imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wakwetu akitoka hapo kwenye Shisha anaenda kuuza K kwa Ma sugar daddy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakwetu akitoka hapo kwenye Shisha anaenda kuuza K kwa Ma sugar daddy
Ruto ni mhalifu ambaye hakupaswa kuongoza nchi ya Kenya tena kwa katiba aliyoipinga.
Aliachiliwa, mashahidi wote waliokuwa watoe ushahidi dhidi yake hawakufika mahakamani, walikufa vifo vya kutatanisha au kupotea kesi ikashindwa kuendelea majaji wakaifuta tu.
Ngoja tuone itakuajeHakuna ugumu
Viongozi wa namna wakikataaga na kujifanya vichwa ngumu, huwa wanalazimishwa
Na option ya lazima na ya mwisho kabisa ni JESHI kutwaa madaraka ya uongozi wa kiraia.
Na hii ikitokea, serikali ya viongozi wa sasa watajuta maana mmoja baada ya mwingine watakuwa wanaswekwa ndani na kufunguliwa mashitaka!