Hakuna ugumu
Viongozi wa namna wakikataaga na kujifanya vichwa ngumu, huwa wanalazimishwa
Na option ya lazima na ya mwisho kabisa ni JESHI kutwaa madaraka ya uongozi wa kiraia.
Na hii ikitokea, serikali ya viongozi wa sasa watajuta maana mmoja baada ya mwingine watakuwa wanaswekwa ndani na kufunguliwa mashitaka!