Vijana tuwe makini: Uric acid, UTI sugu, blood pressure, anthritis, KDC, brusella na kisukari kuokota rahisi sasa hivi!

Vijana tuwe makini: Uric acid, UTI sugu, blood pressure, anthritis, KDC, brusella na kisukari kuokota rahisi sasa hivi!

Kwa hiyo kampeni tunayopaswa kuihimiza ni ubora wa chakula sio kuacha kula.
Naam hilo ni muhimu sana, kwa sbabu kila chakula kinahitajika mwilini kwa kaisi chake ndio maana kuna balanced diet au mlo kamili. Kuacha aina flani ya vyakula kwa kudhani kwamba vinaleta athari za magonjwa kwenye mwili ni kutengeneza tatizo jingine ambalo ni kubwa kuliko unalojitahidi kuzuia. Kwanini kula nyama choma na bia kila siku? tena kwa kiwango kikubwa? kula mlo kamili kwa kuzingatia uwiano hii itasaidia kubalance na kuupa mwili nafasi ya kuchakata na kutoa kile ambacho hakihitajiki kwa mifumo yake. Mfano mtu ambaye anakunywa beer 20 kwa kikao kimoja kila siku jioni, kitimoto, na aweke KVANT Ndogo au nyagi kuboost, halafu asubuhi aamke na mning'inio apige soup na chapati mbili aende ofisini akae kwenye key board na kiyoyozi kama mimi hawezi kuwa sawa kiafya kama mtu anayekunywa bia nne wikend na nyama siku ya jumapili tu"

baadae tunajidanganya Tajiri akila dagaa ni diet ila maskini akila dagaa ni njaa, na tajiri akitembea ni mazoezi na maskini akitembea hyana nauli. we need to habe a comprehensive change of mindset behaviour and habit kwa ujumla katika kila nyanja ikiwemo kuwajali wenzetu. How comes unawapa kuku dawa za binadamu? how comes unachoma mnyama sindano leo halafu kesho unamchinja? how comes unampa nguruwe ARVS? How comes unapiga mboga mboga viwatilifu halafu baada ya siku mbili unavuna kisa umepewa tenda ya ghafla?
 
Hii elimu ndiyo tulitegemea Wizara ya afya waihubiri sana kwenye media na hata kwenye mabasi na other public places kama ilivyokuwa kwa UKIMWI na TB lakini entertainment ya miziki na bongo movie ndiyo vimekuwa balanced diet ya watanzania
Haha starehe ndio imekuwa nutrients hahahah
 
■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks

■Tupunguze nyama nyingi nyekundu e.g nyama ya ng'ombe na maini.

■Tupunguze beer

■Tuache sex za kavu kavu

■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaanga na mafuta mengi

■Tujifunze kunywa maji. Hapa ndio kuna uvivu ila hauna namna itakubidi tu

■Tupunguze sukari nyingi.

■Tuache kukaa muda mrefu kwenye viti vigumu na vilivyonyooka e.g gharamika ununue viti maalum

■Tupunguze uzito.

■Tupunguze kunywa maziwa sana


Miaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.

Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.

Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.

Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.

Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.

TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
Mtaalam

Uric acid una-maanisha ugonjwa gani? Naomba Elimu tafadhali
 
Umeongea vyema hapo kwenye uric acid mzee kunanitesa mwaka wa 3 na jamaa zangu naona wananifata.Nyama nyekundu nyingii sana na mitungi.Tujitahidi kupunguza.
 
Tunatishana sana,mwisho was siku nature ndo mwamuzi wa uhai wa mwanadamu,

Mzee wangu kaishi kwa kunywa ngongo,sigara pakti moja kwa siku,sasa yuko70+ bila kuwa na magonjwa nyemelezi

Mama yangu hali vitu vya mafuta,kila siku shambani na kazi ngumu Leo hii anasumbuliwa na presha

Baba mkwe wangu ni mtu wa kazi ngumu,hakuwai kutumia vitu ulivyovitaja chakusikitisha sasa hivi anaumwa kisukari na presha.
 
Unakuta unajitahidi sana kupunguza matumizi ya soda na sukari kwa kutumia asali kama mbadala. Lakini kuna muda unaenda kwa mama ntilie asubuh unachukua chapati na maharage halafu unatia sukari.

Au unakuta kichwa hakijakaa sawa unapitia kwa mangi unakamata kismart na apple punch au soda. Kwa kweli hii kitu inanikwaza sana, naona kama natwanga maji kwenye kinu!
 
Uliyo yaandika hapo ndio mtindo wa maisha ya vijana wengi wa kitanzania sasa kuwaambia waache au wapunguze wanaweza kukupopoa na mawe kabisa, lakini katika mengi uliyo andika nimeyapona kabisaaa
 
■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks

■Tupunguze nyama nyingi nyekundu e.g nyama ya ng'ombe na maini.

■Tupunguze beer

■Tuache sex za kavu kavu

■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaanga na mafuta mengi

■Tujifunze kunywa maji. Hapa ndio kuna uvivu ila hauna namna itakubidi tu

■Tupunguze sukari nyingi.

■Tuache kukaa muda mrefu kwenye viti vigumu na vilivyonyooka e.g gharamika ununue viti maalum

■Tupunguze uzito.

■Tupunguze kunywa maziwa sana


Miaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.

Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.

Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.

Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.

Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.

TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
Tatzo ni hapo kwenye kufanya full checkup.

Mara nyingi nammbaadh yetu hatupim hiv unasubiri mkeo akapimwe akiwa Mama K
 
Back
Top Bottom