Vijana wa 2,000 mnaoanza kutest ganja kirahisi rahisi, sisi Juma Nature alitushauri hivi kwa phrase fupi sana ila yenye maana kubwa sana

Vijana wa 2,000 mnaoanza kutest ganja kirahisi rahisi, sisi Juma Nature alitushauri hivi kwa phrase fupi sana ila yenye maana kubwa sana

Mimi nilichana hii song 🎵 ya Jinsi Kijana kwenye graduation 2002. Kuna alumni 3 wa darasa letu walidata kwa sababu ya bangi na wawili wamekufa. Last year ndio watu wanakumbuka kwamba ile michano yangu ilikuwa onyo kwa wavuta bangi.
 
Mimi nilichana hii song 🎵 ya Jinsi Kijana kwenye graduation 2002. Kuna alumni 3 wa darasa letu walidata kwa sababu ya bangi na wawili wamekufa. Last year ndio watu wanakumbuka kwamba ile michano yangu ilikuwa onyo kwa wavuta bangi.
Aiseeeeeeee hatariii.

Hongera mkuy
 
Uwezo wake kiakili ulikuwaje shule ya msingi kabla hajaanza bangi?
Akiwa darasa la sita alifanya mtihani wa hesabu(CHAHITA )pamoja na darasa la Saba akawa wa pili. Sasa Hapa ukatokea mchuano mkali kati ya huyu dogo wa darasa la sita na brother wa la Saba.
Matokeo ya mwisho ya darasa la Saba brother akatandika kijiti Cha Saba na kuchaguliwa vipaji maalumu xxx, katika furaha brother akamwambia dogo nifuate na huku.
Mwezi January brother akatinga skuli kuanza masoma ya Kidato cha kwanza huku dogo akiwa darasa la Saba. Siku Moja yule brother akapokea barua kutoka Kwa yule dogo ikiwa na maneno machache sana "NITAKUJA BROTHER USIHOFU".
Siku zikaenda na miezi ikafika, wasaa wa mtihani wa darasa la Saba ukawadia. Dogo akapiga kijiti Cha Saba na kumfuata brother vipaji xxx. Akakutana na brother maisha yakaendelea kama kawaida.
 
Sir nature alikuwa mfalme wa "the art of street story telling"

Katika wimbo wa Jinsi Kijana aliyasema maneno haya na kwa kweli alikuwa sahihi sana kuhusu bangi kutegemeana na asili ya mtu.

"Hiyo mibangi tunayovuta ni stimu za kulanduka, kama sio fani yako kwa kweli utaambuka, kijasho kitakushuka tereka chemka, utampunguzia nani midhambi isio hesabika, ushakaba, ushaiba, ushauua,"


View: https://youtu.be/7xnKz4mYI6I?si=wbgk3281YFPK57g8

Sisi Kaka zenu ni mashuhuda kushuhudia marafiki zetu na safari zao za bangi. Kuna ambao waliendana hadi leo wanaishi nao fresh, kuna ambao inawazingua kimtindo ila kuna ambao ili waharibia maisha yao kabisa.

TAKE CARE.

Kwa Streety Story Telling J Nature hajawahi kupata mpinzani
 
Akiwa darasa la sita alifanya mtihani wa hesabu(CHAHITA )pamoja na darasa la Saba akawa wa pili. Sasa Hapa ukatokea mchuano mkali kati ya huyu dogo wa darasa la sita na brother wa la Saba.
Matokeo ya mwisho ya darasa la Saba brother akatandika kijiti Cha Saba na kuchaguliwa vipaji maalumu xxx, katika furaha brother akamwambia dogo nifuate na huku.
Mwezi January brother akatinga skuli kuanza masoma ya Kidato cha kwanza huku dogo akiwa darasa la Saba. Siku Moja yule brother akapokea barua kutoka Kwa yule dogo ikiwa na maneno machache sana "NITAKUJA BROTHER USIHOFU".
Siku zikaenda na miezi ikafika, wasaa wa mtihani wa darasa la Saba ukawadia. Dogo akapiga kijiti Cha Saba na kumfuata brother vipaji xxx. Akakutana na brother maisha yakaendelea kama kawaida.
Kumbe mtu alikuwa na akili nyingi kabla hata hajaanza kujifunza kuvuta bangi. Ila Watu wataisifia bangi sekondari kuwa ilikuwa ikimfanya afaulu sana
 
Back
Top Bottom