππ kama me mkuu ani nakaba pande zote ila kigeto geto sana , mambo yakiwa tight huwa naenda nyumbani ani pamoja na kuwa nimeamua kuanza life langu maza,brother,sister wananimonitor , wananiongoza kiaina , japo naona naweza jisaidia mwenyewe kwa kiasi chakeMimi saivi ni kotekote, geto ama kwa dingi lake.
πππ unatuonea wivu πππππππππππππππππππ pole kama vipi si urudi kwenu au huna wazaziππNyie wote inaelekea hamna hata ajira wala hamjajiajiri kazi kula kulala na kunya tu majumbani kwenu.....Hata kodi hamjui inalipwaje "Mandondocha" nyie.π