Unatembea na malaya waliooza halafu unatarajia usinuke? Mimi nasemea wanawake wenye heshima na wanaojitambua. Unadhani kuna mwanamke mwenye heshima ata-risk vihela anavyolipa kwa kuchafua image yake?
Nasikia mwamba ni mafia Mange kaogopa kuvujisha...au ndo siku ya idd atafanya? Ngoja tuone..yani eti watu wamefunga wanasubiri siku ya idd wafungulie na waliochafua hali ya hewa kwa Mange..hii dunia imebinuka walai..