CHADEMA AWANA AKILI NILIWAAMBIA WAKANIONA MIMI MPUMBAVU KAMA WAO .. AWAJUI HATA ADUI WAO MKUBWA NI NANI? MBOWE NDIYE ADUI NO MOJA WA CHADEMA...nawaambia chadema kwa kukosa kwenu akili mtajamba cheche si mlisema na kuimbishwa nyimbo na msio wajua kuwa jpm dictator hamkujua kuwa mnatumiwa na watu dhalimu dhidi ya mzalendo JPM sasa hao watu dhalimu walipo kwisha kuwatumiena na kufanikiwa kumuondoa JPM ...mkawatukuza na kuwaita wanaupiga mwingi sasa mtavuna upumbavu wenye kwa damu zenu kupitia mikono ya,walewale mlio shikamana nao kumtukana JPM