Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 409
- 598
Kiukweli hapo awali nilikuwa nikijua kuwa vijana wa Kisukuma ni washamba, kiukweli ni washamba lakini uzuri wao wanapenda kuelekezwa na kujifunza na kujikubali pia.
Lakini sasa katika uchunguzi wangu nimekuja kugundua vijana wa Arusha ndio washamba na ni wajinga zaidi kwa sababu;
1. Ni wabishi.
2. Hujifanya wao kila kitu wanakijua (yaani wako mbele ya muda).
3. Hawapendi kujifunza na kukubali kuwa kitu fulani hakijui.
4. Hawajui kuvaa.
5. Wanawachukia na hawawapendi vijana wa Dar.
6. Hujiona ni wajanja sana Tanzania nzima.
Lakini sasa katika uchunguzi wangu nimekuja kugundua vijana wa Arusha ndio washamba na ni wajinga zaidi kwa sababu;
1. Ni wabishi.
2. Hujifanya wao kila kitu wanakijua (yaani wako mbele ya muda).
3. Hawapendi kujifunza na kukubali kuwa kitu fulani hakijui.
4. Hawajui kuvaa.
5. Wanawachukia na hawawapendi vijana wa Dar.
6. Hujiona ni wajanja sana Tanzania nzima.