Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wake kiakili ulikuwaje shule ya msingi kabla hajaanza bangi?Kuna mwanangu nilipiganae pale xxx jamaa alikuwa ganja kishenzi.... Akakong'ota zake 1 ya 3 akapata scholarship Algeria Sasa anapiga kazi Monaco Ufaransa sijui huko Nako Kuna bange au sijui ameacha.
"Nana, Bangkok " Hatari sana pale kwa ubongo wa vijana.ni kama ile ya USA ipo tofauti na ya bongo
Kwa hyo ww ukivuta inakupelekea kulakula misos tuuBangi mwenziwe msosi mzuri, kobongobongo wengi wanalanduka.
Rapa B Real anavuta sana ile pia anauzani kama ile ya USA ipo tofauti na ya bongo
Aiseeeeeeee hatariii.Mimi nilichana hii song 🎵 ya Jinsi Kijana kwenye graduation 2002. Kuna alumni 3 wa darasa letu walidata kwa sababu ya bangi na wawili wamekufa. Last year ndio watu wanakumbuka kwamba ile michano yangu ilikuwa onyo kwa wavuta bangi.
Kama una chembe chembe za ukichaa ukivuta bangi itaziamsha sana na kukufanya uwe kichaa kamili. Ingekua inaleta ukichaa Burning Spears nadhani saizi angekuwa anaokota makopoBANGI INALETA UKICHAA...
ukichaa wenyewe unakua uko wap mpaka uletwe na bangi?BANGI INALETA UKICHAA...
Ha ha haBado hauko sawa. Ahhahah
Sijasoma yote ila nimesikitishwa sana hapo uliposema ullfanyiwa vitendo vya udhalilishaji na kubakwa.Sitasahau siku niliyovuta bangi nikamtukana baba na mama mbele ya wazazi wangu
Akiwa darasa la sita alifanya mtihani wa hesabu(CHAHITA )pamoja na darasa la Saba akawa wa pili. Sasa Hapa ukatokea mchuano mkali kati ya huyu dogo wa darasa la sita na brother wa la Saba.Uwezo wake kiakili ulikuwaje shule ya msingi kabla hajaanza bangi?
Sir nature alikuwa mfalme wa "the art of street story telling"
Katika wimbo wa Jinsi Kijana aliyasema maneno haya na kwa kweli alikuwa sahihi sana kuhusu bangi kutegemeana na asili ya mtu.
"Hiyo mibangi tunayovuta ni stimu za kulanduka, kama sio fani yako kwa kweli utaambuka, kijasho kitakushuka tereka chemka, utampunguzia nani midhambi isio hesabika, ushakaba, ushaiba, ushauua,"
View: https://youtu.be/7xnKz4mYI6I?si=wbgk3281YFPK57g8
Sisi Kaka zenu ni mashuhuda kushuhudia marafiki zetu na safari zao za bangi. Kuna ambao waliendana hadi leo wanaishi nao fresh, kuna ambao inawazingua kimtindo ila kuna ambao ili waharibia maisha yao kabisa.
TAKE CARE.
Kumbe mtu alikuwa na akili nyingi kabla hata hajaanza kujifunza kuvuta bangi. Ila Watu wataisifia bangi sekondari kuwa ilikuwa ikimfanya afaulu sanaAkiwa darasa la sita alifanya mtihani wa hesabu(CHAHITA )pamoja na darasa la Saba akawa wa pili. Sasa Hapa ukatokea mchuano mkali kati ya huyu dogo wa darasa la sita na brother wa la Saba.
Matokeo ya mwisho ya darasa la Saba brother akatandika kijiti Cha Saba na kuchaguliwa vipaji maalumu xxx, katika furaha brother akamwambia dogo nifuate na huku.
Mwezi January brother akatinga skuli kuanza masoma ya Kidato cha kwanza huku dogo akiwa darasa la Saba. Siku Moja yule brother akapokea barua kutoka Kwa yule dogo ikiwa na maneno machache sana "NITAKUJA BROTHER USIHOFU".
Siku zikaenda na miezi ikafika, wasaa wa mtihani wa darasa la Saba ukawadia. Dogo akapiga kijiti Cha Saba na kumfuata brother vipaji xxx. Akakutana na brother maisha yakaendelea kama kawaida.
Nili sahau kidogo, mama yake alikuwa PushaKumbe mtu alikuwa na akili nyingi kabla hata hajaanza kujifunza kuvuta bangi. Ila Watu wataisifia bangi sekondari kuwa ilikuwa ikimfanya afaulu sana