Vijana wa kike wengi wa Tanzania kuongelea mapenzi, mahusiano na ngono zaidi inaashiria nini?

Vijana wa kike wengi wa Tanzania kuongelea mapenzi, mahusiano na ngono zaidi inaashiria nini?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.

Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
 
Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono.

Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa, biashara, Kilimo, dini n.k pia wengi siku za hivi karibuni wameingia katika mambo ya mpira wa Simba na Yanga. Ukiangalia content kubwa ya mabinti wa ki-Tanzania katika mitandao ya kijamii na mitaani ni hayo mambo!
Hamuwapekekei moto wa kutosha,sisi enzi zetu walikuwa wanakimbia mpambano,nyie mnawagusagusa tuu!
 
Na wanaume ndio ma sponsor, kwa hiyo, tukiwasema wanawake tusisahau kumulika wanao ubeba huu mfumo, wanaume.
Mkuu hata wanawake ambao hawana uhitaji kabisa wa ma-sponsor wako hivyo, lakini pia unakuta ma-sponsor wengi wanajishughulisha na siasa, biashara n.k lakini wanaoetegemea sponsorship hizo content ngumu ziko kushoto kabisa kweny mazungumzo yao! Au sponsors wenyewe hawapendi wa aina hiyo?
 
Hamuwapekekei moto wa kutosha,sisi enzi zetu walikuwa wanakimbia mpambano,nyie mnawagusagusa tuu!
Sasa ukimpelekea moto sana atapata akili nyingine zaidi ya kuendelea kuwaza moto kila wakati??
 
Tatizo lao wanatufanya sisi wanaume chombo Chao cha pesa acha waongelee ngono wakimaliza waje tuwape pesa tuendeleee kuwakanda
 
Mkuu hata wanawake ambao hawana uhitaji kabisa wa ma-sponsor wako hivyo, lakini pia unakuta ma-sponsor wengi wanajishughulisha na siasa, biashara n.k lakini wanaoetegemea sponsorship hizo content ngumu ziko kushoto kabisa kweny mazungumzo yao! Au sponsors wenyewe hawapendi wa aina hiyo?
Wanawake wasio na uhitaji wa ma sponsor wako hivyo kwa sababu wanafuata sheria ya asili ya maji kufuata njia rahisi zaidi kutengeneza mkondo.

Ushaona maji yanapanda mlima yenyewe? Maji yanashuka mlima tu kwa kutumia nguvu za gravity. Hata kama maji yana energy yake yenyewe inayoweza kuyafanya yapande mlima.

Ma sponsor wanatumia hela kwa sababu hicho ndicho kitu rahisi kabisa kwao. Mtu ambaye kashahangaika kutafuta pesa kuanza kuimba mashairi nakutumia logic kwenye mapenzi inaweza kuwa kazi kubwa na ngumu kuliko kutumia pesa.

Kuna swali moja huwa ni gumu kulijadili kwa upana na urefu na uhalisia, kutokana na ukakasi wa siasa zake.

Na swali hili linaweza kukusaidia kupata jibu la kwa nimi ma sponsor wenye biashara wanashindwa kuongea biashara na wanawake wao wengi.

On balance (maana yake si mara zote), je, wanawake, hususan wa kwetu Africa/weusi, wana akili ndogo zaidi kwenye mambo ya sayansi, uchumi, biashara kuliko wanaume na ndiyo maana wanakuwa tegemezi hivi na hata wakikaa na ma sponsor wanashindwa kujifunza biashara?

Au hili si jambo la akili, ni jambo la utamaduni tu, wanawake wamewekwa chini kijamii mpaka wakazoea hali hiyo, na kuzoea hali hiyo wamekuwa tegemezi hivi?
 
Tukishauri serikali iruhusu madanguli ichukue Kodi na viwe vijiwe vyao hawataka
 
Lakini pia watu weusi wote kiujumla wanaendekeza sana mazungumzo ya kukazana.

Wengine wanapenda kukazana kuliko chakula.

Wanawake kwa wanaume.
Ni sahihi kwamba watu weusi wanapenda mazungumzo ya kukazana ila wanaume angalau watazungumiza kukazana na mambo mengine mengi kwa wakati huo huo mmoja, nilichoona kwa wanawake vijana wengi kama hakuna content za Mahusiano /mapenzi/ndoa au ngono ni kama hakuna mazungumzo, story hazipigiki sana, labda zaidi umbea na udaku wa celebrities kama mtu unafuatilia.
 
Ni sahihi kwamba watu weusi wanapenda mazungumzo ya kukazana ila wanaume angalau watazungumiza kukazana na mambo mengine mengi kwa wakati huo huo mmoja, nilichoona kwa wanawake vijana wengi kama hakuna content za Mahusiano /mapenzi/ndoa au ngono ni kama hakuna mazungumzo, story hazipigiki sana, labda zaidi umbea na udaku wa celebrities kama mtu unafuatilia.
Nimekuuliza maswali magumu mwisho wa post namba 15.

Sijaona majibu.
 
Back
Top Bottom