Vijana wa Form Six walioenda JKT bado wanaendelea kuishi kwa mateso

Vijana wa Form Six walioenda JKT bado wanaendelea kuishi kwa mateso

Wewe na yeye wote ni matahira.

Enzi hizi Tanzania haina tetesi wala adui wa kuliamsha naye badala umpeleke hata ajifunze kushona viatu, unampeleka jkt isiyo na manufaa kwake.

Mwambie akomae

Nchi zote duaniani zina maadui muda wote, tofauti ni threat level
Just because hauko kwenye vita haimaanishi uweke defences zako chini nope
 
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Acha tabia za kimama wewe ulitaka waishi kama hostel za kanosa au St. Mary's? Ndo mana pakaitwa jeshini
 
Mapigano ya vita ktk dunia ya sasa yanahitaji matumizi ya Akili/elimu zaidi kuliko nguvu. Vita ya kisasa inapiganwa kisayansi kwa kutumia akili zaidi na nguvu kiasi, tena nguvu inatumika pale tu inapobidi na ikionekana kuwa ni lazima. Majeshi yetu sisi bado yapo kwenye Ujima, mafunzo yao mengi yamejikita ktk matumizi ya nguvu zaidi kupita kiasi kuliko akili, na wakati mwingine hawatumii akili kabisa.
Tecnolojia ya Leo unamfundisha kijana ku homana na singe? kubeba magogo yaliyoko kaa kwenye maji miaka na miaka, tubadilike kutokana na Dunia inavyokwenda
 
Acha afanye mafunzo, kukosa pesa napo mafunzo, unataka ale kama yupo nyumbani?
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
 
Kambi nyingi za Jeshi ktk nchi zetu hizi za dunia ya tatu ambazo nyingi zinafuata mfumo wa kikomunisti au ujamaa (udikteta) utagundua kwamba ni kama Kambi za Mateso (Tourture Centers or tourture camps) badala ya kuwa kambi ambazo watu wachukua ujuzi na maarifa ya kijeshi, wakati kambi za Jeshi ktk nchi zingine ambazo zinafata mfumo wa nchi za Magharibi wa kiliberali utagundua kuwa ni Kambi za Mafunzo ya ujuzi na umahiri ktk masuala ya kijeshi, zinalenga ktk kujenga umahiri (competence) ktk nyanza zote za kijeshi.
Mfano mdogo tu kuthibitisha hoja yangu hii, rejea tukio la majibizano ya risasi kati ya Hamza Mohamed na wale Mapolisi wengi waliokwenda kumdhibiti pale Selander bridge. Ukichunguza kwa umakini mkubwa zile video zinazoonyesha jinsi Askari Polisi walivyokuwa wanapiga risasi kuelekeza kwa Hamza Mohamed na jinsi Hamza alivyokuwa aki-react dhidi yao hao Polisi utaona ushahidi wa hicho nilichosema.
Suala sio chakula Wala mazoezi magumu huyo ni mazoea yk tu. Mazingira mapya yasiyo na raha mchezo lazma kichwa kiwake
 
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Acha ujinga wewe unataka ale na kusaza. Kilichoongezeka pale ni fatigue zinazofanya ale sana na kuona chakula kidogo
 
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Heshimu taratibu za jeshi, tunahitaji Vijana WA kulinda Taifa letu baadae na Sio midebwedo
 
Wewe unazungumzia jeshi la zamani, ndio walikuwa wanapewa posho. Hata vyuo vikuu si vilikuwa na posho? wakati siku hizi unapewa mkopo, utaulipa baadae, au wewe mwenyewe ulipie. Mambo yamebadilika.
Uliza uambiwe, hata kiasi ukitaka naweza kukutajia, zamani 30, Kuna kiasi wameongezewa, japo si kubwa ni posho tu, unafikili mwanao hatakuambia ukweli ili iweje? Zaidi ya kukubom tu uongouongo, ili hatanue kambini.
 
Back
Top Bottom