- Thread starter
- #121
Kule wana ukabila, si ajabu kila kabila linataka mtu wake..... go far beyond these simple demands........walianza na finace bill, sasa hiyo imeisha wanataka aondoke........Kwani wananchi wakitaka aondoke Kuna shida?. Wao si ndio wamechagua. Usilete mambo ya CCM Kenya, serikali ni ya wananchi sio kitu kimeshuka kutoka mawinguni.