Vijana tuwe makini: Uric acid, UTI sugu, blood pressure, anthritis, KDC, brusella na kisukari kuokota rahisi sasa hivi!

Vijana tuwe makini: Uric acid, UTI sugu, blood pressure, anthritis, KDC, brusella na kisukari kuokota rahisi sasa hivi!

■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks

■Tupunguze nyama nyingi nyekundu e.g nyama ya ng'ombe na maini.

■Tupunguze beer

■Tuache sex za kavu kavu

■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaanga na mafuta mengi

■Tujifunze kunywa maji. Hapa ndio kuna uvivu ila hauna namna itakubidi tu

■Tupunguze sukari nyingi.

■Tuache kukaa muda mrefu kwenye viti vigumu na vilivyonyooka e.g gharamika ununue viti maalum

■Tupunguze uzito.

■Tupunguze kunywa maziwa sana


Miaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.

Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.

Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.

Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.

Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.

TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
1. Kunywa maziwa haina athari yeyote ile kisayansi ikiwa tu, utachemsha maziwa vizuri kwa centigrade 100' il kuepusha ugonjwa aina ya Bhang Disease(brucellosis/brucella), ugonjwa huu pia huwapata wale wanao shinda machinjio ya wanyama ( ng'ombe, mbuzi, kindoo na n.k)

2. Kwa upande wa mafuta, hapa yamegawanyika sehemu mbili, kuna mafuta mazito(kuganda) na mafuta malain(ambayo haya gandi) ..
. Mafuta yanayo Ganda mfano mafuta ya ng'ombe
. Mafuta yasiyo Ganda mfano mafuta ya kiti moto, mafuta ya Alizeti.


Asante kwa ushauri mzuri, vijana wengi nowadays tumekua wavivu sana kufuata protocol za maisha..
 
■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks

■Tupunguze nyama nyingi nyekundu e.g nyama ya ng'ombe na maini.

■Tupunguze beer

■Tuache sex za kavu kavu

■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaanga na mafuta mengi

■Tujifunze kunywa maji. Hapa ndio kuna uvivu ila hauna namna itakubidi tu

■Tupunguze sukari nyingi.

■Tuache kukaa muda mrefu kwenye viti vigumu na vilivyonyooka e.g gharamika ununue viti maalum

■Tupunguze uzito.

■Tupunguze kunywa maziwa sana


Miaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.

Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.

Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.

Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.

Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.

TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
[emoji109][emoji109]
 
Uric acid sio ugonjwa.

Bali ni maligafi inayotolewa kutoka mwilini kupitia kidney yako.

Sasa kiwango kikikuwa kikubwa cha uric acid kutokana na ulaji wa vyakula vyenye madini ya kuongeza uric kwa sana vinavyoongeza au kidney yako kukosa kufanya kazi vizuri ndio inakuwa shida.

Unakuta uric acid inakuwa nyingi damuni kinachofatia ni ugonjwa wa glout, moyo na kdc.

Ni vyema kupima ujue level za uric acid yakp ukajua ziko ngapi ili upewe dawa ui control pia diet nzuri.

Epuka nyama sana ya ngombe, maziwa, nanasi, tomato sauce, mafuta mengi, lemons, karanga, soda, beer, etc

Pia uric acid ikiwa inaoongeza na madhara hauwezi kutambua mapena maana inakuja kimya kimya
Basi heading irekebishwe maana list imejumuisha hii biological marker na diseases.
 
Umeongea vyema hapo kwenye uric acid mzee kunanitesa mwaka wa 3 na jamaa zangu naona wananifata.Nyama nyekundu nyingii sana na mitungi.Tujitahidi kupunguza.
Kweli mkuu hii hatari.

Punguza pia kula maharage, apple punch, nanasi, tomato sauce
Hatari mtu unacheza na allopurinol kama umeungwa kwenye phase 3.
 
Ufafanuzi NAOMBA wa hapo uliposema tukae viti maalumu .....wamaanisha nn??
■Tuache vitu vitamu sana kama soda na carbonated drinks

■Tupunguze nyama nyingi nyekundu e.g nyama ya ng'ombe na maini.

■Tupunguze beer

■Tuache sex za kavu kavu

■Tupunguze mafuta mengi katika milo e.g vyakula vya kukaanga na mafuta mengi

■Tujifunze kunywa maji. Hapa ndio kuna uvivu ila hauna namna itakubidi tu

■Tupunguze sukari nyingi.

■Tuache kukaa muda mrefu kwenye viti vigumu na vilivyonyooka e.g gharamika ununue viti maalum

■Tupunguze uzito.

■Tupunguze kunywa maziwa sana


Miaka tu 20 iliopita usingeweza kuona tabu hizi lakini sasa hivi zimekuwa chronic katika jamii, na sasa cha ajabu mostly katika vijana wadogo mno.

Najua hata wewe hapo haukosi ndugu au rafiki wa karibu ambae hakosi moja ya hizo conditions hapo juu.

Tumejitahidi kiasi kushindana na ukimwi, sasa hivi tushindanae na haya majanga mengine.

Mzungu cancer ndio inampa tabu, Waafrika tabu zilizo kuja ni hayo majanga niliyotaja hapo juu. Yana tesa sana, yana gharamisha na pia kifo cha uchungu sana.

Kama ni vigumu kufanya mazoezi jichange ununue kabaiskeli ka mazoezi weka ndani uwe unapiga mazoezi asubuhi na jioni.

TAKE CARE. Hamka sasa Kafanye full check up ya mwili mzima na full blood picture ili ujue status zako ili upambane na viatirishi vitakavyoonekana katika mwili wako
 

Attachments

  • Screenshot_20231103_143800_Firefox.jpg
    Screenshot_20231103_143800_Firefox.jpg
    43.5 KB · Views: 5
Umeongea vyema hapo kwenye uric acid mzee kunanitesa mwaka wa 3 na jamaa zangu naona wananifata.Nyama nyekundu nyingii sana na mitungi.Tujitahidi kupunguza.

Hatari mtu unacheza na allopurinol kama umeungwa kwenye phase 3.
Nyama SI tatizo na pia sijaelewa unaposema Uric Acid inakutesa ?
Kivipi ,una arthritis au ugonjwa gani?
 
Nina mwaka wa 10+ sili aina yoyote ya sukari, vinywaji vyote vya sukari Siri. Asubuhi Huwa nakunywa maji ya uvuguvugu ya limao 1 na tangawizi bila sukari Kila siku maisha yangu yote.


Ugali na wali Huwa nakaa hata miezi 6 bila kula. Wanga nimepunguza Kwa asilimia zaidi ya 96. Kwa kifupi Mimi na wanga hatupatan!


Pombe situmii! Kabisa!


Ninaweza kukaa hata mwaka siumwi Wala kujisikia shida yoyote mwilini. Nalala vizuri na kuamka vizuri!


Ninafanya OMAD ( one meal a day) kama nilivyojifunza kutoka kwa Dr Eric Berg ( Nenda YouTube utajifunza zaidi namna ya kula na sio kulakula)


Inashangaza Sasa hivi Kila mtu ana kitambi. Binti mzuri ila kitambi. Vijana wadogo vitambi. Guys tujipende kuwa na mavitambi ni kutojipenda na dalili za ulafi.

Mtu unakuwa mnene na unalala ovyo iwe ofisini hata kanisani na unaendelea kula hovyo bila kuchukua hatua.






Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Mkuu unakula vyakula gani kama huli wanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnataka muishi milele kama mawe wwkuu, we kula kila unachojiskia ukifikia 50 hata ukifa sio shida
 
Kama nyama nyekundu ni tatizo si wamasai na wsgogo wote wangekuwa na uric acid?
Mi kuhusu Wamasai na Wagogo sijui,labda wataalamu ndio wanajua kwa nini? Na kuna watu nawafahamu wanakula nyama kuliko mimi na pombe na wako freesh tu.Labda kuna sababu nyingine .Nikirudi hospitali tena ntawauliza hili swali.Asante.
 
Back
Top Bottom