1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Ukiona hivyo hasira ya Mungu haipo Mbali hasa ukizingatia mpaka manabii wachungaji ,mashehe na maparoko wanatafuta fedha kwa njia za utapeli na wizi . Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu kwa watu wote.Kwetu Gen Z hakuna, kuna Z Gen yaani Zezeta Generation.
Kazi yao ni kuyahonga Manamake makubwa Chipsi kavu.