UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Aisee leo nikasema imefika wakati sasa niwe na akaunti huko X au zamani kama "Twitter".
Nilipanga nitumie jina langu la UMUGHAKA lakini baada ya kutaipu hilo jina nimekuta mavijana ya ovyo kibao ya hapa JF yameshalitumia hilo jina😂😂,Daaah hatari sana!.
Nimeamua kutumia @ UMUGHAKA001
Wakuu wa twitter nifuateni huko kwa handle hiyo maana manyang'au yameshafanya yao
Aisee leo nikasema imefika wakati sasa niwe na akaunti huko X au zamani kama "Twitter".
Nilipanga nitumie jina langu la UMUGHAKA lakini baada ya kutaipu hilo jina nimekuta mavijana ya ovyo kibao ya hapa JF yameshalitumia hilo jina😂😂,Daaah hatari sana!.
Nimeamua kutumia @ UMUGHAKA001
Wakuu wa twitter nifuateni huko kwa handle hiyo maana manyang'au yameshafanya yao