Kajiandikishe usiogope tofali wewe kama raia mwema unayeenda kujiandikishaNahapa ndipo napata majibu kwanini wananchi hawajitokezi kujiandikisha nannina hakika hawatajitokeza pia kupiga kura kwa mwenendo huu
Mbona mabondia huwa wanapigana hadharani na kudhuriana mbona huwa hawakamatwi na polisiKupigana hadharani ni jinai polisi anatakiwa kum arrest mtu anayefanya fujo/shambulio la kudhuru mwili pasipo hata arrest warrant.
Mchengerwa aliagiza vyama viweke mawakala vituoni kuepusha mambo hayo kuwa yeyote akiwa na swali kituo chochote aulize wakala wakeHayo ndiyo maagizo na maelekezo ya Mchengerwa.
Kwaiyo hao kenge wa Kijani nao wote ni mawakala kwenye hicho kituo na wenyewe wapo eneo hilo kufanya nini kweli hujitambui weweWaweke wakala wao ,sio kusumbua wengine Si wameambiwa waweke mawakala kwenye vituo huweki halafu unaenda kusumbua watu wengine.Tofali ukitwangwa usilaumu mtu .Unafanya fujo kituoni
Sasa huna mawakala unaenda kuhoji nini kama si kuleta vurugu huko.
Kwa nini yeye mwenyewe asingeomba kuwa wakala hicho kituo toka mwanzo?
Heading ilitakiwa iseme wanaodhaniwa wana CCMKwaiyo hao kenge wa Kijani nao wote ni mawakala kwenye hicho kituo na wenyewe wapo eneo hilo kufanya nini kweli hujitambui wewe
Ule ni mchezo rasmi unaotambuliwa na sheria hadi za kimataifa na una chama chao cha mabondia.Mbona mabondia huwa wanapigana hadharani na kudhuriana mbona huwa hawakamatwi na polisi
Wakati huo usisahau anaye pigwa na tofali bila hatia ni binadamu mwenzako hata kama hujali na ni mtanzania na ana ndugu na wana jamii kama wewe, raia wanaona ndio maana hawana namna ya kujibu mapigo kwa sababu jeshi mnalo na mitutu mnayo wao wameona wakae kando tuu kwenye hili zoezi ndio maana hawaonekani vituoni kujiandikisha na hapo bado kupiga kura ndio kabisaa, mnaweza dhani njia za kujeruhi, kuumiza na kuua ina afya kwa ustawi wa chama na nchi kumbe ndiyo mambo yana haribika zaidi .Kajiandikishe usiogope tofali wewe kama raia mwema unayeenda kujiandikisha
Tofali zina wenyewe zinazowahusu
Wwwe kama raia mwema hata u9ne tofali zimepangwa mbele ya meza ya mwandikishaji hazikuhusu ziko pale kutumika kujenga ofisi zoezi la kuandikisha likiisha
Wana Interejensia Kali Sana.Kama kawaida yao ila wakisikia kuna maandamano kesho usiku huo huo kila kona wanaenea kama sisimizi.
Mbona wote ni cdm?Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Pia, Soma:
- Wakala wa CHADEMA, Jacob Emily adaiwa kuumizwa alipokua akizuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM kuingizwa kwenye daftari la uandikishaji wapiga
- Njombe: Polisi wakamata wafuasi wa CHADEMA waliomshambulia wakala wa CCM aliyedaiwa kusambaza majina hewa
- CHADEMA Dodoma mjini wadai kunasa majina feki ya wapiga kura
- CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi
Kupitia hiyo klip utajua mwana-CCM ni yupi na Chadema ni yupi?Wakati huo usisahau anaye pigwa na tofali bila hatia ni binadamu mwenzako hata kama hujali na ni mtanzania na ana ndugu na wana jamii kama wewe, raia wanaona ndio maana hawana namna ya kujibu mapigo kwa sababu jeshi mnalo na mitutu mnayo wao wameona wakae kando tuu kwenye hili zoezi ndio maana hawaonekani vituoni kujiandikisha na hapo bado kupiga kura ndio kabisaa, mnaweza dhani njia za kujeruhi, kuumiza na kuua ina afya kwa ustawi wa chama na nchi kumbe ndiyo mambo yana haribika zaidi .
Mimi ni mwana CCM kamili nina kadi na nina ilipia, lakini sijawa mfuasi mjinga wa kuunga mkono hata mambo ya hovyo hovyo yanayo fanywa na wanachama wasio na weledia ccm kashambulia?
Ndiyo tumefika hapa?🥹🥹🥹Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Pia, Soma:
- Wakala wa CHADEMA, Jacob Emily adaiwa kuumizwa alipokua akizuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM kuingizwa kwenye daftari la uandikishaji wapiga
- Njombe: Polisi wakamata wafuasi wa CHADEMA waliomshambulia wakala wa CCM aliyedaiwa kusambaza majina hewa
- CHADEMA Dodoma mjini wadai kunasa majina feki ya wapiga kura
- CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi
Ukisikia AMANI NA UTULIVU ndio hiyo ndugu, yaani mpinzani akifanywa hivyo ni sawa tu, wala askari hafanyi chochote na huyo jamaa badala ya kupelekwa kwenye vyombo vya dola utasikia kapewa cheo cha uDC. Hiyo ndio Tanzania ya chifu Hangaya.Ndiyo kazi ya ccm hiyo.
Siasa ni uadui?Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Ndio alitakiwa apigwe na tofali? Polisi wamechukua hatua gani?Sasa hao waandikishaji kazi yao kutoa fafanuzi au kuandikisha watu?
Hapo wanatakiwa mawakala tu na wanaojiandikisha
Chama kikiweka wakala wake hao wengine wanafuata nini?
Chadema muelewe taratibu kama kuna wakala wenu maswali yenu ulizeni wakala wenu acheni kusumbua waandikishaji au watu mnaokuta wanajiandikisha wapo pale kujiandikisha sio kuhojiwa
Lakini ndrugo zangu wanachadema mambo mengine mnajitakia tu, huhusiki na zoezi la uandikishaji unahoji nini huenda vijana wanajiandikisha kwenda kucheza mechi ya kirafiki na wenzao eneo la mbali...Mchungaji Israel Ernest Ngatunga, ambaye ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kata ya Msongola, Jimbo la Ukonga, anadaiwa kushambuliwa na vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wanaandikisha wananchi nje ya Kituo cha Uandikishaji cha Kwa Mussa, kilichoko Mtaa wa Yangeyange. Shambulio hili lilitokea baada ya Ngatunga kuwataka vijana hao kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi hilo la uandikishaji.
Pia, Soma:
- Wakala wa CHADEMA, Jacob Emily adaiwa kuumizwa alipokua akizuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM kuingizwa kwenye daftari la uandikishaji wapiga
- Njombe: Polisi wakamata wafuasi wa CHADEMA waliomshambulia wakala wa CCM aliyedaiwa kusambaza majina hewa
- CHADEMA Dodoma mjini wadai kunasa majina feki ya wapiga kura
- CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi