LGE2024 Vijana wa CCM wamshambulia Mjumbe wa Kamati Tendaji ya CHADEMA katika Kituo cha Uandikishaji

LGE2024 Vijana wa CCM wamshambulia Mjumbe wa Kamati Tendaji ya CHADEMA katika Kituo cha Uandikishaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Screenshot 2024-10-17 093504.png
Pia, Soma:

 
Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Nimeona tofauli likitua juu ya kichwa cha mtu! Polisi hawakufanya lolote!
 
Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Sasa hao waandikishaji kazi yao kutoa fafanuzi au kuandikisha watu?

Hapo wanatakiwa mawakala tu na wanaojiandikisha

Chama kikiweka wakala wake hao wengine wanafuata nini?

Chadema muelewe taratibu kama kuna wakala wenu maswali yenu ulizeni wakala wenu acheni kusumbua waandikishaji au watu mnaokuta wanajiandikisha wapo pale kujiandikisha sio kuhojiwa
 
Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya 7Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Maccm ni mashetani makubwa sana!
 
Nimeona tofauli likitua juu ya kichwa cha mtu! Polisi hawakufanya lolote!
Polisi wafanye nini? Pale panatakiwa wakala wa chama ,muandikishaji na wanaojiandikisha tu

Sasa mtu anatokea huko anaanza kuhojihoji watu wakimvaa asilaumu mtu
Akitaka kuhoji chochote aulize wakala wa Chama chake aliyepo hapo si vinginevyo
 
Sasa hao waandikishaji kazi yao kutoa fafanuzi au kuandikisha watu?

Hapo wanatakiwa mawakala tu na wanaojiandikisha

Chama kikiweka wakala wake hao wengine wanafuata nini?

Chadema muelewe taratibu kama kuna wakala wenu maswali yenu ulizeni wakala wenu acheni kusumbua waandikishaji au watu mnaokuta wanajiandikisha wapo pale kujiandikisha sio kuhojiwa
Wewe ni Mpuuzi sana! Kama hamna wakala?
 
Polisi wafanye nini? Pale panatakiwa wakala wa chama ,muandikishaji na wanaojiandikisha tu

Sasa mtu anatokea huko anaanza kuhojihoji watu wakimvaa asilaumu mtu
Akitaka kuhoji chochote aulize wakala wa Chama chake aliyepo hapo si vinginevyo
Wewe utakuwa Njagu tu! huoni upendeleo wowote? alipokamatwa yule aliyekuwa na majina fake waliomkamata ndio waliotiwa hatiani! YOUR DAYS ARE NUMBERED TRUST ME!!
 
Polisi wafanye nini? Pale panatakiwa wakala wa chama ,muandikishaji na wanaojiandikisha tu

Sasa mtu anatokea huko anaanza kuhojihoji watu wakimvaa asilaumu mtu
Akitaka kuhoji chochote aulize wakala wa Chama chake aliyepo hapo si vinginevyo
Ndio uumize watu! Si umuondoe kistaarabu TU?
 
Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Ndiyo kazi ya ccm hiyo.
 
Wewe ni Mpuuzi sana! Kama hamna wakala?
Waweke wakala wao ,sio kusumbua wengine Si wameambiwa waweke mawakala kwenye vituo huweki halafu unaenda kusumbua watu wengine.Tofali ukitwangwa usilaumu mtu .Unafanya fujo kituoni

Sasa huna mawakala unaenda kuhoji nini kama si kuleta vurugu huko.
Kwa nini yeye mwenyewe asingeomba kuwa wakala hicho kituo toka mwanzo?
 
Sasa hao waandikishaji kazi yao kutoa fafanuzi au kuandikisha watu?

Hapo wanatakiwa mawakala tu na wanaojiandikisha

Chama kikiweka wakala wake hao wengine wanafuata nini?

Chadema muelewe taratibu kama kuna wakala wenu maswali yenu ulizeni wakala wenu acheni kusumbua waandikishaji au watu mnaokuta wanajiandikisha wapo pale kujiandikisha sio kuhojiwa
Wewe unayejua taratibu kwa nini hukupiga simu polisi kuwa kuna mtu anafanya fujo kwenye kituo cha uandikishaji kura?
 
Ndio uumize watu! Si umuondoe kistaarabu TU? Kenge wewe!
Njia aliyojia ndio ataondokea
Mlipoambiwa wekeni mawakala mliona Tamisemi wajinga au? Mkome kuvamia vituo ambavyo hamna mawakala na kuanza kusumbua watu
 
Sasa hao waandikishaji kazi yao kutoa fafanuzi au kuandikisha watu?

Hapo wanatakiwa mawakala tu na wanaojiandikisha

Chama kikiweka wakala wake hao wengine wanafuata nini?

Chadema muelewe taratibu kama kuna wakala wenu maswali yenu ulizeni wakala wenu acheni kusumbua waandikishaji au watu mnaokuta wanajiandikisha wapo pale kujiandikisha sio kuhojiwa


Lakini kuanza kushambuliana kwa kushindwa kuvumiliana inaonyesha uadui ulivyowajaa mioyoni ccm na chadema. The Hague itawala kichwa watu wakiendelea kufa wengi kipindi cha uchaguzi.
 
Lakini kuanza kushambuliana kwa kushindwa kuvumiliana inaonyesha uadui ulivyowajaa mioyoni ccm na chadema. The Hague itawala kichwa watu wakiendelea kufa wengi kipindi cha uchaguzi.
Zingatia taratibu weka mawakala vituoni acha ubwege

Wakala wako ndio wa kuhoji chochote unachotaka
Usithubutu kuhoji mtu baki kama huna wakala wako hicho kituo ni kufanya vurugu kituoni
 
Sasa hao waandikishaji kazi yao kutoa fafanuzi au kuandikisha watu?

Hapo wanatakiwa mawakala tu na wanaojiandikisha

Chama kikiweka wakala wake hao wengine wanafuata nini?

Chadema muelewe taratibu kama kuna wakala wenu maswali yenu ulizeni wakala wenu acheni kusumbua waandikishaji au watu mnaokuta wanajiandikisha wapo pale kujiandikisha sio kuhojiwa
Unachotaka kusema ni kama ilikua sahihi hao vijana kufanya hilo tukio
 
CHADEMA AWANA AKILI NILIWAAMBIA WAKANIONA MIMI MPUMBAVU KAMA WAO .. AWAJUI HATA ADUI WAO MKUBWA NI NANI? MBOWE NDIYE ADUI NO MOJA WA CHADEMA...nawaambia chadema kwa kukosa kwenu akili mtajamba cheche si mlisema na kuimbishwa nyimbo na msio wajua kuwa jpm dictator hamkujua kuwa mnatumiwa na watu dhalimu dhidi ya mzalendo JPM sasa hao watu dhalimu walipo kwisha kuwatumiena na kufanikiwa kumuondoa JPM ...mkawatukuza na kuwaita wanaupiga mwingi sasa mtavuna upumbavu wenye kwa damu zenu kupitia mikono ya,walewale mlio shikamana nao kumtukana JPM
 
Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Pia, Soma:

Tupo hatarini sana kama taifa. Hawa jamaa kama mpaka wanaweza kufanya kitu kama hiki hadharani manake wameshaona mfumo ni wa kwao peke yao na wengine hawausiki kabisa. Mungu awalaani
 
Back
Top Bottom