Vijana wa Kenya (Gen Z) sasa mnataka nini?

Aliachiliwa, mashahidi wote waliokuwa watoe ushahidi dhidi yake hawakufika mahakamani, walikufa vifo vya kutatanisha au kupotea kesi ikashindwa kuendelea majaji wakaifuta tu.

dah! jamaa na bado alipata mamilioni ya watu wa kumpigia kura? Kenya nako ni ovyo sana
 
Ngoja tuone itakuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…