Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu swali la nyongeza unafanya na mmoja au wengi wengi mkuu samahani kama swali hutolipenda....Sema sifanyi frequently mkuu
Naopt mtindi! Hakuna namnaBrusela na high uric acid pia
Hawataki single mom Mkuu, wananiangalia tu kama dagaa chachu😪😭Kwani haujaolewa Madam??
Vizuri, uwe makini, pima partner(s) wako mara kwa mara si unajua macho haya pimi. Uwe na afya njema.Sema sifanyi frequently mkuu
Nipo na mpenz, yupo mbali kidogo hivyo ni kila tunapomeet Mkuu. Usihofu kuuliza swali Mkuu...be free...likiwezekana lajibika tuMkuu swali la nyongeza unafanya na mmoja au wengi wengi mkuu samahani kama swali hutolipenda....
We umetaja majanga au umetaja risk factors? ilifaa baada ya hapo uoneshe na yatokanayo kutokana na hizo risk factors kwa kupambanua kwa mujibu wa title ya uzi wako mkuu kwa faida ya wengi wasiojua. Na ningeshauri pia utenganisha yanayoambukizwa na yasiyoyoambukizwa maana nadhani week hii tuna kongamanao la kupambana na hayo magonjwa yasiyoambukizwa kuna watu bado tunaamini kisukari na pressure ni magonjwa ya kuambukizwa na sio kutokana na tabia au mfumo wa maisha. Asante kwa uzi adhimu ila kuna vitu ambavyo ni vigumu kuviacha hasa kwa sisi vijana. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo sasa kwa miaka hii kati ya watu wa tatu wenye umri wa kati (vijana) mmoja ana tatizo mojawapo ya uliyotaja hapo juu tofauti na miaka ya 80 ambapo ni mtu mmoja kati ya watu kumi, na kimsingi kwa sasa kila familia au kaya ina victim mmoja.■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks
■Tupunguze nyama nyingi nyekundu
■Tupunguze beer
■Tuache sex za kavu kavu
■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaaga na mafuta mengi
■Tujifunze kunywa maji. Hapa ndio kuna uvivu ila hauna namna itakubidi tu
■Tupunguze sukari nyingi.
■Tuache kukaa muda mrefu kwenye viti vigumu na vilivyonyooka e.g gharamika ununue viti maalum
■Tupunguze uzito.
■Tupunguze kunywa maziwa sana
Miaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.
Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.
Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.
Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.
Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.
TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
Kwanini unaongelea anal sex kama ni jambo jepesi tu Mkuu? 😳Vizuri, uwe makini, pima partner(s) wako mara kwa mara si unajua macho haya pimi. Uwe na afya njema.
Pia kama wewe ni ke, na kama unafanya anal sex asiwe anahamamishia kutoka kule na kuleta kwenye vagina, ni very dangerous.
Hakikisha ukiumwa haufilisi watu. Siyo unasema hivi kwa kiburi halafu ukiumwa unaenda kwa wazazi kusumbua na kuomba michango ya ndugu.Labda uwe maskini wa kupindukia
Ila ulivyotaja ndio inasukuma mwanadamu kutafuta maisha kwa nguvu zote
Haha 😆
Watakusikia kaka ambao wanataka kuishi milele
Ongeza na wasipande Bodaboda maana ni zaidi ya hivyo
Hakika..Hakikisha ukiumwa haufilisi watu. Siyo unasema hivi kwa kiburi halafu ukiumwa unaenda kwa wazazi kusumbua na kuomba michango ya ndugu.
Wengi wamekufa kwenye mazoezi sababu ya kutoanza kwanza kwa daktari au wataalamu wa afya kujua ni aina gani ya mazoezi wanayotakiwa kufanya na kwa kiwango kulingana na hali za kiafya za miili yao. Ushauri ni kwamba lazima kumona Daktari kwanza na kufanya vipimo stahiki vya mwili (check up) kabla ya kuingia kwenye mazoezi.solution ni kufanya mazoezi na kumuomba Mungu akuepushie mbali na maradhi
Kuna jamaa mmoja alienda kufanya major medical chechup kwa specialist na baadaye dakta alipomwita ili ampe matokeo mazunguzumzo yalikuwa hivi:Labda uwe maskini wa kupindukia
Ila ulivyotaja ndio inasukuma mwanadamu kutafuta maisha kwa nguvu zote
Haha 😆
Watakusikia kaka ambao wanataka kuishi milele
Ongeza na wasipande Bodaboda maana ni zaidi ya hivyo
Long distance Love ni ngumu sawa mkuu nimekuelewa mkuu...Nipo na mpenz,yupo mbali kidogo hivyo ni kila tunapomeet Mkuu.Usihofu kuuliza swali Mkuu...be free...likiwezekana lajibika tu