Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
- #121
Kweli kabisa kjna.. Tupambane umasikini unaumiza
21 nimeondoka nyumbani kibishi ila bado wananihitaji ,.
mom anadai me mdogo natakiwa niendelee kukaa home , maisha bado sijayajenga ila nashaanza kuuona mwanga mbeleni ,
nipo kwenye mahusiano japo siyachukulii serious kivile ,.
Vijana wenzangu huu ndo mda wa kutafuta kwa bidii, jasho,maumivu, tukishindwa age hii sijui kwenye 30s tutaeza toboa , .