Sophoghani
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 395
- 622
Bado. Mpaka haka kasikukuu kaishe. Maisha marahisi sana huku wallah[emoji23][emoji23][emoji23] umesharudi mjini?
Nimeijua nikiwa form 3 mwaka(2014) ila nilifungua account ya kwanz 2015 japo sikuitumia sana nikaachana. Nipo chuo mwaka wa kwanza kazi bado sina ila by the way kama una online business yoyote waweza nishirikisha
haina shida mkuu kama ni kitabu kisuguliwe sanaaKiukwel sina hata Shughuli maalumu ila JF naishukuru sana kunikutanisha na watu who care about ila siki home
I'm primary teacher proffesionally but i have not employed since 2015... Mwaka 2016 nikaenda zangu mjini show ikawa kali nakumbuka uncle ndo anaanza kukaza vyuma vyake... Nkarudi home (mkoani) 2017 nikafungua library nikawa napiga hela nyingi, nikaamua kuhama kwa mzee na kuishi maisha ya kupanga mpaka leo, sikosi hela ya kula wala kuvaa na kuhonga, sitarajii kurudisha mpira kwa kipa.
Sina mtoto, sijaoa na sijawahi kuoa.
Kama kichwa cha habari kinavyodai mwakani March 5 natimiza miaka 25 Karibu mkuu niko tayari kujibia kama kuna swali lingine.Umri wako?
[emoji28][emoji28][emoji28]Nakuzoom comment zako majukwaa mengi tu, sitaki kuamini kuwa wewe sio doctor.
Dah wakuuHahaha baba swalehe anatushika anadhani sisi ni madogo sana.
Wewe ni over 25 huruhusiwi ..Juzi tu nimevuka hiyo under 25 basi hapa sitachangia kitu ngoja niangalie tu
Sarriball [emoji23][emoji23]Wewe ni over 25 huruhusiwi ..
Pita iviiii....
Epukeni peer pressure!
Kundi lenu lina changamoto sana. Vishawishi vya kufanya mambo eidha mazuri au mabaya!Ufafanuzi mkuu