Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeo pia anaweza kukurekodi kama ametumwa na watu.Nafikiri wamiliki wa nyumba za dharaura (lodge) waweke scanner kama za airport na mabakuli kukabidhi electronics
N.B: acha uzinzi, mwana kulitafuta..mkeo hawezi kuku record
😀😁😁😊Huu mwaka Mange hatoboi
Amber lulu alitoka na jamaa mmoja maarufu na video yake ikalink....Unatembea na malaya waliooza halafu unatarajia usinuke? Mimi nasemea wanawake wenye heshima na wanaojitambua. Unadhani kuna mwanamke mwenye heshima ata-risk vihela anavyolipa kwa kuchafua image yake?
Ila Mange kawakosea sana wa islam yaan wakinaliza mfungo ndo ruksa kuangalia ngono🤣🤣🤣Nasikia mwamba ni mafia Mange kaogopa kuvujisha...au ndo siku ya idd atafanya? Ngoja tuone..yani eti watu wamefunga wanasubiri siku ya idd wafungulie na waliochafua hali ya hewa kwa Mange..hii dunia imebinuka walai..