Vijana umakini unahitajika wadada kuvujisha picha za faragha

Vijana umakini unahitajika wadada kuvujisha picha za faragha

Unatembea na malaya waliooza halafu unatarajia usinuke? Mimi nasemea wanawake wenye heshima na wanaojitambua. Unadhani kuna mwanamke mwenye heshima ata-risk vihela anavyolipa kwa kuchafua image yake?
Amber lulu alitoka na jamaa mmoja maarufu na video yake ikalink....
 
Ika
Nasikia mwamba ni mafia Mange kaogopa kuvujisha...au ndo siku ya idd atafanya? Ngoja tuone..yani eti watu wamefunga wanasubiri siku ya idd wafungulie na waliochafua hali ya hewa kwa Mange..hii dunia imebinuka walai..
Ila Mange kawakosea sana wa islam yaan wakinaliza mfungo ndo ruksa kuangalia ngono🤣🤣🤣
 
Achana na hayo mambo yanakula akili yako mwisho wa siku unapaki mtupu kabisa.
 
Back
Top Bottom