Kwani umesikia wanaenda kulakula huko. Kuruti anapenda kula na kulala, kama hujapita jeshi huwezi elewa.Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.
Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.
Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
we umeshafika hata kambi moja ya JKT? Acha uzushi wa kijinga, jeshi siyo km huo umbea wenu wa uswahiliniNina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.
Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.
Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Kambi nyingi za Jeshi ktk nchi zetu hizi za dunia ya tatu ambazo nyingi zinafuata mfumo wa kikomunisti au ujamaa (udikteta) utagundua kwamba ni kama Kambi za Mateso (Tourture Centers or tourture camps) badala ya kuwa kambi ambazo watu wachukua ujuzi na maarifa ya kijeshi, wakati kambi za Jeshi ktk nchi zingine ambazo zinafata mfumo wa nchi za Magharibi wa kiliberali utagundua kuwa ni Kambi za Mafunzo ya ujuzi na umahiri ktk masuala ya kijeshi, zinalenga ktk kujenga umahiri (competence) ktk nyanza zote za kijeshi.Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.
Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.
Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Hata maponjoro tu wapenda kulakula na wana mavitambi hawawezi kuuliza hivi.mateso kwa mujibu wa sheria.
Hivi tunapata faida gani kama taifa kwa hizi programs?
Faida ni kuwapa vijana mateso ili waishi maisha ya stress na hasira, hatimaye kuwa mentally unstable kutokana ugumu wa maisha wanaokumbana nao baada ya kumaliza mafunzo. Ila wenyewe wanasema wanawajengea vijana "uzalendo", japokuwa Mimi na elimu yangu ya kutosha kuhusiana na masuala ya afya ya binadamu sioni uhusiano wowote ule wa kisayansi uliopo kati ya "kupiga kwata " na "uzalendo".mateso kwa mujibu wa sheria.
Hivi tunapata faida gani kama taifa kwa hizi programs?
Muulize toka lini scale ya msosi ikasifiwa na chapa nyau ? Hata ale pipa zima hatoshiba acha ajengwe kiakili na kimwili chakula kinamtosha na anakula kwa wakati kuliko familia nyingi tu za maisha duniwe umeshafika hata kambi moja ya JKT? Acha uzushi wa kijinga, jeshi siyo km huo umbea wenu wa uswahilini
Nguvu kazi, wanalima Balaa na kazi za Aina nyingine, ila kilimo ni first prioritymateso kwa mujibu wa sheria.
Hivi tunapata faida gani kama taifa kwa hizi programs?
Mapigano ya vita ktk dunia ya sasa yanahitaji matumizi ya Akili/elimu zaidi kuliko nguvu. Vita ya kisasa inapiganwa kisayansi kwa kutumia akili zaidi na nguvu kiasi, tena nguvu inatumika pale tu inapobidi na ikionekana kuwa ni lazima. Majeshi yetu sisi bado yapo kwenye Ujima, mafunzo yao mengi yamejikita ktk matumizi ya nguvu zaidi kupita kiasi kuliko akili, na wakati mwingine hawatumii akili kabisa.Mazoezi yale kwa aliyezoea kula kulala lazima alalame. Maana yake ni mwendo wa kunyakua na muda wote hakuna cha Mswalie mtume kule. Hivyo mwambie avumilie kwani kuna kitu kinajengwa kwa kweli inakuweka kuwa tayari kuishi popote.
Majeshini Kuna migahawa,maduka, sema kule Kuna Kama mashindano wenzako wananunua we unaeaangalia kweli, lazima waseme uongo ili wapewe Ela home, alafu Kuna posho wanapewa kila mwisho wa mwezi najua Ila sitoitaja......,Yuko ndani ya kambi atanunua wapi hicho chakula?
Faida ni kuwapa vijana mateso ili waishi maisha ya stress na hasira, hatimaye kuwa mentally unstable kutokana ugumu wa maisha wanaokumbana nao baada ya kumaliza mafunzo. Ila wenyewe wanasema wanawajengea vijana "uzalendo", japokuwa Mimi na elimu yangu ya kutosha kuhusiana na masuala ya afya ya binadamu sioni uhusiano wowote ule wa kisayansi uliopo kati ya "kupiga kwata " na "uzalendo".
Hii huwa ni point ya kijinga sana kwa sababu hakuna vita ya nguvu basi askari asipewe mazoezi ya utimamu wa mwili.Mapigano ya vita ktk dunia ya sasa yanahitaji matumizi ya Akili/elimu zaidi kuliko nguvu. Vita ya kisasa inapiganwa kisayansi kwa kutumia akili zaidi na nguvu kiasi, tena nguvu inatumika pale tu inapobidi na ikionekana kuwa ni lazima. Majeshi yetu sisi bado yapo kwenye Ujima, mafunzo yao mengi yamejikita ktk matumizi ya nguvu zaidi kupita kiasi kuliko akili, na wakati mwingine hawatumii akili kabisa.
Ukishakuwa kuruti automatic msosi hautoshi.Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.
Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.
Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?