Vijana wa Kenya (Gen Z) sasa mnataka nini?

Vijana wa Kenya (Gen Z) sasa mnataka nini?

Mtu
1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?

Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Mtu mweusi ni mjinga kupindukia.

Katiba ya Kenya ambayo wao wakenya wenyewe waliitunga haimpi rais nguvu hata ya kuteua viongozi bila tume zingine kuhusika. Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki. Sasa hao vijana wana mandate gani ya kulazimisha wanachotaka wao ndiio kifanyike kwa kipengele kip cha katiba ?

Ikiwa wameshindwa kuheshimu katiba yao basi kinachofuata ni anarchy . Ukizingatia masuala yao ya ukabila na tishio la ugaidi wa jirani zao somalia kenya wataipasua vipande na watajuta.

Hapo lugha inayopaswa kutumika ni risasi tu hata wakifa maelfu lakini utawala wa vurugu haupaswi kuvumiliwa. Hivi kukiwa hakuna amani watu wataenda hispitali, vyakula vitafika sokoni?

Affica nzima ya weusi watu wanatukuza vurugu kana kwamba ndiyo itawaletea maendeleo kuanzia Chad, sudani kusini sudani kaskazini , mali, niger Nigeria, bukina faso, somalia, ethiopia ni vurugu na vita tu.
 
Ila twende mbele turudi nyuma, Ruto ni bonge la kiongozi.
Sijui kwa nini watu weusi kila akitokea kiongozi mzalendo anapingwa sana na watu wake mwenyewe!
Ruto kaukwaa Uraisi at a wrong time.
Kenya ina madeni makubwa sana yapatayo 80 billion dollars.
Amerithi madeni makubwa kutokea serikali zilizomtangulia.
Wanaomdai ni World Bank,IMF,African Development Bank.
Aliamua kupandisha karibu kila kitu ili akusanye fedha za kutosha kuendesha nchi, bila kutegemea mikopo yenye mashrti magumu.
 
Ruto
1. Finance bill imeshakuwa withdrawn, sasa mnataka nini?
2. Ruto aondoke madarakani? If so, Why this demand?
3. Who will be next? and come up fully with your demands?

Let us think together! as rational citizens and reasonable members of a community
Ruto lazima ang'oke
 
..Ruto alijifanya " chura kiziwi. "

..alifuata ushauri wa Mama Abduli kudharau malalamiko ya waandamanaji.
Tatizo ni demokrasia inapozidi mipaka madhara yake ndio haya, huwezi ukaendesha nchi kwa kumsikiliza kila mru kila wakati, kuna wengine ni wapuuzi tu wenye uelewa mdogo wa kile wanachokitaka.

Kuna wengine wanatumwa ili wakuangushe ushindwe kuendesha nchi na kufikia malengo ya ilani ya chama chako.

Kuwa chura kiziwi ili utimize malengo mapana ya waliokupa manifesto ya uchaguzi ni sawa kabisa, kuna wapumbavu wanaishi mijini wanadhani mawazo na upeo wao ndio kila kitu kwenye nchi, wanadhani wao kuwa ni hizi iphones ndio tayari wanayo haki ya kukosoa tu hata kile wasichokuwa na uelewa nacho.
 
Mkuu ndio umefikia hapo kwenye kufikiri kwako kwote ? Yan kwa akili zako zote mkuu ? Unajua kwanini wakenya wamegoma na wanaendelea kugoma ?
Uhalali huu wa kugoma unaweza kuwapoteza kabisa, hata wasomali walikuwa na mawazo haya haya ya kuwa na uhalali wa kugoma na kupinga kinachofanywa na serikali.
 
Hivi unadhani wanajeshi wanaweza kuwashinda raia???

If unaamini hivyo,hujui nguvu ya raia kabisaa
Jeshi la Kenya limeamua kutumia ustaarabu tu katika kushughulika na hizo vurugu, wangeamua kuwafanyizia madhara yangekuwa makubwa na jamii ya kimataifa ingeishambulia serikali yao.
 
Wanavuta bangi wanadhani watu wote wana akili za kushinda mitandaoni na kuandika ujinga na wivu, wanaweza wakawa ni wengi lakini bado nchi hizi za afrika mashariki hazijafikia wakati wa kuongozwa na mihemko ya mitandaoni.

Hivi sasa watapigwa kweli kweli na hao wanajeshi , mwanzoni walionekana wana hoja na wanajeshi wakawa wakiwahurumia kwamba wanayo mantiki katika hicho wanachokifanya, lakini wanapoenda watapokea mkong'oto wa uhakika kutoka kwa hao hao waliowaachia wakafanya walichofanya.
Acha kucheza na nguvu ya umma (people's power) ndugu. Hii huwa ndiyo silaha ya mwisho ktk mapambano. Hakuna bomu wala bunduki ya kuiweza!

Kwa umati wa watu unaojitokeza kwenye protest hii, hata jeshi litoke lote hawataweza kuwadhibiti watu hawa unless waamue kupuliza hewa ya sumu wafe wote kwa mkupuo na hilo haiwezekani abadani maana dunia nzima itai - storm serikali ya Kenya

Hii inaweza kuwa kama ilivyotokea kule Misri na Tunisia miaka michache iliyopita. Jeshi halikufanya chochote. Wakenya miili yao imekufa ganzi, hawaogopi kifo tena. Wameshafikia kwenye climax ya kuvumilia

Bro, usicheze na nguvu ya umma (people's power). Ni silaha hatari na ya juu kabisa ambayo hunmaliza adui kabisa!
 
Jeshi la Kenya limeamua kutumia ustaarabu tu katika kushughulika na hizo vurugu, wangeamua kuwafanyizia madhara yangekuwa makubwa na jamii ya kimataifa ingeishambulia serikali yao.

..hili sio suala la hiyari ya jeshi la Polisi.

..ukubwa wa umati uliojitokeza, na kiwango cha hasira walichonacho, ndio factor zinazo-determine Polisi watakavyo-deal na maandamano.

..ukumbuke kwamba Polisi nao ni binadamu na wanapenda kuishi.
 
Watanzania ndo zetu hizo, kujifanya tunajua sana kuhoji na wastaarabu.Disobedience ni njia mojawapo ya kushinikiza madai - nchi za kiafrika hizi ustaarabu watawala hawajali- Duniani kote changes zimeletwa kwa sacrifice/ kujikana/ paying the price.Unataka changes huku upo kwenye kiyoyozi, unatembea unakuka popcorn kwenye makundi et unaandamana??Umeona wapi hii, hujasoma historia.??
Watanzania ndo maana hata katiba tu kudai tumeshindwa..watu wako bizy lkn hata kinachozalishwa hakionekani..
Watu walipotezwa/potea lkn walaa watu wako kimya..mpaka yamkute.
Ni raha sana kuwa kiongozi au Rais Tz...
Ok sawa kwa akili yako nani atafidia uharibifu huo? Kama si walewale wananchi kwa kodi zao? Jiongeze🙃
 
Jeshi la Kenya limeamua kutumia ustaarabu tu katika kushughulika na hizo vurugu, wangeamua kuwafanyizia madhara yangekuwa makubwa na jamii ya kimataifa ingeishambulia serikali yao.
Sio ishu ya ustaarabu hapo Bali ni ishu ya akili na utu wa binadamu

Ni suala la kuamua tuue ndugu zetu mamia kwa maelfu kwa ajili ya kulinda kundi dogo la wajiitao "watawala" au serikali itii matakwa ya watu?

La mwisho ndilo Jibu.

Na Rais Williams Ruto alijirudi haraka sana. Kabla alitoa speech kuwaita wananchi wanaopinga sera ya kodi ya serikali yake kuwa ni "criminals". That was so bad to him

Hilo lika - escalate violence zaidi. Haikuchukua muda akatokea tena kutoa speech nyingine kusema, "..naongoza serikali lakini pia Mimi ndiye kiongozi wa wananchi wa Kenya. Serikali imesikia na kuwaelewa watu. Tunaachana na financial bill hii, sitasaini"

Hata hivyo, it was too late kwani sasa vijana wanamtaka ajiuzulu immediately au la the situation will go to worst..!

Vijana kwa Sasa kila mahali wanalenga kuharibu familia na mali za viongozi wao kuanzia wabunge, mawaziri, wakuu wa mikoa (Governors) na wengine. The situation in Kenya is bad..
 
Wanataka Ruto a resign kitu ambacho ni ngumu sana
Hakuna ugumu

Viongozi wa namna wakikataaga na kujifanya vichwa ngumu, huwa wanalazimishwa

Na option ya lazima na ya mwisho kabisa ni JESHI kutwaa madaraka ya uongozi wa kiraia.

Na hii ikitokea, serikali ya viongozi wa sasa watajuta maana mmoja baada ya mwingine watakuwa wanaswekwa ndani na kufunguliwa mashitaka!
 
Sio ishu ya ustaarabu hapo Bali ni ishu ya akili na utu wa binadamu

Ni suala la kuamua tuue ndugu zetu mamia kwa maelfu kwa ajili ya kulinda kundi dogo la wajiitao "watawala" au serikali itii matakwa ya watu?

La mwisho ndilo Jibu.

Na Rais Williams Ruto alijirudi haraka sana. Kabla alitoa speech kuwaita wananchi wanaopinga sera ya kodi ya serikali yake kuwa ni "criminals". That was so bad to him

Hilo lika - escalate violence zaidi. Haikuchukua muda akatokea tena kutoa speech nyingine kusema, "..naongoza serikali lakini pia Mimi ndiye kiongozi wa wananchi wa Kenya. Serikali imesikia na kuwaelewa watu. Tunaachana na financial bill hii, sitasaini"

Hata hivyo, it was too late kwani sasa vijana wanamtaka ajiuzulu immediately au la the situation will go to worst..!

Vijana kwa Sasa kila mahali wanalenga kuharibu familia na mali za viongozi wao kuanzia wabunge, mawaziri, wakuu wa mikoa (Governors) na wengine. The situation in Kenya is bad..
Tatizo la ujana ni mihemko, nguvu ya kufikiri na wepesi wa kufanyia kazi maamuzi ni vitu vinawadanganya.
 
Tatizo la ujana ni mihemko, nguvu ya kufikiri na wepesi wa kufanyia kazi maamuzi ni vitu vinawadanganya.
Unajua usemacho kweli Mr Steven Joel Ntamusano?

Wewe unafikiri mpaka mambo kufikia hatua hii ya uharibifu, imeanzia wapi?

Imeanzia kwenye maonyo na malalamiko ya kawaida

Lakini kama ujuavyo na kama tu ilivyo hapa kwetu Tanzania, watawala/viongozi wa serikali zetu ni jeuri na ni vichwa ngumu, hawasikilizi wala kuwaelewa wananchi wao.

Hufikia hadi hatua kuwaita wananchi wao majina mabaya; criminals, vibaka, wavuta bhangi, wanywa viroba nk.

Why? Eti tu kwa sababu wanapinga sera na mipango ya hovyo ya serikali zao!!!

Wanaamini kuwa polisi na Jeshi ni Kinga yao kama ikitokea umma umechachamaa

Kwa hiyo hakuna cha mihemko hapo. Serikali imeshawa - push watu hadi ukutani. Wafanyeje Sasa? Ni kupambana na ijulikane nani mwenye nguvu: serikali au umma unaowekaga serikali madarakani?
 
Unajua usemacho kweli Mr Steven Joel Ntamusano?

Wewe unafikiri mpaka mambo kufikia hatua hii ya uharibifu, imeanzia wapi?

Imeanzia kwenye maonyo na malalamiko ya kawaida

Lakini kama ujuavyo na kama tu ilivyo hapa kwetu Tanzania, watawala/viongozi wa serikali zetu ni jeuri na ni vichwa ngumu, hawasikilizi wala kuwaelewa wananchi wao.

Hufikia hadi hatua kuwaita wananchi wao majina mabaya; criminals, vibaka, wavuta bhangi, wanywa viroba nk.

Why? Eti tu kwa sababu wanapinga sera na mipango ya hovyo ya serikali zao!!!

Wanaamini kuwa polisi na Jeshi ni Kinga yao kama ikitokea umma umechachamaa

Kwa hiyo hakuna cha mihemko hapo. Serikali imeshawa - push watu hadi ukutani. Wafanyeje Sasa? Ni kupambana na ijulikane nani mwenye nguvu: serikali au umma unaowekaga serikali madarakani?
Wanaweza kuwa na haki ya kufanya hivyo lakini hekima ni muhimu sana. Vijana wanaandamana wakimtukana mama yake Ruto kwa kutaja lile tusi la kiungo cha kike!!, pia maandamano huenda pamoja na uhalifu na upotevu wa amani.

Bado naamini kwamba maongezi na ujenzi wa hoja ni muhimu sana kuliko kuvunjana miguu na pua.
 
Nyuma ya pazia kuna wajaluo. Hawa jamaa wana hasira sana baada ya mtu wao Odinga kushindwa uchaguzi. Ukiangalia celebrities wengi wa Kenya waliokuwa mstari wa mbele kwenye maandamano ni wajaluo. Otile Brown, Kaligraph Jones (Brian Omollo), Erick Omondi na wengine kibao. Finance bill ni sababu kuu ila kwasasa kuna genge la kijaluo linataka urais.
 
Back
Top Bottom