Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Duh!...Mange anawapa milioni.
Kwa wadada wa kibongo milioni ni hela nyingi.
Maana hata hao watu maarufu hawawapi hao wadada hela za maana. Hivyo wanaona bora wawarekodi wakamuuzie mange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...Mange anawapa milioni.
Kwa wadada wa kibongo milioni ni hela nyingi.
Maana hata hao watu maarufu hawawapi hao wadada hela za maana. Hivyo wanaona bora wawarekodi wakamuuzie mange
Kumbe na mkewe nae anafanya hivyo? Basi ngoma droo...Ukiona mange hajavujisha ujue kalipwa hela nyingi sana na huyo mwenye skendo.
Mange mwenyewe mafia ndio maana alikuwa anawatukana kina Magufuli bila uoga. Imagine RAIS wa nchi hakumuogopa.
Mange kamtukana Mufti mkuu wa nchi. BAKWATA mashehe wote na dua zao kimyaaa..
Mange asiwaogope IGP wa polisi na mkuu wa majeshi. Amuogope waziri mstaafu mafia wa mtaani ambaye watu wanamtombeazz mke wake na hawafanyi chochote
Mange sio mwepesi.
dahhh! mkuu full Nelson ndo imekaakaaje?Haswa ni juzi tu nimeonyeshwa video ya kijana wa mtaani kamkunja binti ile style ya full nelson,aliyenionyesha sasa iyo clip ni binti na haogopi kwamba katunza porn kwenye simu yake kawaida tu.
Mkuu vifaa vya kurekodia siyo simu tu,utakuja kujiachia sana ukijua umemdhibiti kumbe ndo unazidi kumwaga radhi.Kua makini.me nikianza kum gegeda nahakikisha simu yake ipo poleee kwa meza
Mkewe Faraja mbona anaonekana ni mama mstaarabu kabisa.. Hana mambo mengi.Kumbe na mkewe nae anafanya hivyo? Basi ngoma droo...
Kuna video ya nyalandu yupo na demu room. Kwa ufupi mleta mada anatoa ushauri wanaume tujichunge wanawake siku hizi anakurecord na kuuza video kama alivofanyiwa le super marehemuz, kokobanga nyenye nye le mutuz you know from sea viewNimetoka kapa! Sielewi hata kimoja kinachojadiliwa. Aisee! Kweli sasa nazeeka, ni muda sasa wa ku change hili jina la kihuni nitambulike sasa baba Jay mwenye maadili
me nikianza kum gegeda nahakikisha simu yake ipo poleee kwa meza
Siku hizi kuna Kamera za kisasa sana ambazo ziko portable na zingine zina size ndogo sana, siyo rahisi hata kidogo kuweza kuzing'amua haraka. Na kwa bahati mbaya zaidi, Camera hizo kwa sasa zipo ktk maumbo mbalimbali yanayofanana na vitu vya kawaida ambavyo tunavitumia kila siku ktk majumba yetu, mfano, saa ya ukutani, midoli, radio, chupa ya chai, taa za umeme, bakuli, birika, sahani, n.k. Kwa haraka haraka huwezi kugundua kwamba vifaa vya namna hiyo vinaweza kuwa ni Camera mpaka uwe na uelewa mpana wa "Jicho la Mwewe."Mkuu vifaa vya kurekodia siyo simu tu,utakuja kujiachia sana ukijua umemdhibiti kumbe ndo unazidi kumwaga radhi.Kua makini.
Nasikia wamemwagana.Mkewe Faraja mbona anaonekana ni mama mstaarabu kabisa.. Hana mambo mengi.
Nasikia wamemwagana.
Nilisikia hii kitambo sana.Nasikia wamemwagana.
Itakua kimya kimya başı. Maana bado anatumia jina la mume wakeNasikia wamemwagana.
Usisahau na yule aliyeomba kura KaweMfano MCpilipili, Nyalandu, na aliyekuwa katibu mwenezi wa CCM.
Inategemea. Wewe unagonga kila siku halafu unakuwa na mkono wa birika ataachaje kuvujisha? Ndiyo maana nikasema utakavyom-treat ndivyo atakavyoku-treatSasa kama kwa Mange K. App anavuna 1m, hata kama umempa 200k ataacha kumpenyezea Mange mzigo?
Kuna mstari mmoja wa vijana wako hua unanichekesha knoma etiNimetoka kapa! Sielewi hata kimoja kinachojadiliwa. Aisee! Kweli sasa nazeeka, ni muda sasa wa ku change hili jina la kihuni nitambulike sasa baba Jay mwenye maadili