Vijana tuwe makini: Uric acid, UTI sugu, blood pressure, anthritis, KDC, brusella na kisukari kuokota rahisi sasa hivi!

Vijana tuwe makini: Uric acid, UTI sugu, blood pressure, anthritis, KDC, brusella na kisukari kuokota rahisi sasa hivi!

Wengi wamekufa kwenye mazoezi sababu ya kutoanza kwanza kwa daktari au wataalamu wa afya kujua ni aina gani ya mazoezi wanayotakiwa kufanya na kwa kiwango kulingana na hali za kiafya za miili yao. Ushauri ni kwamba lazima kumona Daktari kwanza na kufanya vipimo stahiki vya mwili (check up) kabla ya kuingia kwenye mazoezi.
Watalam wa afya saiv wengi ni mandaz[emoji16]
 
Usinywe bia, usinywe maziwa, usile nyama nyekundu.

Wazee wetu wamekula nyama, wamekunywa maziwa, wanakunywa pombe tena za kienyeji, wamevuta kiko.

Kuna kitu hakipo sawa.
Yafaa kujua nini hakiko sawa kabla ya kufanya ulinganifu, Kuna mabadiliko mengi ya kimazingira na ya kidunia yanayochangiwa na shughuli za kibinadamu hali inayotishia kuongeze athari kwa binadamu kutokana na matumizi ya vyakula na vinywaji. Mathalani matumizi ya kimikali katika kilimo bila kuzingatia kanuni za afya kwa walaji, mabadiliko ya tabia ya nchi na matumizi ya dawa za mifugo bila kuzingatia kanuni na taratibu, hii imechangia kwa kiasi kikubwa kuathiri afya ya binadamu. Mfano kuna utafiti uliofanyika kuhusu wafugaji wa kuku kuwapa kuku amoxillin na ampliclox ili waweze kukabiliana na mafua. Nyama na mayai yaliyopiwa katika sampuli zilichokuliwa zilikutwa na kaisi kikubwa cha dawa hizo. Hivo binadamu hujikuta anatumia antibiotics indirectly hali inayosababisha usugu wa dawa na kudumiza uwezo wa mwili kupamnana na magonjwa.
 
Miaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.

Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.

Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.

Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.

Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.

TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
Hii elimu ndiyo tulitegemea Wizara ya afya waihubiri sana kwenye media na hata kwenye mabasi na other public places kama ilivyokuwa kwa UKIMWI na TB lakini entertainment ya miziki na bongo movie ndiyo vimekuwa balanced diet ya watanzania
 
Yafaa kujua nini hakiko sawa kabla ya kufanya ulinganifu, Kuna mabadiliko mengi ya kimazingira na ya kidunia yanayochangiwa na shughuli za kibinadamu hali inayotishia kuongeze athari kwa binadamu kutokana na matumizi ya vyakula na vinywaji. Mathalani matumizi ya kimikali katika kilimo bila kuzingatia kanuni za afya kwa walaji, mabadiliko ya tabia ya nchi na matumizi ya dawa za mifugo bila kuzingatia kanuni na taratibu, hii imechangia kwa kiasi kikubwa kuathiri afya ya binadamu. Mfano kuna utafiti uliofanyika kuhusu wafugaji wa kuku kuwapa kuku amoxillin na ampliclox ili waweze kukabiliana na mafua. Nyama na mayai yaliyopiwa katika sampuli zilichokuliwa zilikutwa na kaisi kikubwa cha dawa hizo. Hivo binadamu hujikuta anatumia antibiotics indirectly hali inayosababisha usugu wa dawa na kudumiza uwezo wa mwili kupamnana na magonjwa.
Kwa hiyo kampeni tunayopaswa kuihimiza ni ubora wa chakula sio kuacha kula.
 
■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks

■Tupunguze nyama nyingi nyekundu

■Tupunguze beer

■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaaga na mafuta mengi
Jana jioni tulikuwa na watu fulani kwenye kikao cha familia yao, wakawa wanatengeneza timu ya kwenda kumwona RPC ili wamtoe ndugu yao rumande, moja ya vigezo walivyozingatia kuunda timu ni vitambi ati wakienda wenye vitambi wanajenga ushawishi kwa RPC
 
Back
Top Bottom