Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Onyesha wapi maduka ya raia wa kawaida yalipovunjwa mzee Mimi nipo Kenya na najua hii situation na Nina biashara yangu hapa NairobiWewe ndio unaesambaza Fake News.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onyesha wapi maduka ya raia wa kawaida yalipovunjwa mzee Mimi nipo Kenya na najua hii situation na Nina biashara yangu hapa NairobiWewe ndio unaesambaza Fake News.
Mkuu ndio umefikia hapo kwenye kufikiri kwako kwote ? Yan kwa akili zako zote mkuu ? Unajua kwanini wakenya wamegoma na wanaendelea kugoma ?Wanavuta bangi wanadhani watu wote wana akili za kushinda mitandaoni na kuandika ujinga na wivu, wanaweza wakawa ni wengi lakini bado nchi hizi za afrika mashariki hazijafikia wakati wa kuongozwa na mihemko ya mitandaoni.
Hivi sasa watapigwa kweli kweli na hao wanajeshi , mwanzoni walionekana wana hoja na wanajeshi wakawa wakiwahurumia kwamba wanayo mantiki katika hicho wanachokifanya, lakini wanapoenda watapokea mkong'oto wa uhakika kutoka kwa hao hao waliowaachia wakafanya walichofanya.
Akili za kitoto taabu sana hawawezi kuona kuwa Somalia iliharibiwa kwa akili za namna hii hii za hawa madogo wa Gen Z, watafika mahali kila mtaa utataka kuwa na serikali yake na uporaji unakuwa ndio sheria ya kila siku mtaani.
Ndio MkuuJe Bunge linaweza kumuita Rais na kueleza sababu za kugoma kutia saini muswada.
Labda nice mamayakoAcha
Kwahiyo wewe ndio unamjua ruto kuliko wakenya wanaoandamana acha ujinga yaani dume Zima unaogopa risasi mzee wewe ukaolewe tu
Wengine hawaoni haya mazara wao wanachukulia poa na kuona ndio ujanjaAkili za kitoto taabu sana hawawezi kuona kuwa Somalia iliharibiwa kwa akili za namna hii hii za hawa madogo wa Gen Z, watafika mahali kila mtaa utataka kuwa na serikali yake na uporaji unakuwa ndio sheria ya kila siku mtaani.
Pakichafuka tunafunga mipaka hatutaki wakimbizi wakikenya waje tuaribia nchi yetuWakenya ni wapuuzi, vitu ambavyo vinazungumzika kwa njia ya demokrasia wao wanaona sifa kufanya vurugu,
Wamechagua ugali maharage na pilipili tena kwenye vita.
Kingine jeshi la kenya ni dhaifu sana tena dhaifu mno.
Alaf mkaishia kula wali akati wenzenu nyuma wamekufaa nyie ni mazuzuuuuuMitandaoni wakati watu wapo barabarani? Wakenya sio waoga kama waTanzania hata bungeni zilikua zinapigwa risasi kabisa za AK 47 wakafa 20, ila watu zaidi ya elfu 5 wakavunja geti.
Huwezi kuua waandamanaji laki 5 zaidi utaua mamia na waliobaki watakuvamia. Hakunaga bunduki inayoshinda umma usio na cha kupoteza.
Dume Zima unaogopa risasi yaani umekaa hapo unamsifia ruto eti kisa unaogopa risasi wewe ukaolewe tu🤣🤣🤣🤣Labda nice mamayako
Hata wewe utakufa tu maana kufa ni lazima ufeAlaf mkaishia kula wali akati wenzenu nyuma wamekufaa nyie ni mazuzuuuuu
Finance bill yetu tulitaka vitu kama tozo kwenye gas itoke na wameitoa bila hata kuandamana na kuvamia canteen ya bungePunguza mihemko. Wakenya walitafisiri Finance bill yao kwa Lugha ya makabila 20 ya nchini Kenya ili watu wasome kwa Lugha zao waelewe kinachobishaniwa. Ila bongo asilimia 99 ya wananchi ukiwauliza sentensi ya kwanza kwenye Finance bill inasemaje hawajui na hata kujua kwamba Jana Finance Bill ya Tanzania ilipigiwa kura na kupita wengi hawajui. Sasa kati ya wewe mtanzania na Wakenya nani mjinga. Punguza unafiki.
Maiti hai alizokua anazisema Kenyatta na wewe ni mmoja wapoFinance bill yetu tulitaka vitu kama tozo kwenye gas itoke na wameitoa bila hata kuandamana na kuvamia canteen ya bunge
Ila sio kwa sababu ya kipuuziHata wewe utakufa tu maana kufa ni lazima ufe
Wana akili kama za chadema wenu always kufikiria fujo ndio suluhu ila uzuri wa gen z wa Tanzania tunajielewaWataiangushaje Serikali Halali iliyochaguliwa Kikatiba Kisheria na Kidemokrasia?!
Usimfananishe rais wetu na huyo mbutika uko ..kua na adabu..Ruto alijifanya " chura kiziwi. "
..alifuata ushauri wa Mama Abduli kudharau malalamiko ya waandamanaji.
Hivi kuna Maandamano ya AMANI kuliko ya CHADEMA hapa Afrika ya Mashariki.Wana akili kama za chadema wenu always kufikiria fujo ndio suluhu ila uzuri wa gen z wa Tanzania tunajielewa
Usimfananishe rais wetu na huyo mbutika uko ..kua na adabu
Watu120 wamepandishwa Kizimbani baada ya kupora Supermarket ya NAIVAS angalia CITIZEN TV.Onyesha wapi maduka ya raia wa kawaida yalipovunjwa mzee Mimi nipo Kenya na najua hii situation na Nina biashara yangu hapa Nairobi
sawaWewe ngoja nchi yako itafunwe na upo kimya. Kenya wanafanya kwa vitendo dhidi ya matapeli. Wananchofanya wakenya ndiyo njia pekee ya kuondoa matapeli
umeanza matusi, nikujibu?Wewe yako yamekushinda unataka ukawashauri wanaume acha kujipendekeza