Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Sir nature alikuwa mfalme wa "the art of street story telling"
Katika wimbo wa Jinsi Kijana aliyasema maneno haya na kwa kweli alikuwa sahihi sana kuhusu bangi kutegemeana na asili ya mtu.
"Hiyo mibangi tunayovuta ni stimu za kulanduka, kama sio fani yako kwa kweli utaambuka, kijasho kitakushuka tereka chemka, utampunguzia nani midhambi isio hesabika, ushakaba, ushaiba, ushauua,"
View: https://youtu.be/7xnKz4mYI6I?si=wbgk3281YFPK57g8
Sisi Kaka zenu ni mashuhuda kushuhudia marafiki zetu na safari zao za bangi. Kuna ambao waliendana hadi leo wanaishi nao fresh, kuna ambao inawazingua kimtindo ila kuna ambao ili waharibia maisha yao kabisa.
TAKE CARE.
Katika wimbo wa Jinsi Kijana aliyasema maneno haya na kwa kweli alikuwa sahihi sana kuhusu bangi kutegemeana na asili ya mtu.
"Hiyo mibangi tunayovuta ni stimu za kulanduka, kama sio fani yako kwa kweli utaambuka, kijasho kitakushuka tereka chemka, utampunguzia nani midhambi isio hesabika, ushakaba, ushaiba, ushauua,"
View: https://youtu.be/7xnKz4mYI6I?si=wbgk3281YFPK57g8
Sisi Kaka zenu ni mashuhuda kushuhudia marafiki zetu na safari zao za bangi. Kuna ambao waliendana hadi leo wanaishi nao fresh, kuna ambao inawazingua kimtindo ila kuna ambao ili waharibia maisha yao kabisa.
TAKE CARE.